AFCON 2019 Live score: Kenya vs Ethiopia: Harambee Stars lead 2 goals to nil at the Kasarani Stadium

AFCON 2019 Live score: Kenya vs Ethiopia: Harambee Stars lead 2 goals to nil at the Kasarani Stadium

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ati kama hawa? These are Hebesha. Ama unataka kuthdanganya Tz mnaongea Amheric! Kenya ndio iko na Ethiopian tribes na Somalis tena wengi sana. The Oromo from Ethiopia is one of Kenyas tribes. Nyinyi mlitoa wapi Hebesha?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa unanibishia, u think i'm making this up. Hiyo jamii ni kabila hapa Tz, wapo mkoa unaitwa babati, wanaitwa wa iraq au wambulu.
Mkoa umepakana na arusha kusini, na dodoma kaskazini.
Hao hao jamii ya wahabesh na wasomali look alike, sasa sijui walimigrate pande hizi au ni wa hukuhuku, i dont know. But ni jamii mojawapo ya watanzania.
You can google
 
Sasa unanibishia, u think i'm making this up. Hiyo jamii ni kabila hapa Tz, wapo mkoa unaitwa babati, wanaitwa wa iraq au wambulu.
Mkoa umepakana na arusha kusini, na dodoma kaskazini.
Hao hao jamii ya wahabes na wasomali look alike, sasa sijui walimigrate pande hizi au ni wa hukuhuku, i dont know. But ni jamii mojawapo ya watanzania.
You can google
Hio jamii inaitwa aje? Ju usitudanganye wahabeshi wako Tz,Labda unawachanganya na warwanda ambao wanafwanana na hao but sio hao. I know more about Ethiopia than Tz. The only tribe utajaribu kunidanganya ni Oromo but hapo nitakukamata ju we all know Oromo are only in Ethiopia,Kenya & Sudan. Tz mlitoa wapi Nothern tribes na mko south?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikama unidanganye kuna tribe ya wakikuyu Tz. The only tribe we share with Tz ni Maasai na hata hao maasai walitoka kenya wakahamia Tz wengine wakabaki kenya. Hebesha sahau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa ni hebesha in Nairobi, they mostly do business here.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
FB_IMG_15398328426817624.jpeg
FB_IMG_15398328499332599.jpeg
 
Tunaongelea mpira mazee co upuuz tujiunge wakenya watanzania wagamba warwanda na Burundi tushabikie timu zetu wote tuingie afcon we unaonaje c iko poa
 
Hio jamii inaitwa aje? Ju usitudanganye wahabeshi wako Tz,Labda unawachanganya na warwanda ambao wanafwanana na hao but sio hao. I know more about Ethiopia than Tz. The only tribe utajaribu kunidanganya ni Oromo but hapo nitakukamata ju we all know Oromo are only in Ethiopia,Kenya & Sudan. Tz mlitoa wapi Nothern tribes na mko south?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikama unidanganye kuna tribe ya wakikuyu Tz. The only tribe we share with Tz ni Maasai na hata hao maasai walitoka kenya wakahamia Tz wengine wakabaki kenya. Hebesha sahau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa ni hebesha in Nairobi, they mostly do business here.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 902122View attachment 902123
Ati the only tribe you share with Tz is maasai alone, kuna wakurya. And i know more about Tz, so usinibishie.
 
Wakuria ni minority group. Maasai ni major, na ndio maana nimewataja. Ingikuwa ni Uganda ningetaja wateso. But back to the point. Hebesha hawako Tz that am certainly sure.
Ati the only tribe you share with Tz is maasai alone, kuna wakurya. And i know more about Tz, so usinibishie.
 
Makonda amepeleka nuksi huko. Alitakiwa kwenda mtu mwenye karma ya kupendwa... siyo Makonda.
 
Back
Top Bottom