Uganda ✔️
Kenya ✔️
Burundi ✔️
Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Punga baba yako ,mbwa ww
Ongereni wa Tanzania we so proud fo you!ila nimeshanga baadhi ya wa Tanzania hamuipendi inchi yenu yani hata timu yenu ya taifa unaiombea ifungwe!??[emoji32][emoji32][emoji32] daah kazi ipo jana Burundi nzima na wa Burundi dunia nzima tulikua tuna i sapoti Intamba Muturugamba yetu!Tayari Kenya na Uganda wamefuzu...vile vile majirani zetu wa Burundi nao wamefuzu jana...kazi kwetu sisi leo jioni tukaze buti....endapo tutashindwa kufuzu itakuwa ni aibu ya mwaka kwani mashindano mara hii yamerahisishwa kwa kuongeza wigo wa idadi ya timu shiriki na ndio maana unaona kwa mara ya kwanza ukanda wa Afrika Mashariki umeweza kuingiza timu tatu mpaka sasa (jambo ambalo si kawaida).....
Uganda ✔️
Kenya ✔️
Burundi ✔️
Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Punga baba yako ,mbwa ww
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Mkuu Mungu gan aliokua anawaona ukasema hawafuzu nasikia mbn Tz kafuzu ?Uganda [emoji3581]
Kenya [emoji3581]
Burundi [emoji3581]
Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Mkuu Mungu gan aliokua anawaona ukasema hawafuzu nasikia mbn Tz kafuzu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaah!...? Joto lote hili Mtu ajifunike blanket? acha roho mbaya bac Chifu[emoji1787]
Duh!Uganda [emoji3581]
Kenya [emoji3581]
Burundi [emoji3581]
Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
DuhhhHonestly naombea tupigwe maana tangu Bashite aingie kwenye kamati ya ushindi kwa staz kaleta mambo ya hovyo sana.
Dsm watu wanasubiria pombe za book book. Baahite hana vision kabisa
Tupigwe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania ni wanafiki kuliko neno unafiki...kuna wakati unaweza pata tabu kuujua utanzania wao.....Ongereni wa Tanzania we so proud fo you!ila nimeshanga baadhi ya wa Tanzania hamuipendi inchi yenu yani hata timu yenu ya taifa unaiombea ifungwe!??[emoji32][emoji32][emoji32] daah kazi ipo jana Burundi nzima na wa Burundi dunia nzima tulikua tuna i sapoti Intamba Muturugamba yetu!
Kiande kwl, unashindw ht kuhisi...akt Mazingira yenyw yalkw yanajielez wz wz km tunashinda.Aibu naona Mimi [emoji87][emoji86][emoji85], Samahani kwa niliowakwaza na kuwakera [emoji12][emoji15]
Ulimaliza shule lini wewe..? African Mashariki ina nchi 6, Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda na Sudan Kusini.Tayari Kenya na Uganda wamefuzu...vile vile majirani zetu wa Burundi nao wamefuzu jana...kazi kwetu sisi leo jioni tukaze buti....endapo tutashindwa kufuzu itakuwa ni aibu ya mwaka kwani mashindano mara hii yamerahisishwa kwa kuongeza wigo wa idadi ya timu shiriki na ndio maana unaona kwa mara ya kwanza ukanda wa Afrika Mashariki umeweza kuingiza timu tatu mpaka sasa (jambo ambalo si kawaida).....
Hao wanaoiombea nchi ifungwe wote hawana marinda ni mapunga wa mabeberuOngereni wa Tanzania we so proud fo you!ila nimeshanga baadhi ya wa Tanzania hamuipendi inchi yenu yani hata timu yenu ya taifa unaiombea ifungwe!??[emoji32][emoji32][emoji32] daah kazi ipo jana Burundi nzima na wa Burundi dunia nzima tulikua tuna i sapoti Intamba Muturugamba yetu!
Badili kauli au ulikuwa unakusudia Mungu yupi au DJ kawa Mungu wenu siku hizi?Uganda ✔️
Kenya ✔️
Burundi ✔️
Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Vip unajisikiaje sasa tz kafuzuUganda [emoji3581]
Kenya [emoji3581]
Burundi [emoji3581]
Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.