AFCON 2019: Mpaka wakati huu timu zoote za Afrika Mashariki zimeshafuzu isipokuwa Tanzania...

Edit Uzi wako maana ulotaka halijatokea au hama nchi. Hakuna uwendawazimu kuliko huu wa kuombea timu yako ya Taifa ifungwe. Badilika, utakufa kwa stress
Uganda ✔️

Kenya ✔️

Burundi ✔️

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
 
Rwanda kafuzu, sudan kusini kafuzu bado Tz tuuu. Nyoooooooh! a kapakuliwe kule.
 
Ongereni wa Tanzania we so proud fo you!ila nimeshanga baadhi ya wa Tanzania hamuipendi inchi yenu yani hata timu yenu ya taifa unaiombea ifungwe!??[emoji32][emoji32][emoji32] daah kazi ipo jana Burundi nzima na wa Burundi dunia nzima tulikua tuna i sapoti Intamba Muturugamba yetu!
 
Uganda ✔️

Kenya ✔️

Burundi ✔️

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.

Aibu naona Mimi 🙊🙉🙈, Samahani kwa niliowakwaza na kuwakera 😜😳
 
Punga baba yako ,mbwa ww

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Mimi nami niliitwa Punga 👋 👋
 
Uganda [emoji3581]

Kenya [emoji3581]

Burundi [emoji3581]

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Mkuu Mungu gan aliokua anawaona ukasema hawafuzu nasikia mbn Tz kafuzu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uganda [emoji3581]

Kenya [emoji3581]

Burundi [emoji3581]

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Duh!

Nokia kitochi a.k.a mulika mwizi
 
Watanzania ni wanafiki kuliko neno unafiki...kuna wakati unaweza pata tabu kuujua utanzania wao.....
Wazowee Tu wao kila Jambo ni siasa na kuambukizana chuki bila sababu.

Nokia kitochi a.k.a mulika mwizi
 
Ulimaliza shule lini wewe..? African Mashariki ina nchi 6, Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi, Rwanda na Sudan Kusini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanaoiombea nchi ifungwe wote hawana marinda ni mapunga wa mabeberu
 
Uganda ✔️

Kenya ✔️

Burundi ✔️

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Badili kauli au ulikuwa unakusudia Mungu yupi au DJ kawa Mungu wenu siku hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…