Uganda hashindi hata mechi moja paleUganda kapangwa na mwenyeji...
Tukijipanga vizuri, tunaweza shangaza watu.. Vijana inabidi wajengwe kuondoa uoga/hofu.. Mengine yatajiseti, Kenya tunawamudu..
Mkuu hawa miamba yaani mwarabu na Senegal wenye uzoefu wa michuano na wachezaji nyota kuna uwezekano wa suluhu? Au nikuulize si kuna matumaini ya kupata pointi angalau moja kwa mmoja wapo?Anatubomoaga always hatuna historia nzuri na wale jamaa wako vizuri kifiziki kuliko sisi
Dah mwaka mbaya tungepangwa kundi la Burundi tungetoboaSadio Mane vs Yondan
Samatta vs Coulibaly
Hassan Kessy vs Ryad Mahrez
Gadiel Michael vs Yasin Brahimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa unachokiongea lakini?! Wa kawaida nani hapo,huku Mane huku Riyadh Marez,Mbona wa kawaida sana hao?
Lkn si mnajua kuna pots
Upo sahihi kabisa mkuuKundi zuri, nilikuwa naogopa tu kuwa kundi moja na mwenyeji.....Kama tulikuwa tunataka Afcon hatuna budi kujipanga vizuri na Kocha kuchagua wachezaji sahihi
Hakuna kundi lililopangwa, ni draw imechezeshwa tena ya wazi.. Tuache kulalamika, tupambane tu.. Tungedondokea kwa mwenyeji ungesemaje?
Unamaanisha nini Mkuu Hahahahahahahahah