Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zuwenna mbona hasira?Yaani Ile miumbwa ingeachwa huko huko isirudi Tanzania
Amakweli sie mpira tuachie wenyewe
tumeumia san ila bado atujatoka mkuuZuwenna mbona hasira?
Mtafungwa tu. I betWabongo bana.....kila kitu wanatupiwa nje nje
Haya tusubiri jumapili na sisi tusije kuaibishwa nyumbani.
wachezaj wetu yaani nguvu hawana na akili ya mpira pia hawana kabisaa....najiuliza hawawaoni wenzetu wanavyofanya?Ilitakiwa sub ya mapema sana Hakuna goli tulofungwa la shambulizi ila mipila iliyo kua inaelea langon ni uzembe wa mabeki wa Kati mi hata nikiliangalia goli la 3manula anahusika
Jiambie na ujijibu kwa niaba ya nchi yako Tanzania.,Tanzania mna mzaha sana kwa spoti. Hata serikali haina ministry of sports.. Hamjui vile kuna hela kwa hii sector ama nini? Tena michezo huleta sifa nzuri na tele kwa nchi
Mjiangalie, Mfikirie Mbadilishe
..... ni hujuuuma! [emoji1]Ebu mtu athletes video ya Stivu wa Yanga akiongelea hii hujuma.
😀😀yaani wamelishwa magoli mpaka huzuni..tayari wametupwa nje katika michuano ya kufuzu...anyway, naskia 50 million is up for grabs hapo Jumapili...Harambee Stars wasije wakatuabisha...Naomba wakenya wajitokeze kwa wingi ili kushangilia akina wanyama na olunga #JazaStadi
Mtafungwa tu. I bet
Stars bado aija toka wewe😀😀yaani wamelishwa magoli mpaka huzuni..tayari wametupwa nje katika michuano ya kufuzu...anyway, naskia 50 million is up for grabs hapo Jumapili...Harambee Stars wasije wakatuabisha...Naomba wakenya wajitokeze kwa wingi ili kushangilia akina wanyama na olunga #JazaStadi
Sasa mkuu uli tegemea kumfunga cape verde kwake?Aibu tupu ,bora hata Boeing yetu haikutumika kupeleka madudu haya
Nilikua nahisi una ufahamu kuhusu ball kumbe ni mweupe! Umetumia kigezo gani ku conclude Tz imeshatupwa njee! Nahisi ata hujui msimamo wa kundi ulivyo unaropoka tu😀😀yaani wamelishwa magoli mpaka huzuni..tayari wametupwa nje katika michuano ya kufuzu...anyway, naskia 50 million is up for grabs hapo Jumapili...Harambee Stars wasije wakatuabisha...Naomba wakenya wajitokeze kwa wingi ili kushangilia akina wanyama na olunga #JazaStadi
Hamna timu kocha hana makosa wachezaji wenyewe hawajielewiKocha kaniuz sana unamuachaje engineer Kevin yondan unamuweka mwantika
Tulivopigwa na Mwarabu zile mvua, Yondani alikuwepo! Tulipodroo Uganda majuzi, Yondani hakuwepo!Kocha kaniuz sana unamuachaje engineer Kevin yondan unamuweka mwantika