AFCON 2021| Fixtures, venues, full schedule and kick-off times. Tournament - CAMERON

AFCON 2021| Fixtures, venues, full schedule and kick-off times. Tournament - CAMERON

Da Gladiator

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
1,641
Reaction score
2,646
Bonjour wakuu,

Michuano ya TotalEnergies African Cup of Nations 2021, inategemewa kuanza leo Jumapili 09, Januari 2022.

Michuano hii ilitakiwa ifanyike mwaka jana 2021 ila ilihairishwa kutokana na gonjwa la UVIKO-19 Ila sio wale waliopo bungeni šŸ˜‚ unaosababishwa na virusi vya Corona. Hivyo CAF ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la TATALAFCON 2021.

Pia kutokana na UVIKO-19, timu zitaruhusiwa kuwa na wachezaji 28 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.

Vilevile, michuano hii itaandaliwa katika nchi ya CAMERON ambayo kwa Sasa kisoccer inaongozwa na mkongwe Samuel Eto'o Fil. Ambaye kwa namna moja au nyingine ameichangamsha michuano hii kwa kuwazodoa, kuwachamba na kuwapasha wanaobeza, kuponda na kudhihaki michuano hii hasa raia/timu wa/za bara la ulaya ambao walitaka kuwazuia baadhi ya wachezaji wao wasije katika michuano hii mikubwa katika ngazi ya Mataifa, hivyo kuchaguliwa kwake kama raisi wa FECAFOOT mnamo 11 Desemba 2021 imekuwa kama baraka kwa waCameron na waAfrica kuing'arisha michuano hii.

AFCON 2021 groups​

Group A: Cameroon (hosts), Burkina Faso, Cape Verde Islands, Ethiopia
Group B: Guinea, Malawi, Senegal, Zimbabwe
Group C: Comoros Islands, Gabon, Ghana, Morocco
Group D: Egypt, Guinea Bissau, Nigeria, Sudan
Group E: Algeria, Equatorial Guinea, Ivory Coast, Sierra Leone
Group F: Gambia, Mali, Mauritania, Tunisia.

BROADCASTERS
DSTV
-SuperSportpsl
STARTIMES
-World Footbal
AZAMTV
-Utv
-ZBC2

Binafsi timu ninayo shabikia ni Algeria
Timu mbili au moja kati ya hizi mbili zitaingia fainali Senegal &/ Algeria.

Sema chochote, Ongezea lolote , share popote na changia chochote ambacho ni sahihi na chenye staha.
 

AFCON 2021 group-stage fixtures and results​

Sunday January 9

Group A
:
1900Hrs
Cameron vs Burkina Faso,
(Olembe Stadium, Yaounde)
Azam-ZBC2.
Dstv-psl.
StarTimes-star world Football.

2200Hrs
Ethiopia vs Cape Verde,
(Olembe Stadium, Yaounde)
Azam-Utv
Dstv-psl
StarTimes-star world Football
 

CAMERON 28 MEN,Full Squad:​

Goalkeepers: Simon Medjo Omossola (AS Vita Club, DR Congo), Devis Epassy Mbota (OFI Crete, Greece), Andre Onana Onana (Ajax Amsterdam, Netherlands), Jean Efala Komguep (Akwa United FC, Nigeria).

Defenders: Collins Fai Ngoran (Standard Liege, Belgium), Olivier Mbaizo (Philadelphia Union, USA), Michael Ngadeu-Ngadjui (Gent, Belgium), Jean-Charles Castelletto (Nantes, France), Harold Moukoudi (Saint Etienne, France), Enzo Ebosse (SCO Angers, France), Ambroise Oyongo Bitolo (Montpellier, France), Jerome Onguene (Red Bull Salzburg, Austria), Nouhou Tolo (Seattle Sounders, USA).

Midfielders: Jean Onana Junior (Bordeaux, France), Malong Kunde (Olympiakos, Greece), Andre-Frank Zambo Anguissa (Napoli, Italy), Samuel Gouet Oum (Mechelen, Belgium), Martin Hongla (Hellas Verona, Italy), Andrew James Lea Siliki (Middlesbrough, England), Yvan Neyou (Saint Etienne, France).

Forwards: Ignatius Ganago (RC Lens, France), Christian Bassogog (Shanghai Shenua, China), Eric Maxim Choupo-Moting (Bayern Munich, Germany), Stephane Bahoken (SCO Angers, France), Karl Toko-Ekambi (Olympique Lyon, France), Moumi Ngamaleu (Young Boys, Switzerland), Vincent Aboubakar (Al Nasr, Saudi Arabia), Clinton Njie (Dinamo Moscow, Russia).

DaGladiater
 

BURKINA FASO:​

Goalkeepers: Herve Koffi (Charleroi, Belgium), Aboubacar Sawadogo (Kadiogo, Burkina Faso), Soufiane Farid Ouedraogo (Fuenlabrada, Spain), Kilian Nikiema (ADO Den Haag, Netherlands).

Defenders: Edmond Tapsoba (Bayer Leverkusen, Germany), Issoufou Dayo (Renaissance Berkane, Morocco), Steeve Yago (Aris Limassol, Cyprus), Oula Traore (Horoya, Guinea), Patrick Malo (Hassania Agadir, Morocco), Issa Kabore (Troyes, France), Hermann Nikiema (Salitas, Burkina Faso), Soumaila Ouattara (FUS Rabat, Morocco).

Midfielders: Adama Guira (Racing Rioja, Spain), Blati Toure (Eskilstuna, Sweden), Gustavo Sangare (Quevilly-Rouen, France), Ismahila Ouedraogo (PAOK, Greece), Dramane Nikiema (Horoya, Guinea), Saidou Simpore (Ittihad of Alexandria, Egypt), Eric Traore (Pyramids, Egypt), Cyrille Barros Bayala (AC Ajaccio, France), Hassane Bande (Istra 1961, Croatia).

Forwards: Dango Ouattara (Lorient, France), Cheick Djibril Ouattara (Olympique Safi, Morocco), Zakaria Sanogo (Ararat-Armenia, Armenia), Kouame Botue (AC Ajaccio, France), Bertrand Traore (Aston Villa, England), Abdoul Tapsoba (Standard Liege, Belgium), Mohamed Konate (Akhmat, Russia).
 
Bado sijaona wa kuwazuia magiants hawa, (Algeria na Morocco) mmoja wao anaondoka na ndoo, mark my words

Kwa upande wangu nipo na Algeria, i love Algeria......naipa %100
I second you
And strongly naiCement point yako.

Mimi pia ni Algeria Ila binafsi naona mshindani wangu n Senegal
 

BURKINA FASO:​

Goalkeepers: Herve Koffi (Charleroi, Belgium), Aboubacar Sawadogo (Kadiogo, Burkina Faso), Soufiane Farid Ouedraogo (Fuenlabrada, Spain), Kilian Nikiema (ADO Den Haag, Netherlands).

Defenders: Edmond Tapsoba (Bayer Leverkusen, Germany), Issoufou Dayo (Renaissance Berkane, Morocco), Steeve Yago (Aris Limassol, Cyprus), Oula Traore (Horoya, Guinea), Patrick Malo (Hassania Agadir, Morocco), Issa Kabore (Troyes, France), Hermann Nikiema (Salitas, Burkina Faso), Soumaila Ouattara (FUS Rabat, Morocco).

Midfielders: Adama Guira (Racing Rioja, Spain), Blati Toure (Eskilstuna, Sweden), Gustavo Sangare (Quevilly-Rouen, France), Ismahila Ouedraogo (PAOK, Greece), Dramane Nikiema (Horoya, Guinea), Saidou Simpore (Ittihad of Alexandria, Egypt), Eric Traore (Pyramids, Egypt), Cyrille Barros Bayala (AC Ajaccio, France), Hassane Bande (Istra 1961, Croatia).

Forwards: Dango Ouattara (Lorient, France), Cheick Djibril Ouattara (Olympique Safi, Morocco), Zakaria Sanogo (Ararat-Armenia, Armenia), Kouame Botue (AC Ajaccio, France), Bertrand Traore (Aston Villa, England), Abdoul Tapsoba (Standard Liege, Belgium), Mohamed Konate (Akhmat, Russia).
Hizi timu zinastahili kufika walipofikia ,imagine 98% ya wachezaji wanacheza nje ,sisi timu ya taifa hata 4 hawafiki
 
Back
Top Bottom