BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
I second you
And strongly naiCement point yako.
Mimi pia ni Algeria Ila binafsi naona mshindani wangu n Senegal
Senegal tutampiga nyingi na sadio wao, mark my words kamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I second you
And strongly naiCement point yako.
Mimi pia ni Algeria Ila binafsi naona mshindani wangu n Senegal
Mkuu hiyo SuperSportpsl ni HD ?
Wanne Wanafika mkuu, sema hawana viwango hivyoHizi timu zinastahili kufika walipofikia ,imagine 98% ya wachezaji wanacheza nje ,sisi timu ya taifa hata 4 hawafiki
Yeah Channel 202Mkuu hiyo SuperSportpsl ni HD ?
Sawa Mwana YangaPray for DRC pray for Mali
Kwenye comment yangu nimewataja Senegal ukasema hakuna time, ila hapa unakiri ni wapinzani wa ukweli.I second you
And strongly naiCement point yako.
Mimi pia ni Algeria Ila binafsi naona mshindani wangu n Senegal
Mbona Taifa Stars siioni?Bonjour wakuu,
Michuano ya TotalEnergies African Cup of Nations 2021, inategemewa kuanza leo Jumapili 09, Januari 2022.
Michuano hii ilitakiwa ifanyike mwaka jana 2021 ila ilihairishwa kutokana na gonjwa la UVIKO-19 Ila sio wale waliopo bungeni 😂 unaosababishwa na virusi vya Corona. Hivyo CAF ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la TATALAFCON 2021.
Pia kutokana na UVIKO-19, timu zitaruhusiwa kuwa na wachezaji 28 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.
Vilevile, michuano hii itaandaliwa katika nchi ya CAMERON ambayo kwa Sasa kisoccer inaongozwa na mkongwe Samuel Eto'o Fil. Ambaye kwa namna moja au nyingine ameichangamsha michuano hii kwa kuwazodoa, kuwachamba na kuwapasha wanaobeza, kuponda na kudhihaki michuano hii hasa raia/timu wa/za bara la ulaya ambao walitaka kuwazuia baadhi ya wachezaji wao wasije katika michuano hii mikubwa katika ngazi ya Mataifa, hivyo kuchaguliwa kwake kama raisi wa FECAFOOT mnamo 11 Desemba 2021 imekuwa kama baraka kwa waCameron na waAfrica kuing'arisha michuano hii.
AFCON 2021 groups
Group A: Cameroon (hosts), Burkina Faso, Cape Verde Islands, Ethiopia
Group B: Guinea, Malawi, Senegal, Zimbabwe
Group C: Comoros Islands, Gabon, Ghana, Morocco
Group D: Egypt, Guinea Bissau, Nigeria, Sudan
Group E: Algeria, Equatorial Guinea, Ivory Coast, Sierra Leone
Group F: Gambia, Mali, Mauritania, Tunisia.
BROADCASTERS
DSTV
-SuperSportpsl
STARTIMES
-World Footbal
AZAMTV
-Utv
-ZBC2
Binafsi timu ninayo shabikia ni Algeria
Timu mbili au moja kati ya hizi mbili zitaingia fainali Senegal &/ Algeria.
Sema chochote, Ongezea lolote , share popote na changia chochote ambacho ni sahihi na chenye staha.
Itakuwa nilichanganya Comments mkuu, nisamehe Mimi🙏Kwenye comment yangu nimewataja Senegal ukasema hakuna time, ila hapa unakiri ni wapinzani wa ukweli.
Tanzania tulitolewa mkuu, haya mashindano hayatuhusu😂😂😂Mbona Taifa Stars siioni?
Hili gonjwa linapoteza radha ya mashindano,Haya mashindano yananitoa mood yangu ya kuyafatilia baada ya baadhi ya wachezaji kuambiwa wana corona na inabidi wakae ndani
Ghana-Black starsHili gonjwa linapoteza radha ya mashindano,
Mkuu Ww n timu gan, AFCON
Ninayo mkuu niliiweka kapuni mwaka wa tatu sasa baada ya kugundua vifurushi vyao vipo juuTafuta Dstv
Mchawi gharam za vifurushi vyao mkuu, azam wanaanzia 9000,dstv 21000Ila mm naona Dstv ndo wako vzuri zaidi.
[emoji120]
Mchawi gharam za vifurushi vyao mkuu, azam wanaanzia 9000,dstv 21000
Rangi sio issue.Mkuu kumbuka wanavaa jezi ya Njano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]