AFCON 2021| Fixtures, venues, full schedule and kick-off times. Tournament - CAMERON

Mbona Taifa Stars siioni?
 
Haya mashindano yananitoa mood yangu ya kuyafatilia baada ya baadhi ya wachezaji kuambiwa wana corona na inabidi wakae ndani
 
Cameroun vs Bukinafaso. Second half ndio imeanza cameroon wanaongoza kwa mabao 2-1.

Bukinabe walitangulia then Cameroon wakasawazisha kwa mkwaju wa penalt kabla ya kupewa mkwaju mwingi wa penalt. Penalt zote kapiga le captain wao.

Nimeshindwa kuelewa kwa nini VAR iliyotoa penalt ya kwanza wametumia picha ya camera moja tu? Hii inaonyesha uwanjani kuna uhaba wa camera.
 
Algeria wanatetea hili kombe. Wachezaji wao ni tofauti na hawa mabishow wa Senegal, Nigeria, Ivory coast na Ghana.
Michezaji yao inayocheza ulaya inajiona mijanjaaah kumbe bure kabisa.
Waarabu ndio wanajua nini cha kufanya yani kazi kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…