AFCON 2021| Fixtures, venues, full schedule and kick-off times. Tournament - CAMERON

Tatzo la Camera chache mm pia nimeliona. Pia wanachukua muda mrefu Sana kufanya maanmuzi.

Binafsi naona WaCameron watashinda.
 
Here we Go.........!
2200Hrs
Ethiopia vs Cape Verde,
(Olembe Stadium, Yaounde)
Azam-Utv/ZBC2
Dstv-psl
StarTimes-star world Football

VivaCecafa, VivaEthiopia.
 
Usiku huu tunaenda kuona zaidi ya goli 4 kwenye game kati ya Ethiepia na Cape Verde. Cape Verde ni moja ya timu itakayoonyeaha mchezo mzuri. 90% wachezaji wake wanacheza soka ureno madaraya ya Segunda.

Jamaa zetu wa pembe ya africa labda yaje mashindano ya kuwa na ndege ndio wataibuka mikono juu. Lakini huku kwenye kuvuja jasho hawapati kitu.
Natabiri Ethiopia 0-3 Cape Verde
 
Hivi si tupishindwaje Ethiopia wakafuzu!!!??
Wee sie timu ilishashinda first leg 2-0 eti kama taifa tukaashindwa kuisafirisha timu kwenda kumaliza second leg. Akili au matope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…