AFCON 2021: Refa amaliza Mechi ya Mali na Tunisia, kabla ya dakika 90

AFCON 2021: Refa amaliza Mechi ya Mali na Tunisia, kabla ya dakika 90

Mwamuzi Jan Sikazwe toka Zambia akichezesha mchezo Kati ya Tunisia na Mali, amemaliza mchezo dakika ya 85 lakini Tunisia wakalalamika na mchezo ukaendelea, ilipofika dakika ya 89 akamaliza mchezo tena na safari hii Refa akagoma kuendelea na mchezo.

Mwamuzi huyu amewahi kusimamaishwa kuchezesha soka Kwa miaka 3 alituhumiwa kupokea hongo ili kupanga matokeo.
Hata kama ni ubovu huu wa Leo umepitiliza.

Alianza Kwa kuwanyima Mali Penati DK 58 baada ya Adama Traore kufanyiwa madhambi ndani ya 18 lakini hakutaka hata kujiridhisha Kwa VAR.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo ni refa au utopolo
 
Anastrees, lkn nmegundua waamuzi wabovu sio bongo tu na huyu Bw Sikazwe tangu dk ya 1 alikuwa anachezesha kama amelazimishwa
 
Yani refa alipitiwa na nini sijui?
Dakk 85 kapuliza kipyenga..
Watu aaaah muda badoo!! Pira likaendelea..... mara shwaa red card😳😳
Mara shwaaa dakk 89 mpira kwishney😳😳😳


Egypt vs Nigeria mipira ilikua inatoa upepo,, yaan Africa kazi tunayo
 
Huyu ni mwanachama was Kabwili fc gsm mchongo fc
 
Mauritania vs Gambia
Dj waletee...
Noo shika shika dj,
Dj walete Mauritania..
Ngoja dj shika kwanza..

Mauritania mtaimba akapela
Capt: No tunataka beat la ayo laizer..
Ok DJ wareteeee..
🎶🎶🎵🎵
 
Back
Top Bottom