Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Sikujua kama kuna wa Zambia wapumbavu kama huyu refa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiangalia hii mechi marefa wa africa nao sijuwi wanawaza nn, aibu tupu haijawai kutokeaMwamuzi Jan Sikazwe toka Zambia akichezesha mchezo Kati ya Tunisia na Mali, amemaliza mchezo dakika ya 85 lakini Tunisia wakalalamika na mchezo ukaendelea, ilipofika dakika ya 89 akamaliza mchezo tena na safari hii Refa akagoma kuendelea na mchezo.
Mwamuzi huyu amewahi kusimamaishwa kuchezesha soka Kwa miaka 3 alituhumiwa kupokea hongo ili kupanga matokeo.
Hata kama ni ubovu huu wa Leo umepitiliza.
Alianza Kwa kuwanyima Mali Penati DK 58 baada ya Adama Traore kufanyiwa madhambi ndani ya 18 lakini hakutaka hata kujiridhisha Kwa VAR.
Masikini, atakuwa kalogwa au ana mapepo.Mwamuzi Jan Sikazwe toka Zambia akichezesha mchezo Kati ya Tunisia na Mali, amemaliza mchezo dakika ya 85 lakini Tunisia wakalalamika na mchezo ukaendelea, ilipofika dakika ya 89 akamaliza mchezo tena na safari hii Refa akagoma kuendelea na mchezo.
Mwamuzi huyu amewahi kusimamaishwa kuchezesha soka Kwa miaka 3 alituhumiwa kupokea hongo ili kupanga matokeo.
Hata kama ni ubovu huu wa Leo umepitiliza.
Alianza Kwa kuwanyima Mali Penati DK 58 baada ya Adama Traore kufanyiwa madhambi ndani ya 18 lakini hakutaka hata kujiridhisha Kwa VAR.
kuna nchi hapa barani kwetu unaweza kaa mwaka mzima usisikie majina yao.Mauritania vs Gambia
Dj waletee...
Noo shika shika dj,
Dj walete Mauritania..
Ngoja dj shika kwanza..
Mauritania mtaimba akapela
Capt: No tunataka beat la ayo laizer..
Ok DJ wareteeee..
🎶🎶🎵🎵
Kafanya mbaya ila kwasababu kafanya wakati Mali ishapata ushindi kwa waarabu minaona sawa tu.
Waarabu wanafigisu sana sasa acha nawao wakutane na mziki wa figisu wa gb milioni kumi.
Punguza chuki mkuuHata kadi nyekundu ile ilikuwa ya mchongo...
Hata hivyo nimefurahi kawafanyia vigisu waarabu, maana wao huwa wanaongoza kwenye hii michezo ya figisu wanapokuwa nchini mwao...