AFCON 2024: Licha ya kwamba kuna uwezekano mkubwa Tanzania tusipate japo pointi moja, lakini pia tunaweza tusifunge hata goli moja

Los santos

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2021
Posts
1,167
Reaction score
2,591
Hii AFCON licha ya kwamba kuna uwezekano mkubwa tusipate japo point moja lakini pia tunaweza tusifunge hata goal [emoji3]

Pia hata kama Mpira unadunda sioni nafasi ya stars kwenye hili kundi hata kidogo,kabla ya mechi waziri aliongea na wacheza Kwa masaa matatu sasa sjui mechi ijayo ataongea masaa mangapi

Kwa kumalizia Hv Bongo ni nn ambacho tunaeza jivunia nacho kwenye hii sayari?
 

Mpira ni uwekezaji sio uhamasishaji.
 
Ilitakiwa yafe goli Tisa yani week na siku mbili basi tu nasikitika sana jamaa hayakufanya hivyo sijui kwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…