kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Nimegundua ntiba Bado ni mchezaji mzuri ila watanzania hawaujui mpiraHii game ya Senegal, ningejua.
Singeikosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegundua ntiba Bado ni mchezaji mzuri ila watanzania hawaujui mpiraHii game ya Senegal, ningejua.
Singeikosa
Wapiga ramli wekeni hela hapoEthiopia 6.00
draw 3.45
Drc 1.69
Mimi najipanga ya Congo.Hii game ya Senegal, ningejua.
Singeikosa
Haizidi mbwa wangu kwa ukaliGame kali
Huwa unatoa mbwa wako nje usiku au hata mchana!?Haizidi mbwa wangu kwa ukali
Aiseeee.Wapiga ramli wekeni hela hapo
😂Mnachanganya watu semeni Uganda anacheza na Congo brazaville na Ethiopia atacheza na Congo DRC sasa zote mnaandika congo tuwaeleweje?