Team ilionesha mchezo mzuri sana dhidi ya SA Leo lazima wapate mashabiki na msimu huu lazima waende afcon chini ya nahodha auchoNimefurahi wa Uganda wametoka Kuishangilia team yao
Inonga na Mayele 😊😜Sasa hapa nani mwenyeji?
Umaliziaji shida na hivi kwanini Ethiopia wasicheze hii mechi kwenye uwanja wa abebe Bikila!? Au hauna vigezo!?Good luck Aucho.
Ila naona hii game Congo wanawasaka balaa
Ila ule uwanja ni mbaya sana na huenda hata game ya Yanga ikahamishwa isipigwe pale caf wako serious sana kwenye suala la viwanja nadhani game italetwa Nambole ugandaSijajua kwa kweli!!
Kwasababu Yanga game yao itapigwa huko
Picha TU ki uhalisia uwanja mbaya umechoka huwezi kuufananisha hata na azam niliona Simba queens walikuwa wanapata shida sana hasa mvua ikinyesha na Ethiopia kwa Sasa Kuna mvua na baridi kali
Si wamesema Ilitolewa pesa nyingi sana kuufanyia marekebishoPicha TU ki uhalisia uwanja mbaya umechoka huwezi kuufananisha hata na azam niliona Simba queens walikuwa wanapata shida sana hasa mvua ikinyesha na Ethiopia kwa Sasa Kuna mvua na baridi kali
Game ya Yanga ikiletwa Nambole mbona mchekea sana.Picha TU ki uhalisia uwanja mbaya umechoka huwezi kuufananisha hata na azam niliona Simba queens walikuwa wanapata shida sana hasa mvua ikinyesha na Ethiopia kwa Sasa Kuna mvua na baridi kali
Huu uwanja wa timu gani?