AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

Ndo unazidi kuonesha upumbavu wa mtu mweusi ya kuwa hakuna anacho jua zaidi ya kashifa,kama kashifa unazo shinda humu unatoa dhidi ya waisilamu zingekuwa na faida kwako nadhani ulitakiwa kuwa zaidi ya Dangote kwa utajiri, lakini ndo kwanza hata kula yako ni shida.

Kitendo cha ww kuingiza kejeli za kidini kwenye mada isiyo husiana na dini ina kuonesha jinsi alivyo jaa uharo kichwani badala ya ubongo hivyo kila unacho waza kime kaa kimavi mavi.
Bin Mwamedi punguza upumbavu kama huyo dada yako katika Imaan[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana,hizo chuki zenu zimeshadhihirishwa kitambo na hakika kafiri hawezi ficha chuki zake kamwe
Mimi huwa nakubali kuwa ni Kafiri mla kitimoto

Ila unajua kuwa kuwa Kafiri wa kwanza kama Muasisi wa Ukafiri ni Muhammad (S.A.W)?

Unataka kujua Ukafiri wake? [emoji1787]
 
Huyo ni chizi tu siyo wa kumtilia maanani hana tofauti na wale wanaosema bora kuzaliwa mbwa marekani kuliko kuishi bongo.
 
Huwa wanajifanya wanakandia Wakristo(Makafiri) lakini bado wanajipendekeza kwa haohao Makafiri
wapumbavu tu waarabu wengi ni majnun sana hua nashangaa wanavobehave Vile hapo na uislam umejitahidi kuwastaarabisha je wangekua neutral wangekuaje
 


Sofia Benlemmane Ambaye ni raia wa Algeria amefurushwa toka Ivory Coast (deportation) baada ya kutoa maneno ya kashfa juu ya taifa hilo na wenyeji wake wa Afcon.

Sofia alinukuliwa akisema Ivory Coast ni taifa maskini ambalo bado linaishi kama zama za kale na akaongeza kuwa Algeria imeendelea zaidi na haipaswi hata kuwa Afrika na inapaswa kuwa sehemu ya Hispania.

===== =====
AFCON 2023: Algerian Supporter Arrested and Deported for Mocking Ivory Coast

At the ongoing 2023 African Cup of Nations in Ivory Coast, Algerian football supporter Sofia Benlemmane was arrested and subsequently deported on January 16 after a video of her mocking Ivory Coast gained widespread attention.

The Rapid Intervention Brigade made the arrest in response to instructions from the Ivory Coast government, which aimed to maintain order and deter offensive behaviour during the competition.

Sofia Benlemmane had travelled to Ivory Coast with other football enthusiasts to partake in the continental football celebration. Actu Foot, a well-known Maghreb sports platform, revealed the specifics of her arrest and deportation on X (formerly Twitter). The platform reported, “Sofia Benlemmane, an Algerian supporter, was arrested yesterday at the stadium by the Rapid Intervention Brigade following comments made against Ivory Coast.”

According to Actu Foot, the Algerian supporter has not only been expelled but also banned for life from setting foot in Ivory Coast. The platform’s tweet stated, “She was expelled and banned from Ivory Coast for life.”

The incident unfolded after a 48-minute video surfaced in which Benlemmane compared Ivory Coast unfavourably to Algeria, using derogatory language to describe the host country. In the video, she remarked, “They live in misery here. I recorded a video yesterday at the bus station, and it’s the worst, like the prehistoric era. If I had some powers, I would have brought Algerians here to witness this.”

Continuing her disparaging remarks, she stated, “What a difference with Algeria! Long live Algeria. I thank God for giving me a country like Algeria. Normally, Algeria is not supposed to be in Africa. It was supposed to be situated between Portugal and Spain.”

Xenophobia, the fear and dislike of people from other countries, can be a concern during large sporting events like the African Cup of Nations. Although incidents of xenophobia are not widespread during these tournaments, isolated cases of discrimination or tension related to nationality have been reported.

Organisers make concerted efforts to promote unity and celebrate the diversity of participating nations. Vigilance is maintained to promptly address any instances of intolerance and ensure that the tournament remains a platform for sportsmanship and camaraderie.

Source: mimimefoinfos & punchng

Hajakosea
Ngoja aje Tanzania pia

Nchi za Africa nyingi ni maskini na hii inatokana na viongozi wa Africa ni walafi

Unakuta kiongoz 1 ana mabilion
Mwenyewe anaona ujanja

Viongoz wa Africa ya kaskazini wapo serious na nchi zao ndio mana ukienda Misir , Algeria , morroco tunisia wapo vizuri sana

Maendeleo yao yanakimbizana na ulaya

Zile ni second world country
 


Sofia Benlemmane Ambaye ni raia wa Algeria amefurushwa toka Ivory Coast (deportation) baada ya kutoa maneno ya kashfa juu ya taifa hilo na wenyeji wake wa Afcon.

Sofia alinukuliwa akisema Ivory Coast ni taifa maskini ambalo bado linaishi kama zama za kale na akaongeza kuwa Algeria imeendelea zaidi na haipaswi hata kuwa Afrika na inapaswa kuwa sehemu ya Hispania.

===== =====
AFCON 2023: Algerian Supporter Arrested and Deported for Mocking Ivory Coast

At the ongoing 2023 African Cup of Nations in Ivory Coast, Algerian football supporter Sofia Benlemmane was arrested and subsequently deported on January 16 after a video of her mocking Ivory Coast gained widespread attention.

The Rapid Intervention Brigade made the arrest in response to instructions from the Ivory Coast government, which aimed to maintain order and deter offensive behaviour during the competition.

Sofia Benlemmane had travelled to Ivory Coast with other football enthusiasts to partake in the continental football celebration. Actu Foot, a well-known Maghreb sports platform, revealed the specifics of her arrest and deportation on X (formerly Twitter). The platform reported, “Sofia Benlemmane, an Algerian supporter, was arrested yesterday at the stadium by the Rapid Intervention Brigade following comments made against Ivory Coast.”

According to Actu Foot, the Algerian supporter has not only been expelled but also banned for life from setting foot in Ivory Coast. The platform’s tweet stated, “She was expelled and banned from Ivory Coast for life.”

The incident unfolded after a 48-minute video surfaced in which Benlemmane compared Ivory Coast unfavourably to Algeria, using derogatory language to describe the host country. In the video, she remarked, “They live in misery here. I recorded a video yesterday at the bus station, and it’s the worst, like the prehistoric era. If I had some powers, I would have brought Algerians here to witness this.”

Continuing her disparaging remarks, she stated, “What a difference with Algeria! Long live Algeria. I thank God for giving me a country like Algeria. Normally, Algeria is not supposed to be in Africa. It was supposed to be situated between Portugal and Spain.”

Xenophobia, the fear and dislike of people from other countries, can be a concern during large sporting events like the African Cup of Nations. Although incidents of xenophobia are not widespread during these tournaments, isolated cases of discrimination or tension related to nationality have been reported.

Organisers make concerted efforts to promote unity and celebrate the diversity of participating nations. Vigilance is maintained to promptly address any instances of intolerance and ensure that the tournament remains a platform for sportsmanship and camaraderie.

Source: mimimefoinfos & punchng
Kwani ukikiri tu kwamba ukweli unauma utapungukiwa na nin?
 
Hajakosea
Ngoja aje Tanzania pia

Nchi za Africa nyingi ni maskini na hii inatokana na viongozi wa Africa ni walafi

Unakuta kiongoz 1 ana mabilion
Mwenyewe anaona ujanja

Viongoz wa Africa ya kaskazini wapo serious na nchi zao ndio mana ukienda Misir , Algeria , morroco tunisia wapo vizuri sana

Maendeleo yao yanakimbizana na ulaya

Zile ni second world country
Wameamua kumsimanga kwa kuunyima ubongo haki ya kuchambua mambo kwa kina.
Mama yupo sahihi, madhaifu machache ktk kauli yake hayaondoi uhalisia wa mawazo yake
 
Waafrika hatupendi ukweli. Kukosolewa tuchukulie ni changamoto za kujirekebisha.

Kusema kweli hata hapa kwetu Tanzania maisha na nchi yetu ilivyo na utajiri, hatukutakiwa tuishi kimasikini.

Kawapa za uso wamekasirika.
 
Hapo juu kuna ntu ameseme Wangembandua kwanza aache dharau, nami narudia hivyo hivyo.
ATAKUWA AMEBANDULIWA TANGIA HAPO! HIYO NGOZI LAINI HAIWEZI KUACHWA IPITE HIVI HIVI WANAJESHI SIYO WAJINGA! NIMETUMIA HERUFI KUBWA KUWEKA MSISITIZO!
 
ATAKUWA AMEBANDULIWA TANGIA HAPO! HIYO NGOZI LAINI HAIWEZI KUACHWA IPITE HIVI HIVI WANAJESHI SIYO WAJINGA! NIMETUMIA HERUFI KUBWA KUWEKA MSISITIZO!
Basi salute, Wanaume hoyee.
 
Mimi huwa nakubali kuwa ni Kafiri mla kitimoto

Ila unajua kuwa kuwa Kafiri wa kwanza kama Muasisi wa Ukafiri ni Muhammad (S.A.W)?

Unataka kujua Ukafiri wake? [emoji1787]
Punga naona umekalia jiti la muhogo kwenye mada

Wewe sio tu kafiri bali ni mshenzi na nyani aliyechangamka..

1705620398660.png
 


Sofia Benlemmane Ambaye ni raia wa Algeria amefurushwa toka Ivory Coast (deportation) baada ya kutoa maneno ya kashfa juu ya taifa hilo na wenyeji wake wa Afcon.

Sofia alinukuliwa akisema Ivory Coast ni taifa maskini ambalo bado linaishi kama zama za kale na akaongeza kuwa Algeria imeendelea zaidi na haipaswi hata kuwa Afrika na inapaswa kuwa sehemu ya Hispania.

===== =====
AFCON 2023: Algerian Supporter Arrested and Deported for Mocking Ivory Coast

At the ongoing 2023 African Cup of Nations in Ivory Coast, Algerian football supporter Sofia Benlemmane was arrested and subsequently deported on January 16 after a video of her mocking Ivory Coast gained widespread attention.

The Rapid Intervention Brigade made the arrest in response to instructions from the Ivory Coast government, which aimed to maintain order and deter offensive behaviour during the competition.

Sofia Benlemmane had travelled to Ivory Coast with other football enthusiasts to partake in the continental football celebration. Actu Foot, a well-known Maghreb sports platform, revealed the specifics of her arrest and deportation on X (formerly Twitter). The platform reported, “Sofia Benlemmane, an Algerian supporter, was arrested yesterday at the stadium by the Rapid Intervention Brigade following comments made against Ivory Coast.”

According to Actu Foot, the Algerian supporter has not only been expelled but also banned for life from setting foot in Ivory Coast. The platform’s tweet stated, “She was expelled and banned from Ivory Coast for life.”

The incident unfolded after a 48-minute video surfaced in which Benlemmane compared Ivory Coast unfavourably to Algeria, using derogatory language to describe the host country. In the video, she remarked, “They live in misery here. I recorded a video yesterday at the bus station, and it’s the worst, like the prehistoric era. If I had some powers, I would have brought Algerians here to witness this.”

Continuing her disparaging remarks, she stated, “What a difference with Algeria! Long live Algeria. I thank God for giving me a country like Algeria. Normally, Algeria is not supposed to be in Africa. It was supposed to be situated between Portugal and Spain.”

Xenophobia, the fear and dislike of people from other countries, can be a concern during large sporting events like the African Cup of Nations. Although incidents of xenophobia are not widespread during these tournaments, isolated cases of discrimination or tension related to nationality have been reported.

Organisers make concerted efforts to promote unity and celebrate the diversity of participating nations. Vigilance is maintained to promptly address any instances of intolerance and ensure that the tournament remains a platform for sportsmanship and camaraderie.

Source: mimimefoinfos & punchng
Huyo sofia angekuja Tanzania akashuhudia umasikini na maisha yetu ya kinyumbu nyumbu miaka zaidi ya 60, baada ya uhuru angekata roho kwa kihoro.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana,hizo chuki zenu zimeshadhihirishwa kitambo na hakika kafiri hawezi ficha chuki zake kamwe
Acha kukariri mawazo tumia akili!
Alshababu, boko haramu, alqaida( na mauaji yake ya September 11, 2001), wale wanaojitoa mhanga kwa kuvaa mabomu, wale wauaji wa kule Msumbiji, nk.
Kwa tabia hizi hata kama akiwa mtoto wako hutampenda( Kwahiyo, kinachochukiwa hapo ni tabia siyo dini).
MBAYA ZAIDI, mnayo tabia ya kulazimisha watu wawe WAISLAMU mkidhani kuwa mpo katika imani sahihi ( Mwache mtu achague Imani anayoitaka Kwasababu HUKUMU ni ya mtu binafsi).
MAMBO AMBAYO hiari hairuhusiwi kutumika ni yale matendo yaliyo machukizo kwa jamii( Hapo matumizi ya nguvu ni muhimu).
 
Kwani ni kipi alicho danganya yakuwa sio kweli kuwa nchi hiyo ni masikini?

Mbona gazeti moja la Uingereza lilisha sema kuwa Dar eslaam ni sawa na kijiji cha uvuvi ?

Watu weusi hatupendi ukweli ,ndo yale yale mwaafika akienda Ulaya akaitwa mtu mweusi anashinda analia kuwa amebaguliwa sasa sijui alitaka aitwe mweupe hali ya kuwa yeye ni mweusi?
lile gazeti la marekani liliandika dar ni kijiji cha wavuvi kilichopo pwani ya afrika mashariki, labda walilinganisha na majiji yao wakaona dar ni kijiji tu. Sasa huyu mshabiki wa algeria ana tofauti gani na mtazamo wa morocco kujioni ni nchi ya uarabuni/ulaya? Hizi nchi za kiarabu zilizoko barani afrika zina nyodo za kudharau waafrika wenzao weusi. Sasa wakija kwetu kwenye afcon si ndiyo watahara kama tu ivory coast wanajamba hivyo?
 
lile gazeti la marekani liliandika dar ni kijiji cha wavuvi kilichopo pwani ya afrika mashariki, labda walilinganisha na majiji yao wakaona dar ni kijiji tu. Sasa huyu mshabiki wa algeria ana tofauti gani na mtazamo wa morocco kujioni ni nchi ya uarabuni/ulaya? Hizi nchi za kiarabu zilizoko barani afrika zina nyodo za kudharau waafrika wenzao weusi. Sasa wakija kwetu kwenye afcon si ndiyo watahara kama tu ivory coast wanajamba hivyo?
Kwahiyo kaongea uongo nchi za waafirika sio masikini hiyo ndo hoja.
 
Duh ..bi mdada kavurumisha mawe.. afrika tujenge nchi zetu jamani wageni wanakuja wanatushangaa..
 
Kwani ni kipi alicho danganya yakuwa sio kweli kuwa nchi hiyo ni masikini?

Mbona gazeti moja la Uingereza lilisha sema kuwa Dar eslaam ni sawa na kijiji cha uvuvi ?

Watu weusi hatupendi ukweli ,ndo yale yale mwaafika akienda Ulaya akaitwa mtu mweusi anashinda analia kuwa amebaguliwa sasa sijui alitaka aitwe mweupe hali ya kuwa yeye ni mweusi?
Kwanini asiseme asiwe miongoni mwa nchi za waarabu na siyo ya makafiri Spain?
Waarabu wajinga sana na wanafiki wakikaa huko kwenye vijiwe vya kahawa wanaanza haya makafiri wakati maisha yao 98% wanategemea makafiri ili waishi.
Hapo ulipo mitandao yote unatumia ya makafiri. Huwa nacheka sana mashekh YouTube nao wanahangaika kuweka video walipwe na makafiri😀😀😀😀
Hapo ulipo unawatukana makafiri halafu ukitoka unaweka Qaswida kwenye flash aliyotengeneza makafiri unaweka kwenye sabufa aliyotengeneza makafiri. Ukimaliza unaswali kwa kiarabu unamshukuru Allah unaona makafiri ni watu waliopotea na waliolaaniwa kisha unapanda chombo cha usafiri alichotengeneza makafiri unaenda msikitini, unakaa sakafuni ambayo cement ametengeneza makafiri, ukitoka hapo unachukua simu aliyotengeneza makafiri, unaingia mtandao aliotengeneza makafiri unawatukana makafiri nyie, kisha unaingia YouTube unaangalia video ukitoka, unaenda kuangalia muvi za makafiri Prison Break, jioni unaenda kuangalia mpira wa makafiri Manchester United vs Arsenal😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom