AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

Duh ..bi mdada kavurumisha mawe.. afrika tujenge nchi zetu jamani wageni wanakuja wanatushangaa..
Hata yeye ana ujinga tu kwanini asijifananishe na nchi za waarabu?
Waarabu ni wanafiki sana, ukifika kwa mtu paheshimu hata kama ni nyumba ya nyasi
 
Kwanini asiseme asiwe miongoni mwa nchi za waarabu na siyo ya makafiri Spain?
Waarabu wajinga sana na wanafiki wakikaa huko kwenye vijiwe vya kahawa wanaanza haya makafiri wakati maisha yao 98% wanategemea makafiri ili waishi.
Hapo ulipo mitandao yote unatumia ya makafiri. Huwa nacheka sana mashekh YouTube nao wanahangaika kuweka video walipwe na makafiri[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo ulipo unawatukana makafiri halafu ukitoka unaweka Qaswida kwenye flash aliyotengeneza makafiri unaweka kwenye sabufa aliyotengeneza makafiri. Ukimaliza unaswali kwa kiarabu unamshukuru Allah unaona makafiri ni watu waliopotea na waliolaaniwa kisha unapanda chombo cha usafiri alichotengeneza makafiri unaenda msikitini, unakaa sakafuni ambayo cement ametengeneza makafiri, ukitoka hapo unachukua simu aliyotengeneza makafiri, unaingia mtandao aliotengeneza makafiri unawatukana makafiri nyie, kisha unaingia YouTube unaangalia video ukitoka, unaenda kuangalia muvi za makafiri Prison Break, jioni unaenda kuangalia mpira wa makafiri Manchester United vs Arsenal[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu weusi bana, sasa hapo tatizo ni nini? Kukubali Ukweli ni tatizo sugu kwa waafrika
 
Huyu akija Bongo anaweza akatutukana matusi hadi ya keshokutwa...
 
Wanataka kuwa sehemu spain sio uarabuni lwa wenzao na hapohapo wakikubaliwa wataanza chokoochoko..
Waarabu si watu kabisa
Waarabu wametawala Hispania zaid ya miaka 200,ajabu mkiristo mmoja na genge lake wakaanzisha mauwaji
 
Ahmed Ben Bella must be rolling in his grave.

Watoto hawajui hata urithi aliowaachia.
 
Atamani kuwa Spain kivipi?kwanini sio Saudi Arabia,Iraq hata Turkey.anajua jinsi ambavyo waarabu hawapendani ,vita zote zinazoendelea huko huwezi sikia wakimbizi wakienda nchi za kiarabu za kislam.wazunhu ambao wanawachukia ndio kimbilia lao
 
Kwani ni kipi alicho danganya yakuwa sio kweli kuwa nchi hiyo ni masikini?

Mbona gazeti moja la Uingereza lilisha sema kuwa Dar eslaam ni sawa na kijiji cha uvuvi ?

Watu weusi hatupendi ukweli ,ndo yale yale mwaafika akienda Ulaya akaitwa mtu mweusi anashinda analia kuwa amebaguliwa sasa sijui alitaka aitwe mweupe hali ya kuwa yeye ni mweusi?
Kwani ameenda kuangalia mpira au kutafti umasikini?
 
Ndo unazidi kuonesha upumbavu wa mtu mweusi ya kuwa hakuna anacho jua zaidi ya kashifa,kama kashifa unazo shinda humu unatoa dhidi ya waisilamu zingekuwa na faida kwako nadhani ulitakiwa kuwa zaidi ya Dangote kwa utajiri, lakini ndo kwanza hata kula yako ni shida.

Kitendo cha ww kuingiza kejeli za kidini kwenye mada isiyo husiana na dini ina kuonesha jinsi alivyo jaa uharo kichwani badala ya ubongo hivyo kila unacho waza kime kaa kimavi mavi.
Samahani mjumbe wewe ni mweupe?
 
Kwahiyo kaongea uongo nchi za waafirika sio masikini hiyo ndo hoja.
hata kama kaongea ukweli haitakiwi kihivyo. Huwezi kwenda kwa mtu halafu unaanza kusemasema mapungufu yake
 
Hao waarabu kwanza wale watu weusi wanaojinasibisha na dini yao waga wanaelewa kwamba ni makafiri tu kama makafiri wengine.

Pia mtu akishakufanya mtumwa wake hadi akawahasi wengine wenu unafikiri atakuheshimu si anaelewa tu kwamba wewe bado ni yule yule pagazi wake.

Waafrika kwa inferiority complex tuliyo nayo, sisi ndio tunapenda kujipendekeza kwao lakini wenyewe hawana muda nasi hadi tunaenzi tamaduni zao na majina tunatumia ya kwao. Afrika bure kabisa.
 
Hao waarabu kwanza wale watu weusi wanaojinasibisha na dini yao waga wanaelewa kwamba ni makafiri tu kama makafiri wengine.

Pia mtu akishakufanya mtumwa wake hadi akawahasi wengine wenu unafikiri atakuheshimu si anaelewa tu kwamba wewe bado ni yule yule pagazi wake.

Waafrika kwa inferiority complex tuliyo nayo, sisi ndio tunapenda kujipendekeza kwao lakini wenyewe hawana muda nasi hadi tunaenzi tamaduni zao na majina tunatumia ya kwao. Afrika bure kabisa.
Ni heri tuwe watumwa wa wazungu kuliko waarabu au siyo?
 
Kwanini asiseme asiwe miongoni mwa nchi za waarabu na siyo ya makafiri Spain?
Waarabu wajinga sana na wanafiki wakikaa huko kwenye vijiwe vya kahawa wanaanza haya makafiri wakati maisha yao 98% wanategemea makafiri ili waishi.
Hapo ulipo mitandao yote unatumia ya makafiri. Huwa nacheka sana mashekh YouTube nao wanahangaika kuweka video walipwe na makafiri[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo ulipo unawatukana makafiri halafu ukitoka unaweka Qaswida kwenye flash aliyotengeneza makafiri unaweka kwenye sabufa aliyotengeneza makafiri. Ukimaliza unaswali kwa kiarabu unamshukuru Allah unaona makafiri ni watu waliopotea na waliolaaniwa kisha unapanda chombo cha usafiri alichotengeneza makafiri unaenda msikitini, unakaa sakafuni ambayo cement ametengeneza makafiri, ukitoka hapo unachukua simu aliyotengeneza makafiri, unaingia mtandao aliotengeneza makafiri unawatukana makafiri nyie, kisha unaingia YouTube unaangalia video ukitoka, unaenda kuangalia muvi za makafiri Prison Break, jioni unaenda kuangalia mpira wa makafiri Manchester United vs Arsenal[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ulicho kiandika kinadhihirisha jinsi ulivyo na uharo kichwani.
 
Lakini bora tusemwe tu viongozi wengi wa nchi zetu wapo kutafuna kodi za wananchi na kupora mali zetu, kukopa na kujinufaisha wao, ukweli usemwe tu nchi zetu kuwa takataka tunapenda wenyewe.
Afrika ni dhahabu lakini nchi zake ni maskini kwa sababu ya tawala mbovu.
 
Back
Top Bottom