AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

amesema kama anaelekea kwenye ukweli, pamoja na kwamba kujilinganisha na nchi yeyote ya ulaya ameenda mbali sana, angejaribu kujilinganisha na wenzake wa misri au morocco, kwasababu ulaya huwezi kwenda kukuta nyumba za udongo kama walizonazo waarabu wa kaskazini, huwezi kukuta punda anabeba mizigo ulaya, jambo ambalo algeria na morocco utalikuta. all in all waarabu wa kaskazini ni mambumbumbu fulani tu ambayo yanajiweka sawa na ulaya wakati yapo africa.
 
Hataree sana
 
Huwa wanajifanya wanakandia Wakristo(Makafiri) lakini bado wanajipendekeza kwa haohao Makafiri
Ndugu yangu hizo nchi za wazungu waarabu wapo wengi sana tena sana ukienda France 🇫🇷 wamejaa Belgium ndio usiseme The Netherlands Nk tena utakuta watu wana zaidi ya 40 miaka 50 wamezaliwa humo sio sisi waafrika weusi na ukristo wetu na kujepende kote.
 
Waafrika hatupendi ukweli. Kukosolewa tuchukulie ni changamoto za kujirekebisha.

Kusema kweli hata hapa kwetu Tanzania maisha na nchi yetu ilivyo na utajiri, hatukutakiwa tuishi kimasikini.

Kawapa za uso wamekasirika.

Na chama chako cha Majizi unachoshabikia ndio kimetufikisha hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…