AFCON: Tanzania kumenyana na Morocco, DR Congo na Zambia kundi F

AFCON: Tanzania kumenyana na Morocco, DR Congo na Zambia kundi F

falcon Q

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2023
Posts
972
Reaction score
2,569
Wanamichezo kama mnavyofahamu leo ndo inafanzika droo ya upangaji wa makundi ya michuano ya AFCON karibuni tupeane update ya zoezi hilo.

---
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepangwa Kundi F katika Michuano ya Kombe la Afrika (AFCON) 2023 itakayofanyika Januari 13 hadi Februari 11, 2024 Nchini Ivory Coast na kushirikisha timu 24

Makundi yapo kama ifuatavyo

GROUP A
Ivory cost
Nigeria
Gunea equatorial
Guinea bisau

GROUP B
Egypt
Ghana
Cape verde
Mozambique

GROUP C
Senegal
Cameroon
Guniea
Gambia

GROUP D
Algeria
Bukinafaso
Mauritania
Angola

GROUP E
Tunisia
Mali
South africa
Namibia

GROUP F
Morocco
DRC
Zambia
Tanzania
 
Pot 1
Ivory cost
Moroccow
Senegal
Tunisia
Algeria
Egypt

Pot 2
Nigeria
Cameron
Mali
Burkinafaso
Ghana
DRC

Pot3
South africa
Cape verde
Guinea
Zambia
Equatoria guinea
Mauritania

Pot4
Mozambique
Namibia
Angola
Gambia
Tanzania
Guinea bissau
 
Back
Top Bottom