AFCON: Tanzania kumenyana na Morocco, DR Congo na Zambia kundi F

AFCON: Tanzania kumenyana na Morocco, DR Congo na Zambia kundi F

Ha mkuu Croatia imekuwa vizuri enzi na enzi. Usilinganishe mafanikio ya Croatia ni ya muda mfupi mkuu. Mpira no sayansi na sayansi inajengwa kwa muda. Tanzania still has a long way to go
Sawa huwezi linganisha Tanzania na Croatia, ila katika historia ya mpira Croatia haijawahi kuwa na historia kubwa kupita mataifa ya argentina, Brazil, Italy, Spain, England Belgium, na mataifa mengine makubwa.

Sometimes mpira unachezwa na mentality ya viongozi na wachezaji pamoja na taifa zima kwa ujumla kitu ambacho kinajenga spirit ya wachezaji, ukitizama Croatia ni taifa lenye wachezaji wanaotizamiwa wa viwango vikubwa vya wastani katika ulimwengu wa soka na ni taifa underdog mbele ya magiant nations za kwenye World Cup, kinachoipatia ubora Croatia ni spirit yao ya kulipambania taifa lao ukiangalia mechi zao wachezaji wao wanajitoa wanapambana kwa moyo wote kwaajili ya taifa lao.

Tanzania nayo inaweza kwani kulikuwa na timu bora kuipita Uganda kwa ukanda wa East Africa? Wako wapi leo na Tanzania ipo wapi?
Kuna muda inabidi tukubali kuwa tunaweza na tuache kujidharau, kikubwa tulipende Taifa letu na tuwe na moyo wa kizalendo tusapport timu yetu na sisi, tuache kujiaminisha mambo ya kizamani.

Mpira sio hivyo mnavyoutizama, mpira sio draft kwamba anaejua hafungwi, mpira ni mchezo wa ajabu sana lolote linawezekana kwasababu mpira unadunda.

Tulivyocgeza na Algeria kuna watanzania waliosema tuliachiwa, yani watu hawaipendi timu yao na kukubali maendeleo ya timu ya taifa.

Naiamini Taifa stars na naipenda Tanzania wacha tukafanye wonderful, nyie watanzani waarabu msitukatishe
 
Sawa huwezi linganisha Tanzania na Croatia, ila katika historia ya mpira Croatia haijawahi kuwa na historia kubwa kupita mataifa ya argentina, Brazil, Italy, Spain, England Belgium, na mataifa mengine makubwa.

Sometimes mpira unachezwa na mentality ya viongozi na wachezaji pamoja na taifa zima kwa ujumla kitu ambacho kinajenga spirit ya wachezaji, ukitizama Croatia ni taifa lenye wachezaji wanaotizamiwa wa viwango vikubwa vya wastani katika ulimwengu wa soka na ni taifa underdog mbele ya magiant nations za kwenye World Cup, kinachoipatia ubora Croatia ni spirit yao ya kulipambania taifa lao ukiangalia mechi zao wachezaji wao wanajitoa wanapambana kwa moyo wote kwaajili ya taifa lao.

Tanzania nayo inaweza kwani kulikuwa na timu bora kuipita Uganda kwa ukanda wa East Africa? Wako wapi leo na Tanzania ipo wapi?
Kuna muda inabidi tukubali kuwa tunaweza na tuache kujidharau, kikubwa tulipende Taifa letu na tuwe na moyo wa kizalendo tusapport timu yetu na sisi, tuache kujiaminisha mambo ya kizamani.

Mpira sio hivyo mnavyoutizama, mpira sio draft kwamba anaejua hafungwi, mpira ni mchezo wa ajabu sana lolote linawezekana kwasababu mpira unadunda.

Tulivyocgeza na Algeria kuna watanzania waliosema tuliachiwa, yani watu hawaipendi timu yao na kukubali maendeleo ya timu ya taifa.

Naiamini Taifa stars na naipenda Tanzania wacha tukafanye wonderful, nyie watanzani waarabu msitukatishe
Sawa tunaweza ndio kina George mpole kweli?
 
Wanamichezo kama mnavyofahamu leo ndo inafanzika droo ya upangaji wa makundi ya michuano ya AFCON karibuni tupeane update ya zoezi hilo.

---
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepangwa Kundi F katika Michuano ya Kombe la Afrika (AFCON) 2023 itakayofanyika Januari 13 hadi Februari 11, 2024 Nchini Ivory Coast na kushirikisha timu 24

Makundi yapo kama ifuatavyo

GROUP A
Ivory cost
Nigeria
Gunea equatorial
Guinea bisau

GROUP B
Egypt
Ghana
Cape verde
Mozambique

GROUP C
Senegal
Cameroon
Guniea
Gambia

GROUP D
Algeria
Bukinafaso
Mauritania
Angola

GROUP E
Tunisia
Mali
South africa
Namibia

GROUP F
Morocco
DRC
Zambia
Tanzania
Hili kundi F ni jepesi sana kwa Tanzania. Ila cha kushangaza itashika mkia kwenye kundi lao, kama linavyo onekana.
 
Sawa tunaweza ndio kina George mpole kweli?
Kanuni bora ya mafanikio inakuambia ili ukomae lazma ukutane na big challenges na waliofanikiwa ni wale walioweza kuzikabili na kubuni njia za kuzikabili changamoto,
Shujaa huesabiwa kwa kuvishinda vita vigumu, nahodha mahiri wa meli hapimwi kwenye bahari tulivu.
Uoga ndy mama wa umaskini na kufeli katika kila jambo.
We are undermined but we can do something.
Haikuaminiwa kama tungefika hatua hii na pia hatuaminiwi pia kama tutatoboa, sisi ndy Tanzania watoto wa kambarage na wa Nyerere. Tunakwenda tutarudi na kitu huko:
 
Ila kuna shida sehemu...matukio ya mpira Tanzania kwa timu ya Taifa yanaenda kimya kimya kuliko matukio ya timu za kawaida.
# Yanapangwa makundi ya Afcon hakuna taarifa wala hamasa.
# Inateuliwa timu ya Taifa kimya kimya.
# Timu ya Taifa inacheza lini na nani? haijulikani kwa wengi.
Huyu Ndimbo kazi yake nini?! kuna timu za Taifa kama vile Zambia ambao tuko nao kundi moja ndani ya hii wiki watacheza zaidi ya mechi tatu za kujipima nguvu..sisi tukipata mechi moja tushukuru.
Haya ajitokeze mtu atupe ratiba ya Taifa Stars na orodha ya wachezaji walioitwa.
Nitabaki na Simba yangu daima.. Stars hata afungwe goli 100 wala hainistui.
 
Kanuni bora ya mafanikio inakuambia ili ukomae lazma ukutane na big challenges na waliofanikiwa ni wale walioweza kuzikabili na kubuni njia za kuzikabili changamoto,
Shujaa huesabiwa kwa kuvishinda vita vigumu, nahodha mahiri wa meli hapimwi kwenye bahari tulivu.
Uoga ndy mama wa umaskini na kufeli katika kila jambo.
We are undermined but we can do something.
Haikuaminiwa kama tungefika hatua hii na pia hatuaminiwi pia kama tutatoboa, sisi ndy Tanzania watoto wa kambarage na wa Nyerere. Tunakwenda tutarudi na kitu huko:
Ukimya huwa na mshindo mkuu...
Timu ya Taifa haina vilaza kama unavyofikiria,

Kuweka kila kitu wazi mda mwingine kunaaribu mambo, hata mechi na Algeria hakukuwa na hamasa kubwa ila kazi ilionekana, sometimes makelele mengi yanawaharibu wachezaji na bench la ufundi psychologically.
We subiri baada ya mashindano kuanza ndiyo utupe lawama au upongeze kile kitakachokuwa kinaendelea.
 
kama timu inayotakiwa ni moja, morocco ameenda, ila kama ni mbili, morocco na tanzania wameenda. tunao uwezo kuwafunga zambia na drc hata kama wanacheza vizuri kuliko sisi.
 
Sawa huwezi linganisha Tanzania na Croatia, ila katika historia ya mpira Croatia haijawahi kuwa na historia kubwa kupita mataifa ya argentina, Brazil, Italy, Spain, England Belgium, na mataifa mengine makubwa.

Sometimes mpira unachezwa na mentality ya viongozi na wachezaji pamoja na taifa zima kwa ujumla kitu ambacho kinajenga spirit ya wachezaji, ukitizama Croatia ni taifa lenye wachezaji wanaotizamiwa wa viwango vikubwa vya wastani katika ulimwengu wa soka na ni taifa underdog mbele ya magiant nations za kwenye World Cup, kinachoipatia ubora Croatia ni spirit yao ya kulipambania taifa lao ukiangalia mechi zao wachezaji wao wanajitoa wanapambana kwa moyo wote kwaajili ya taifa lao.

Tanzania nayo inaweza kwani kulikuwa na timu bora kuipita Uganda kwa ukanda wa East Africa? Wako wapi leo na Tanzania ipo wapi?
Kuna muda inabidi tukubali kuwa tunaweza na tuache kujidharau, kikubwa tulipende Taifa letu na tuwe na moyo wa kizalendo tusapport timu yetu na sisi, tuache kujiaminisha mambo ya kizamani.

Mpira sio hivyo mnavyoutizama, mpira sio draft kwamba anaejua hafungwi, mpira ni mchezo wa ajabu sana lolote linawezekana kwasababu mpira unadunda.

Tulivyocgeza na Algeria kuna watanzania waliosema tuliachiwa, yani watu hawaipendi timu yao na kukubali maendeleo ya timu ya taifa.

Naiamini Taifa stars na naipenda Tanzania wacha tukafanye wonderful, nyie watanzani waarabu msitukatishe
Maneno mengi kumbe Pumba tu, Ubelgiji amemzidi nn Croatia kihistoria kwenye mafanikio ya soka!?
 
Ulijuaje?
Ndio tupo nao sasa, ila me naona kua kundi letu ni jepesi sana, tukikaza makalio tunaweza tukaendelea na hatua zifuatazo.
Ndio mkuu lolote linawezekana kabisa
Nilioteshwa na marehemu babu yangu
Hapa tunavuka mkuu
 
Back
Top Bottom