Wakenya mkowengi kweli kwenye uzi huu! Kwa taarifa yako Tanzania tunashida kombe hili kwa bao 2-0 siku ya Fainali.
======
Serengeti Boys 2 Angola 1. Asante sana vijana, Hongera sana Shime na benchi la Ufundi. Yaani hadi raha; unatoka kuangalia timu ya taifa lako kwa kicheko na furaha. Tumevikosa muda mrefu vitu hivi. Tusonge mbele hadi kombe la dunia.
------------
Kuna website hii hapa chini inatoa taarifa na habari za haraka sana za michuano hii. Moderators mwaweza kuiweka hapo juu watu wafuatilie.
Suleiman fires Tanzania U17 to Group B summit - 2017 U17 Africa Cup of Nations - Angola U17
Jamani Moderators nipeni umoderator wa muda kwa uzi huu nishughulikie wakorofi! Huu uzi usichezewe kabisa tafadhali nipeni umoderator kwenye uzi huu tu.SAA 23.45,Leo mpaka kesho
Daaah! we kweli jinga laoChadema msituletee gundu kwenye timu yetu
Wakenya mkowengi kweli kwenye uzi huu! Kwa taarifa yako Tanzania tunashida kombe hili kwa bao 2-0 siku ya Fainali.
======
Serengeti Boys 2 Angola 1. Asante sana vijana, Hongera sana Shime na benchi la Ufundi. Yaani hadi raha; unatoka kuangalia timu ya taifa lako kwa kicheko na furaha. Tumevikosa muda mrefu vitu hivi. Tusonge mbele hadi kombe la dunia.
------------
Kuna website hii hapa chini inatoa taarifa na habari za haraka sana za michuano hii. Moderators mwaweza kuiweka hapo juu watu wafuatilie.
Suleiman fires Tanzania U17 to Group B summit - 2017 U17 Africa Cup of Nations - Angola U17
Naona una siku nyingi hujatukanwa mkuu. Hawa wana sera madhubuti ya matusi na kuibukia matukio.Chadema msituletee gundu kwenye timu yetu
Mali wanalingana pointi na Tanzania lakini wanakaa kileleni kwa 'ustaarabu' wa Alfabeti.
Kivipi mkuu?Niger akishinda 1 - 0 serengeti out.
Watapita Niger na Angola kwa Goal difference ya 1 kila mmoja na sisi na Mali tutakuwa na Goal difference ya -1Itakuaje mechi inayofuata mali wakifungwa 3-1. Na sisi tukapotea kwa tatu moja. Atapita nani.?
Nawaza tu, siombei itokee.