Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Kwa kweli wamejitahdi, ila sapoti bado si ya kutosha yaani madogo wako uwanjani utadhani wao ndio watanzania pekee. Pia hawa vijana wakimaliza mashinda waendelee kuwa kambini kwa ajili ya U20, wakishachukuliwa na yanga na simba basi mpira wao utaishia hapo. Pia vijana washauliwe kufocus mbele si kwa simba na yanga