AFCON (u17)-2017 Gabon: Serengeti boys special thread

Kiswahili kinatufanya tujihisi inferior wala so ishu ya exposure
 
Dakika ya 91
Mali 0 Tanzania 0
 
Dakika zilizobakia hata kuku hawezi kumeza punje ya mtama
 
Hawa Mali ni wazuri sana, ni hatari kweli kweli.
 
Hongera sana kwa Serengeti Boy's

1.Defence kuanzia Kipa na mabeki wanacheza kwa kushirikiana na kujiamini sana

2.Game plan ya kocha ilikuwa kuzuia tusifungwe naamini mechi ijayo atabadilisha tucheze mfumo wa kushambulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…