AFCON (u17)-2017 Gabon: Serengeti boys special thread

AFCON (u17)-2017 Gabon: Serengeti boys special thread

Naftal (20) mjanja. Ametulia. Mashambulizi golini kwetu.
 
Beki wa kulia wa Serengeti Boys ni uchochoro,Mali wanapita upande wake
 
Mbona hawa vijana wazito sana..... Wanaogopa nini? Au maelekezo yalikuwa mengi sana
 
Back
Top Bottom