AfDB gives Tanzania $1.1 billion for railway, Bagamoyo port

AfDB gives Tanzania $1.1 billion for railway, Bagamoyo port

Dah waafrika kujitegemea sijui lini. Kamwe hatuwez kufanya kitu bila msaada wa hela.
Mbona hata Marekani wanakopa kutoka China. Kukopa si tatizo ila tatizo kama hiyo pesa haijaelekezwa kwa uwekezaji wa tija ya muda mrefu.
 
Usipendo vya dezodezo utauwawa bure.
nyinyi si ndio mnatuua walala hoi kwa njaa? Ama kwako unadhani kuua hadi umkatekate m
Mbona hata Marekani wanakopa kutoka China. Kukopa si tatizo ila tatizo kama hiyo pesa haijaelekezwa kwa uwekezaji wa tija ya muda mrefu.
mkuu asante sana kwa reply. Inatukatisha tamaa sana. Ila kwa kila KITU/MRADI Wowote ccm wanafanya iwe hata manufaa kwa mwananch ni dilii. Ushahid hupo
 
Kwanza thamani halisi ya project ya reli haieleweki,finance minaster anasema dola bilion 9 huku mnasema dola bilion 14.1,which is the actual price? Pili serikali inashindwa vipi kumobilize finances kutoka private sector,public(wananchi) na mashirika ya umma kama bandari? Sikatai kukopa lakini kukopa kumezidi tena mikopo ya mda mfupi,serikali haina ubunifu kabisa,kajifunze kwa Ethiopia,Rwanda n.k.Ntakuja na mbinu hapa jinsi ya kufanya hilo jambo na wadau tusaidie serikali kwa ushauri badala ya kulaumu tuu
 
Sio kila mada kila mtu anaweza kuchangia....hujui unachosema,jifunze kuuliza na sio kuja na hitimisho kwa mambo ya kitaalamu ambayo huyajui.
Hayo mambo ya kitaalamu tumeambiwa toka mda mrefu sana,hayo ya kukopa bila wananchi kujua gharama ya mradi inasaidia nini,na kwanini gharams hizo zinafichwa?
 
Bandari bagamoyo ya nini wakati tungeweka vizuri ile ya Tanga basi
 
Railway inahitaji $14 Billion, Bandari ya Bagamoyo $10 Billion, so far tumepata $1Billion, bado parefu.
 
.....So deni la taifa laongezeka,badala ya kupungua...!?lets standardise,modernise TANGA PORT,DAR PORT,MTWARA PORT.its enough,its wise !!
 
mkuu mambo gani ya kitaalamu?? Acheni hizo bwana. Ni nyerere pekee yake alikuwa na nia njema na sisi. Alijitahid sana kutufanya tujitegemee. Ni bora tubaki tulivyo kuliko kuzidi kukopa na kukopeshwa Ni mzigo mkubwa mnawatwisha tuw walala hoi. DART tumekopa holaa bomba la gesi holaa maden juu ya maden. Tukaaminishwa iyo mirad itatunufaisha sasa utalaam gani hapo mkuu? Kuwen tu na huruma na walala hoi. Mlala hoi anataka mlo wa uhakika maji ya uhakika na malazi ya uhakika. Anzen na hizo kwanza siyo mnakimbilia kukopa na kutandanza michuma ardhini. HAPANA!! Kuweni na Utu
Bora ubaki huko huko,tuendelee kuosha vyombo. Maana kwa hii akili yako,bongo huwezi ku survive a day.
 
Nusu ya hizo pesa tulizikataa sababu ya Zenj toka USA tulizo kuwa tupewe bure... sasa tunakopa .....
bora kukopa kuliko bure. kama marekani sio wanafiki wangeona namna utawala bora unaimarishwa nchini na sio kuunga mkono porojo za wapinzani.
 
Thibitisha usemi wako kuwa nusu USA ingetoa bure!!!!
Lakini elewa Vya bure a ghari, na KIMSINGI hazingetolewa bure kungekuwa na masharti ya wazi na mengine yasiyo wazi
Kulipa hilo deni ndio muhimu tusome kutoka Greece why sasa wamekaliwa rohoni na EU na IMF baada ya kushindwa kulipa madeni.
Greece ni nchi yenye historia ya mamilionea wengi sana duniani na biashara kubw sana ya Utalii. Karibu inaingiza watalii wastani wa milioni 17.5 kwa mwaka (World Bank) kwa hiyo ni nzuri kwa vyanzo vya kodi kuongezea pato la Taifa pamoja na fedha za kigeni.
Bado Greece imefilisika kutokana na mikopo na udhibiti mbaya wa fedha pamoja na Ufisadi.
Thibitisha usemi wako kuwa nusu USA ingetoa bure!!!!
Lakini elewa Vya bure a ghari, na KIMSINGI hazingetolewa bure kungekuwa na masharti ya wazi na mengine yasiyo wazi
Kulipa hilo deni ndio muhimu tusome kutoka Greece why sasa wamekaliwa rohoni na EU na IMF baada ya kushindwa kulipa madeni.
Greece ni nchi yenye historia ya mamilionea wengi sana duniani na biashara kubw sana ya Utalii. Karibu inaingiza
 
Kulipa hilo deni ndio muhimu tusome kutoka Greece why sasa wamekaliwa rohoni na EU na IMF baada ya kushindwa kulipa madeni.
Greece ni nchi yenye historia ya mamilionea wengi sana duniani na biashara kubw sana ya Utalii. Karibu inaingiza watalii wastani wa milioni 17.5 kwa mwaka (World Bank) kwa hiyo ni nzuri kwa vyanzo vya kodi kuongezea pato la Taifa pamoja na fedha za kigeni.
Bado Greece imefilisika kutokana na mikopo na udhibiti mbaya wa fedha pamoja na Ufisadi.

Kulipa hilo deni ndio muhimu tusome kutoka Greece why sasa wamekaliwa rohoni na EU na IMF baada ya kushindwa kulipa madeni.
Greece ni nchi yenye historia ya mamilionea wengi sana duniani na biashara kubw sana ya Utalii. Karibu inaingiza

Sababu kubwa ya Greece kupata matatizo yote uliyosema ni kuwa na Serikali legelege iliyoshondwa kukusanya KODI kwa raia wake iliwemo makampuni makubwa/matajiri .
 
Sababu kubwa ya Greece kupata matatizo yote uliyosema ni kuwa na Serikali legelege iliyoshondwa kukusanya KODI kwa raia wake iliwemo makampuni makubwa/matajiri .
Kwani hivi sasa kodi tunakusanya vilivyo tusidanganyane bro

Might is not right
 
TANESCO wameandika barua EWURA kuomba kushusha bei ya umeme shirika lina madeni luluki, huduma zake zina sua sua, kuna sehemu luluki bado zinaomba kupewa huduma ya umeme sasa badala ya kipindi hiki cha mavuno ya kushuka kwa gharama za umeme watumie hizo faida kulipa madeni au kuwekeza shirika liwe imara wao wanaomba kushusha bei wakati mafuta yakipanda bei wakipandisha tena jamii itapiga makelele tu; on the other hand huku serikari inaenda kuongeza madeni kwa sababu ya TANESCO iwekeze kwenye nishati: Only in Tanzania.
 
Duh, hii mikopo inabidi dhamana iwe hati ya ardhi ya nchi nzima.

Maana sioni dalili za kulipa hii mikopo + lile deni la taifa ambalo ni almost $15 billion.
Kila nchi wewe pimbi tumieni ajili ninyi nyumbu,
 
Back
Top Bottom