Afghanistan: Taliban yapiga marufuku saluni za kike

Afghanistan: Taliban yapiga marufuku saluni za kike

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Saluni za nywele na urembo zinatarajiwa kufungwa wiki kadhaa zijazo hali ambayo inatarajia kusababisha ajira 60,000 kupotea.

Uongozi wa Taliban baada ya kuingia madarakani Mwaka 2021 uliruhusu saluni hizo kuendelea lakini wamebadili maamuzi hayo wakati ambapo tayari wamezuia Wanawake kwenda Shule, kumbi za mazoezi na kwenye viwanja vya michezo.



Taliban beauty salon ban: Three Afghan women mourn the end of a valued service

Hair and beauty salons across Afghanistan will close in the coming weeks on the Taliban's orders.

Their closure will lead to the loss of an estimated 60,000 jobs.

Salons had been allowed to keep operating since the Taliban retook power two years ago, but it reversed its position last month.

The decision further restricts spaces open to Afghan women, who are already barred from classrooms, gyms and parks.

23-year-old Zarmina was in a beauty salon getting her hair dyed dark brown when news of the approaching closures came through.

"The owner got a big shock and started to cry. She is the breadwinner for her family," the mother of two said.

"I couldn't even look at the mirror when my eyebrow was being done. Everyone was in tears. There was silence."

Zarmina lives in Kandahar in southern Afghanistan, the Taliban's conservative citadel where the supreme leader resides.

She says it's common here for men to ban their daughters from wearing make-up or going for a beauty treatment.

"Most women walk around in a burqa or hijab here. We have accepted it as part of our culture."

Zarmina was married at 16. She says a chat at the beautician was enough to give her a rare sense of freedom.

"I wasn't allowed to leave my house on my own, but I managed to persuade my husband, and was allowed to visit the beauty salon two or three times a year."

She used to go to the salon with a woman from her neighbourhood, developing a deep friendship with one of its workers.

"In the past, women used to talk about ways to influence their husbands. Some were open about their insecurities."

But the economic crisis had gradually intruded into their lives after the Taliban retook power in August 2021 following the withdrawal of US forces from the country.

Women's freedoms have steadily shrunk since then.

"Now women only talk about unemployment, discrimination and poverty," Zarmina says.
 
Upuzi sana, yote hii unalazimisha watu kwa kutumia 'mungu' ambaye huna uwezo wa kudhihirisha uwepo wake, au ukute huyo unayemuabudu sio, maana uislamu umeanzishwa juzi tu baada ya kukuta dini zingine, huyo mohammad kakurupuka jangwani na kuanzisha dini yake na kuanza kuua watu kwa kuwalazimishia hiyo dini.
 
I am proud to be.
To be what?

Sheria za hizi dini za uislam sijui ukristo zinazuia mwanamke kufanya kazi.

Mwanamke ni kukaa ndani tu na kuzaa, huruhusiwi hata kupiga kura.

Kwanza hizi dini hazitambui hata kwamba mwanamke ni mtu, ndio maana kipindi cha Yesu walikuwa hawahesabiwi.

Kwa kuwa Afghan ni nchi ya kidini, Taleban wako sahihi.
 
Wangapi tumeona hela imeingia kwenye account zao na wako kitaa?

Hii list siyo kukamatwa na ngozi?

SOMA MAJINA YA WALIOKULA FEDHA ZA AKAUNTI YA ESCROW KATIKA RIPOTI YA PAC INAYOSOMWA SASA BUNGENI.

Zitto: Upande wa viongozi wa kisiasa ambao waliingiziwa fedha katika akaunti zao binafsi ni; Mhe.
Andrew Chenge (Mb)

Zitto: Andrew Chenge aliingiziwa shilingi bilioni 1.6.

Zitto: Mhe. Anna Tibaijuka (Mb) na Waziri wa 62
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi shilingi bilioni 1.6.

Zitto: Mhe.William Ngeleja (Mb) na ambaye alikuwa Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4

Zitto: Ndg. Daniel N. Yona ambaye alikuwa pia Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4.

Zitto: Ndg. Paul Kimiti ambaye ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Sumbawanga
alipewa shilingi milioni 40.4

Zitto: Dr. Enos S. Bukuku ambaye alikuwa Mjumbe wa Bodi ya TANESCO aliingiziwa shilingi milioni 161.7.

Zitto: Upande wa Majaji Prof. Eudes Ruhangisa, aliingiziwa milioni 404.25 na J.A.K Mujulizi aliingiziwa shilingi milioni 40.4

Zitto: kwa upande wa Watumishi wa umma,Ndg. Philip Saliboko ambaye alikuwa mtumishi wa RITA aliingiziwa
shilingi milioni 40.4

Zitto: Ndg. Emmanuel Daniel Ole Naiko ambaye
alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa (TIC) aliingiziwa shilingi milioni 40.4

Zitto: Ndg. Lucy L. Appollo ambaye ni Mtumishi wa TRA aliingiziwa shilingi milioni 80.8.

Zitto: Viongozi wa Madhehebu ya
Dini walioingiziwa fedha na Benki ya Mkombozi ni Askofu 63
Methodius Kilaini shilingi 80.9

Zitto: Askofu Eusebius Nzigirwa shilingi milioni 40.4 na Mchungaji Alphonce Twimann Ye Simon shilingi milioni 40.4.

Zitto: Watu walienda kugawana fedha kwenye Benki tajwa wakiwa na mifuko ya rambo, sandarusi,
mabox, magunia na lumbesa TegetaEscrow

Zitto: Bilioni 73.5
zilitolewa na kugawanywa kwa watu mbalimbali kinyume cha
Sheria ya Benki Kuu na Taasisi za Fedha ya 2006

Zitto: Taarifa
ya benki (bank statements) yenye majina na akaunti zote
zilizoingiziwa fedha zimeambatishwa.

Zitto: Kamati imebaini mawasiliano kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
 
Oyaa wakuu ubalozi wa talbani uko wapi apa Tanzania?

Me nawakubali Sana awa jamaa nataka nikasake opportunity za life.
 
Saluni za nywele na urembo zinatarajiwa kufungwa wiki kadhaa zijazo hali ambayo inatarajia kusababisha ajira 60,000 kupotea.

Uongozi wa Taliban baada ya kuingia madarakani Mwaka 2021 uliruhusu saluni hizo kuendelea lakini wamebadili maamuzi hayo wakati ambapo tayari wamezuia Wanawake kwenda Shule, kumbi za mazoezi na kwenye viwanja vya michezo.



Taliban beauty salon ban: Three Afghan women mourn the end of a valued service

Hair and beauty salons across Afghanistan will close in the coming weeks on the Taliban's orders.

Their closure will lead to the loss of an estimated 60,000 jobs.

Salons had been allowed to keep operating since the Taliban retook power two years ago, but it reversed its position last month.

The decision further restricts spaces open to Afghan women, who are already barred from classrooms, gyms and parks.

23-year-old Zarmina was in a beauty salon getting her hair dyed dark brown when news of the approaching closures came through.

"The owner got a big shock and started to cry. She is the breadwinner for her family," the mother of two said.

"I couldn't even look at the mirror when my eyebrow was being done. Everyone was in tears. There was silence."

Zarmina lives in Kandahar in southern Afghanistan, the Taliban's conservative citadel where the supreme leader resides.

She says it's common here for men to ban their daughters from wearing make-up or going for a beauty treatment.

"Most women walk around in a burqa or hijab here. We have accepted it as part of our culture."

Zarmina was married at 16. She says a chat at the beautician was enough to give her a rare sense of freedom.

"I wasn't allowed to leave my house on my own, but I managed to persuade my husband, and was allowed to visit the beauty salon two or three times a year."

She used to go to the salon with a woman from her neighbourhood, developing a deep friendship with one of its workers.

"In the past, women used to talk about ways to influence their husbands. Some were open about their insecurities."

But the economic crisis had gradually intruded into their lives after the Taliban retook power in August 2021 following the withdrawal of US forces from the country.

Women's freedoms have steadily shrunk since then.

"Now women only talk about unemployment, discrimination and poverty," Zarmina says.

View: https://x.com/ajsteelshow/status/1829187261428314515
 
Back
Top Bottom