Afghanistan yatuma Brigade moja ya wapigani Kusaidia Lebanon

Afghanistan yatuma Brigade moja ya wapigani Kusaidia Lebanon

Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military base kuimefanya kuwa na Jeshi imara na sasa wanaanza kutoa msaada kwa Nchi jirani. Masaa machache Brigade ya Fatemiyoun imetua Syria tayari kuelekea Lebanon kutoa kipigo kwa Wanamgambo wa Israel, ikumbukwe Taliban ni wapigani wa Gorrila

BREAKING:
🇦🇫🇮🇱🇱🇧 Thousands of additional Afghan fighters from the Fatemiyoun Brigade have arrived in Syria to bolster Hezbollah's ranks if needed - I24

It's already happening. After announcing just a few weeks ago, the Taliban are already fulfilling their promise.

Taliban brigades are being formed and are preparing in Syria for the war with Israel. Next are the Houthis, who have a huge mobilization potential - 2 million reservists.

@IranObserver0
Israel iache vita vya kuwaonea wapalestina.Hizi habari si za utani.
 
Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military base kuimefanya kuwa na Jeshi imara na sasa wanaanza kutoa msaada kwa Nchi jirani. Masaa machache Brigade ya Fatemiyoun imetua Syria tayari kuelekea Lebanon kutoa kipigo kwa Wanamgambo wa Israel, ikumbukwe Taliban ni wapigani wa Gorrila

BREAKING:
[emoji1023][emoji1134][emoji1146] Thousands of additional Afghan fighters from the Fatemiyoun Brigade have arrived in Syria to bolster Hezbollah's ranks if needed - I24

It's already happening. After announcing just a few weeks ago, the Taliban are already fulfilling their promise.

Taliban brigades are being formed and are preparing in Syria for the war with Israel. Next are the Houthis, who have a huge mobilization potential - 2 million reservists.

@IranObserver0
Shida ni nini si israel tu ipige makombora mawili ya Doomsday hapo lebanon ya kusini mchezo uishe mbona hezbollah wanatamba sana mitandaoni wananguvu nyingi
 
Taleban hawa hawa walioacha marekani wakae raha mustarehe miaka 20 mpaka wakaamua kuondoka,watafanya nini?
Kumbuka Marekani aliondoka baada ya kuona bajeti ya ulinzi kubwa Afghanistan na amani haikupatikana Afghanistan.
Wanajeshi wa US walikua wakiuliwa mara kwa mara kwa mashambulizi ya kushtukiza.
Kuondoka kwa Marekani sio kwa kuamua tu bali ni kwa kuona athari kubwa kuliko faida hapo Afghanistan.
Unajua hapo Afghanistan Marekani keshazika askari wangapi!?
 
Rajab. Na ushawahi Ona matahaira Kama wa Hamas wanaompigana wakiwa katikati ya raia na bila kuvaa sare?. Raia ni Kinga ya hamas. Wavae sare wao ni mchizi?. Wavae sare wawe target?.
Unachosema kuhusu Hamas kutumia raia kama kinga hilo lilishathibitishwa kuwa ni uongo.
We unashikilia tambo za zamani ambazo Israel wenyewe wameshindwa kuthibitisha.
 
Vinu vya umeme vinavyopigwa Ukraine ni base za jeshi?. Nyinyi linapokuja suala la palestina amjali kuhusu congo Ukraine Wala sehemu nyingine yoyote. Tareban aende tu vita iwe yepesi. Au nao wataenda kujichanganya na raia ili wawe Kinga?.
Unafuatilia vita ya Ukraine au unaropoka tu hapa!?
Kama Ukraine anataka asishambuliwe miundombinu yake basi asishambulie ya Russia pia.
Russia anashambulia kama kulipa kisasi kwa Ukraine kushambulia raia na miundombinu katika mipaka ya Russia.
Congo wanaosababisha mambo kuwa magumu ni hao hao USA na France wanaofadhili upatikanaji wa bloody minerals.
 
Kumbuka Marekani aliondoka baada ya kuona bajeti ya ulinzi kubwa Afghanistan na amani haikupatikana Afghanistan.
Wanajeshi wa US walikua wakiuliwa mara kwa mara kwa mashambulizi ya kushtukiza.
Kuondoka kwa Marekani sio kwa kuamua tu bali ni kwa kuona athari kubwa kuliko faida hapo Afghanistan.
Unajua hapo Afghanistan Marekani keshazika askari wangapi!?
Ulongo mtupu,marekani ilikamilisha malengo yake ya kumuua osama hivyo hawakuwa na sababu ya kubaki.
 
Taliban imetuma Brigade moja ya Minofu.
 
Ulongo mtupu,marekani ilikamilisha malengo yake ya kumuua osama hivyo hawakuwa na sababu ya kubaki.
Osama haikuwa lengo kuu la kuuondoa utawala wa Taleban Afghanistan.
Usikute naongea na mtoto asiyeelewa anachoongea.
Osama ALQAEDA Taliban wanahusikaje!?
Osama kauliwa lini na Taliban walitolewa lini madarakani pale Afghanistan!?
Huna unalojua.
Taliban walitolewa miaka ya 2002 madarakani na vugu vugu za Osama na kumuua Osama ni miaka ya mbele na hiyo.
Kafuatilie huu mzozo vizuri uone Taliban na USA wametoka wapi tokea kina Hillary Clinton kufadhili Taliban kuivunja USSR.
 
Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military base kuimefanya kuwa na Jeshi imara na sasa wanaanza kutoa msaada kwa Nchi jirani. Masaa machache Brigade ya Fatemiyoun imetua Syria tayari kuelekea Lebanon kutoa kipigo kwa Wanamgambo wa Israel, ikumbukwe Taliban ni wapigani wa Gorrila

BREAKING:
🇦🇫🇮🇱🇱🇧 Thousands of additional Afghan fighters from the Fatemiyoun Brigade have arrived in Syria to bolster Hezbollah's ranks if needed - I24

It's already happening. After announcing just a few weeks ago, the Taliban are already fulfilling their promise.

Taliban brigades are being formed and are preparing in Syria for the war with Israel. Next are the Houthis, who have a huge mobilization potential - 2 million reservists.

@IranObserver0
GORILLA sokwe
GUERILLA wapiganaji (washambuliaji) wa kushtukiza
 
Myahudi kawashika pabaya,hawacheki na kima.
Huyo myahudi kashaishiwa askari na amezalisha askari walemavu 12000 katika vita na Hamas.
Sasa hivi analazimisha Jews Ultra Orthodox wajiunge na jeshi bimaana wameishiwa askari.
Dunia imeanza kumtenga wanaomkumbatia ni UK,Germany na US.
 
Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military base kuimefanya kuwa na Jeshi imara na sasa wanaanza kutoa msaada kwa Nchi jirani. Masaa machache Brigade ya Fatemiyoun imetua Syria tayari kuelekea Lebanon kutoa kipigo kwa Wanamgambo wa Israel, ikumbukwe Taliban ni wapigani wa Gorrila

BREAKING:
🇦🇫🇮🇱🇱🇧 Thousands of additional Afghan fighters from the Fatemiyoun Brigade have arrived in Syria to bolster Hezbollah's ranks if needed - I24

It's already happening. After announcing just a few weeks ago, the Taliban are already fulfilling their promise.

Taliban brigades are being formed and are preparing in Syria for the war with Israel. Next are the Houthis, who have a huge mobilization potential - 2 million reservists.

@IranObserver0
Mmesikia huko Iran, Licha ya njama za Maayatollah kutaka Rais wa Kumbadili Raisi awe mtu wao wa siasa kali za Kiislamu, yasiyotegemewa yametokea. Massoud Masoud Pezeshkian, moderate kashinda. Mujahidina hawatajua maanayake ya haya yote kutokea. Hata hao Taliban hawatafanikiwa. Mark my word
 
Tunaomba sana Dua mkuu tatizo kuna Mataifa ndio yanaongoza kwa kuvuruga mataifa mengine sasa ili ujichomoe kwenye hiyo mikono yao ndio unakutana mauaji ya wasiokua na hatua chukulia mfani DRC kwa amani haipatikani tatizo ni mabepari yanayonufaika na kutokuwepo amani ili waendelee kuiba ila wanaoteseka ni wasio kua na hatia

Hawa wasio waislamu wengi wao ukizungumzia tabu wanayopitia congo watakuunga mkono, ila ukiitaja tu nchi yoyote ya kiislamu mfano wanayopitia wapalestina, walibya, Afghanistan, iraq, syria na yemen hutaona wakiunga mkono, ni chuki chuki kwa waislamu
 
Rajab. Na ushawahi Ona matahaira Kama wa Hamas wanaompigana wakiwa katikati ya raia na bila kuvaa sare?. Raia ni Kinga ya hamas. Wavae sare wao ni mchizi?. Wavae sare wawe target?.
Mlivyokua hamuna hata akili za kujiongeza
Wanajificha nyuma ya raia ila bomu likipigwa linachagua wakufa wanakufa raia hamas wanapona wanaendelea kukiwasha
Washabiki wa taif teule mmepokonywa mawazo maarifa akili na fikra
 
Mmesikia huko Iran, Licha ya njama za Maayatollah kutaka Rais wa Kumbadili Raisi awe mtu wao wa siasa kali za Kiislamu, yasiyotegemewa yametokea. Massoud Masoud Pezeshkian, moderate kashinda. Mujahidina hawatajua maanayake ya haya yote kutokea. Hata hao Taliban hawatafanikiwa. Mark my word
Nikikuita mjinga au mpumbavu unaweza ukasema labda nakutukana kumbe nakuwa nimekupa levo yako ya kufikiri
Siasa za iran najua kua haiwezi kutokea ila hata kama ungepewa wewe nchi ambae ni pro lgbtq+ wa taifa teule basi bado usingeipa faida yeyote hio Usrahell maadam tu ayatollah yupo hai na mfumo wao haujabadilika
Kama moderate si alikuwepo hata hassan rouhani alifanya kipi kipya labda kuhusiana na sera za iran kwa ujumla wake
Nikwambie tu spana na sera za iran zipo pale pale dhidi ya lgbtq+ nk
Nakama huamini chukua hii ziara ya kwanza nje ya nchi ya ya huyo rais itakua kama sio UCHINA basi RUSSIA ndio utajua kama hujui kitu
Rais wa iran ni picha tu kama alivyo PM wa uingereza mbele ya malkia au mfalme
 
Kutukana Nyinyi islamists mmefunzwa na Allah, Yule shetani kwa hiyo hainitishi. Lakini hii battle hamshindi ng’o. Mark my word. Hicho kilichotokea Iran si kidogo kama unavyojaribu kulinganisha na wakati wa Rouhan. Follow the events as they unfold. Kama huku Rais huyu mpya hataki kusikia ujinga wenu wa Morality Police kuharasi mabinti wa Iran kwa kisingizio cha Hijjabu. Kwa nguvu za Mungu wa Kweli wa Biblia Maayatollah łazima yaanguke
 
Back
Top Bottom