DOKEZO Afisa Elimu wilaya ya Sikonge (msingi) anakula rushwa, pia anatumia madaraka yake kukandamiza wengine

DOKEZO Afisa Elimu wilaya ya Sikonge (msingi) anakula rushwa, pia anatumia madaraka yake kukandamiza wengine

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

informer1

Member
Joined
Jul 23, 2024
Posts
34
Reaction score
28
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.

1. Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalimu na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100,000 kwa hiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa Tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.

2. Pia haruhusu walimu kujiendeleza amekuwa, mgumu sana kuruhusu walimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu. Wakati Waziri Mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa walimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.

3. Amekuwa akiwaaumiza walimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.

4. Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.

Mwisho serikali ina mkono mrefu, naomba imtazame kwa jicho la pekee huyu mama kwani imekuwa kero wa walimu pia na viongozi wenzake.
 
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.
1.Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalim na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100000 kwahiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.
2.Pia haruhusu waalimu kujiendeleza amekuwa mgumu sana kuruhusu waalimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu .Wakati waziri mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa waalimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.
3.Amekuwa akiwaaumiza waalimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tuuu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.
4.Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.
Mwisho serikali ina mkono mrefu naomba imtazame kwa jicho la pekeee huyu mama kwani imekuwa kero wa waalimu pia na viongoozi wenzake.
Weka ushahidi wa hiyo matumizi mabaya ya madaraka Rushwa.
 
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.
1.Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalim na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100000 kwahiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.
2.Pia haruhusu waalimu kujiendeleza amekuwa mgumu sana kuruhusu waalimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu .Wakati waziri mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa waalimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.
3.Amekuwa akiwaaumiza waalimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tuuu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.
4.Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.
Mwisho serikali ina mkono mrefu naomba imtazame kwa jicho la pekeee huyu mama kwani imekuwa kero wa waalimu pia na viongoozi wenzake.
Unaonekana unapenda sana:

majungu


1.maneno ya uzushi yasiyo na ukweli

2.tabia ya kutoa habari za uongo dhidi ya mtu mwingine kwa lengo la kumharibia sifa zake nzuri


Hiki ulicholeta ni:

fitina

maneno ya kuleta ugomvi

Kisha unaonekana una:

chuki

1.tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya

2.maneno ya kugombanisha watu


Mwisho wewe una:

wivu

mtu asiyependa mwingine apate mafanikio; mtu mwenye kijicho

 
Ndio huyo walimu wa kike kwenda kusahihisha au kusimamia mitihani hadi awalie ofisini kwake ndio wapate nafasi
 
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.
1.Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalim na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100000 kwahiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.
2.Pia haruhusu waalimu kujiendeleza amekuwa mgumu sana kuruhusu waalimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu .Wakati waziri mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa waalimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.
3.Amekuwa akiwaaumiza waalimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tuuu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.
4.Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.
Mwisho serikali ina mkono mrefu naomba imtazame kwa jicho la pekeee huyu mama kwani imekuwa kero wa waalimu pia na viongoozi wenzake.
Hamna halmashauri kwenye idara ya elimu msingi utamkosa mtu wa namna hyo. Lakini kuna mengi yanasababishwa na walimu wenyewe kwa kutoelewa uwanda wa kazi yako. Mkiweka stunt walimu wote kuukataa huo ualimu ukuu hawezi kuongoza shule yeye lakini pale unapokataa kuna mwenzako ameandika barua na kuweka dau mezani (cheo cha kupewa hauna uhuru nacho wala ubunifu).
Fanya kazi yako kwa uaminifu, acha kujipendekeza, elewa mipaka na majukumu ya kazi yako. Kumkatalia kazi boss wako kwa sababu ya msingi naye akafahamu hilo linaweka heshima kwako ila walimu wa msingi wengi hawapo hivyo.
Unaongoza shule kituoni lakini remote ipo HQ. Huu mfumo wa manunuzi TAMISEMI wakiwa serious ni walimu wachache sana watapona kwa maelekezo yasiyo na barua.
 
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.
1.Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalim na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100000 kwahiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.
2.Pia haruhusu waalimu kujiendeleza amekuwa mgumu sana kuruhusu waalimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu .Wakati waziri mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa waalimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.
3.Amekuwa akiwaaumiza waalimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tuuu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.
4.Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.
Mwisho serikali ina mkono mrefu naomba imtazame kwa jicho la pekeee huyu mama kwani imekuwa kero wa waalimu pia na viongoozi wenzake.
Walimu mnaendekeza unyonge, tumieni wingi wenu kumdhibiti. Inawezekana.
 
Basi mlalamimikaji aandae nyaraka za ushahidi nakala moja apeleke kwa Mkurugenzi wake na nyingine TAMISEMI ili kama kweli itabainika achukuliwe hatua stahiki na iwe fundisho kwa watu wa aina hiyo waliojaa maofisini.
Mfumo wa serikali ni wa kulindana, RC/DE/DAS/DED/Mkuu wa idara akiharibu sehemu adhabu ni kuhamishwa kumbuka na uhamisho analipwa mamilioni ya fedha za umma, wanaoumiaga ni wale wa chini, kwanza huwezi kuwa mkuu wa idara bila kuwa godfather juu mzee, mwalimu anaweza kuundiwa zengwe hapo akasimamishwa kazi hata miaka 2.
 
Basi mlalamimikaji aandae nyaraka za ushahidi nakala moja apeleke kwa Mkurugenzi wake na nyingine TAMISEMI ili kama kweli itabainika achukuliwe hatua stahiki na iwe fundisho kwa watu wa aina hiyo waliojaa maofisini.
Yeye kaweka tuhuma kuna watu wanalipwa mshahara kutafuta ushahidi, usimtishe mwalimu
 
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.
1.Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalim na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100000 kwahiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.
2.Pia haruhusu waalimu kujiendeleza amekuwa mgumu sana kuruhusu waalimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu .Wakati waziri mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa waalimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.
3.Amekuwa akiwaaumiza waalimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tuuu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.
4.Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.
Mwisho serikali ina mkono mrefu naomba imtazame kwa jicho la pekeee huyu mama kwani imekuwa kero wa waalimu pia na viongoozi wenzake.
Jamiiforum mnasikitisha sana kusema vitu ambovyo ni uongo mtupu mimi ni mwalimu mkuu katika halimashauri ya wilaya ya Sikonge tuhuma zote hizo niunafiki mkubwa sana mmekuwa mnatoa taatifa zisizo na ukweli

Mfano swala la uhamisho afisa elimu hana mamlaka ya kumhamisha mwalimu hata kidogo maana shule zote mwenye maamzi na mkurugenzi ndo mwenye shule kwahiyo hapo niuongo mtupu

Pili swala la kuwapa ukuu walimu ambao hawana sifa hujabainisha ni sifa gani pia naye uteuzi wa wakuu wa shule ni mkurugenzi
Tatu.swala la walimu kwenda masomoni kuna walimu wengi wapo vyuoni na wengine wamemaliza mwezi huu na wengine wanaenda mwaka huu tena ulikuwa unataka waende walimu wilaya nzima ndo uamini wanaenda masomoni.nne swala la elimu masafa kwa huko hakuna elimu unatambua viongozi wengi wamesoma na wanasoma huko kwani walimu tukisoma shida yako nini.

Hakuna mwalimu aliye hamishwa kwa hoja yako hiyo kwanza deo wetu sisi ni zaidi ya kiongozi tuna muita mama anatulea sana ni mama pekee anatuongoza kwa kufuata misingi ya utawa bora

Mimi mwaka jana nimetekeleza mradi wa milioni 130 hakuna hata siku moja alikuja na kuingilia kamati yeye ni kiongozi huwa anasimamia maelekezo ya mhandisi sasa kwa taarifa kwenye miradi sikonge ndo tunafanya vizuri.

Kwa niamba ya walimu wakuu wa sikonge nasema nikiwa na akili timamu yote yaliyo semwa ni upotoshaji mkubwa kwa afisa elimu chuki hizo hazina maana.

Mtuache na DEO wetu mama yetu tuna mpenda anatupenda na tunafanya kazi sana mama yaku piga kazi sisi wakuu wako tupo tayari kupambana na wanao kuchafua
 
ww ndio una laana. Unadhani watu wenye akili wanajibu hivo? Yeye ametoa tuhuma. Kinachofuta ni kufikir na kufuatilia. Sasa we unaanza kushambulia kada🤣🤣🤣. ww kada gani kwan?! Acha ushamba
Ila uongo dhambi kada ya ualimu kama ina laana hivi na ndio maana hata viongozi waliotoka kwenye kada hii hawataki kujitamba kama wao wamepitia ualim
 
Back
Top Bottom