DOKEZO Afisa Elimu wilaya ya Sikonge (msingi) anakula rushwa, pia anatumia madaraka yake kukandamiza wengine

DOKEZO Afisa Elimu wilaya ya Sikonge (msingi) anakula rushwa, pia anatumia madaraka yake kukandamiza wengine

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Jamiiforum mnasikitisha sana kusema vitu ambovyo ni uongo mtupu mimi ni mwalimu mkuu katika halimashauri ya wilaya ya Sikonge tuhuma zote hizo niunafiki mkubwa sana mmekuwa mnatoa taatifa zisizo na ukweli

Mfano swala la uhamisho afisa elimu hana mamlaka ya kumhamisha mwalimu hata kidogo maana shule zote mwenye maamzi na mkurugenzi ndo mwenye shule kwahiyo hapo niuongo mtupu

Pili swala la kuwapa ukuu walimu ambao hawana sifa hujabainisha ni sifa gani pia naye uteuzi wa wakuu wa shule ni mkurugenzi
Tatu.swala la walimu kwenda masomoni kuna walimu wengi wapo vyuoni na wengine wamemaliza mwezi huu na wengine wanaenda mwaka huu tena ulikuwa unataka waende walimu wilaya nzima ndo uamini wanaenda masomoni.nne swala la elimu masafa kwa huko hakuna elimu unatambua viongozi wengi wamesoma na wanasoma huko kwani walimu tukisoma shida yako nini.

Hakuna mwalimu aliye hamishwa kwa hoja yako hiyo kwanza deo wetu sisi ni zaidi ya kiongozi tuna muita mama anatulea sana ni mama pekee anatuongoza kwa kufuata misingi ya utawa bora

Mimi mwaka jana nimetekeleza mradi wa milioni 130 hakuna hata siku moja alikuja na kuingilia kamati yeye ni kiongozi huwa anasimamia maelekezo ya mhandisi sasa kwa taarifa kwenye miradi sikonge ndo tunafanya vizuri.

Kwa niamba ya walimu wakuu wa sikonge nasema nikiwa na akili timamu yote yaliyo semwa ni upotoshaji mkubwa kwa afisa elimu chuki hizo hazina maana.

Mtuache na DEO wetu mama yetu tuna mpenda anatupenda na tunafanya kazi sana mama yaku piga kazi sisi wakuu wako tupo tayari kupambana na wanao kuchafua

Jina la ni lako umeandika?
Mbona hauja weka picha yako?

Weka hata humu kwa uzi na kitambulisho chako tujue ni wewe kweli umeandika. Na topic ni Afisa Elimu wewe upo nae ofisini kila siku ya kazi na kuongozana nae pia. Hizo millioni weka orodha ya kila senti umetumiaje hapa. 😊
 
Jamiiforum mnasikitisha sana kusema vitu ambovyo ni uongo mtupu mimi ni mwalimu mkuu

Kama mwalimu mkuu Unatoa aibu kutaja Jamiiforums.com na sio mleta mada. Umekurupuka kwa uoga sio? Asiondolewe mkaamua wewe mtetezi

Nitakuamini ukijibu post yangu ya mwanzo humu.
 
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.

1. Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalimu na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100,000 kwa hiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa Tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.

2. Pia haruhusu walimu kujiendeleza amekuwa, mgumu sana kuruhusu walimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu. Wakati Waziri Mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa walimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.

3. Amekuwa akiwaaumiza walimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.

4. Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.

Mwisho serikali ina mkono mrefu, naomba imtazame kwa jicho la pekee huyu mama kwani imekuwa kero wa walimu pia na viongozi wenzake.
Kwanza ukitazama mtoa mada ni kama umetumiwa kiujumbe na mtu na wewe bila kufanya reseach unapeleka public.


1.Hoja ya afisa elimu kufanya uteuzi mbona ni uongo, mwenye mamlaka hayo katika serikali za mitaa ni Mkurugenzi.
Na ili tukuelewe ilikua n vizuri ukaweka na barua za hao walio teuliwa hawana sifa na ukatusaidia na sifa za uteuzi zipoje

2.Lakini ikumbukwe kuwa Hakuna mwalimu chuo alienda kusoma Ualimu mkuu ila anaenda kusoma ualimu. kwahyo kama utendaji kazi wa kiongozi hauridhishi lazima utolewe na aje mwingine. sasa ukitolewa unakimbilia kwenye majukwaa kupiga kelele utazani umenyang'anywa Ualimu kumbe uongozi ambao hujausomea.
Hii ni upuuzi na Ujinga.

3.Na kama umepata uthibitisho kwamba Anakula Rushwa kwanini usipeleke mambo hayo kwa Mamlaka zinazo shughulikia Rushwa ili achukuliwe hatua? Lakini kwavile umeondolewa kweny nafasi ya ukuu wa shule umenuna na bila kutafakari umeona uchafue watu.


4.Watumishi hasa walimu kila mwaka wanaenda kujiendeleza na hili la kujiendeleza ni sheria ambayo Inamtaka Mwajiri Kumuendeleza Kimasomo mtumishi wake sasa tangu lini afisa elimu akasomesha mwalimu?.

Na watu tangu zaman wapo wanao soma masafa yaani open university na wengine main cmpus. Sasa kuambiwa kasome masafa nayo ni dhambi? Kama huridhishwi na kusoma Masafa njia nzuri ni kumfata Mkurugenzi na kumwambia kwamba huhitaji njia hii ya kusoma unampa na sababu. Na kwavile alikupa barua ya kukuweka kwenye Mpango nazani atakuelewa na kukuruhusu.



La mwisho japo sio kwa upana,Nikushauri upunguze hasira kama umetolewa kwenye nafasi ya kuwa kiongozi Tulia na ujifunze kwamba nafasi uliyopewa umeshindwa kuleta tija.


Ila hiki unachofanya ni Majungu,Uongo na fitna tu
 
Afisa elimu wilaya Sikonge msingi mkoani Tabora ni kiongozi ambae haeleweki kwani maagizo mengi ya serikali amekuwa akiyakaidi huku akijigamba kwamba hakuna atakayeweza kumgusa. Nitaaainisha baadhi ya matatizo ambayo yeye kama yeye anaisababishia Halmashauri ya sikonge.

1. Amekuwa akiwapa waalimu ukuuu wa shule ambao hawana sifa. Mfano amewapa ukuu waalimu na huku akiwaagiza kwamba posho ya madaraka wataigawa yeye atachukua 100,000 kwa hiyo kuna shule kama 20 ambao wapo kwenye mgawo na hakuna ubishi katika hili kwani imezoeleka nadhani nikaribia mkoa mzima wa Tabora ambapo mambo haya yanaendelea. Ila kwa upande wake yeye kazidi.

2. Pia haruhusu walimu kujiendeleza amekuwa, mgumu sana kuruhusu walimu kujiendeleza Hivyo kukaidi Agizo la Rais na Waziri mkuu. Wakati Waziri Mkuu akisistiza watumishi wa umma kujiendeleza kielimu yeye wilayani kwake hataki mambo hayo na huwa aruhusu kabisa walimu kujiendeleza na akikuonea huruma sana anakwambia jiunge elimu ya masafa.

3. Amekuwa akiwaaumiza walimu ambao anawaongoza kwani mkipishana kauli tu anakupeleka shule ambazo ziko mbali na mji kama adhabu.

4. Pia amekuwa akiingilia sana maamuzi ya kamati ya ujenzi yaani kwa kifupi yeye huwa anajua kila kitu hakosei.

Mwisho serikali ina mkono mrefu, naomba imtazame kwa jicho la pekee huyu mama kwani imekuwa kero wa walimu pia na viongozi wenzake.
Umekumbusha wimbo wa snow ukiitwa informer. Unajifanya mbea mbea watakugongomea.
 
Hamna halmashauri kwenye idara ya elimu msingi utamkosa mtu wa namna hyo. Lakini kuna mengi yanasababishwa na walimu wenyewe kwa kutoelewa uwanda wa kazi yako. Mkiweka stunt walimu wote kuukataa huo ualimu ukuu hawezi kuongoza shule yeye lakini pale unapokataa kuna mwenzako ameandika barua na kuweka dau mezani (cheo cha kupewa hauna uhuru nacho wala ubunifu).
Fanya kazi yako kwa uaminifu, acha kujipendekeza, elewa mipaka na majukumu ya kazi yako. Kumkatalia kazi boss wako kwa sababu ya msingi naye akafahamu hilo linaweka heshima kwako ila walimu wa msingi wengi hawapo hivyo.
Unaongoza shule kituoni lakini remote ipo HQ. Huu mfumo wa manunuzi TAMISEMI wakiwa serious ni walimu wachache sana watapona kwa maelekezo yasiyo na barua.
Umeongea logic kubwa sana
 
SIKONGE ni miongoni mwa sehemu mfu ataendelea kufanya awezalo
 
Kwanza ukitazama mtoa mada ni kama umetumiwa kiujumbe na mtu na wewe bila kufanya reseach unapeleka public.


1.Hoja ya afisa elimu kufanya uteuzi mbona ni uongo, mwenye mamlaka hayo katika serikali za mitaa ni Mkurugenzi.
Na ili tukuelewe ilikua n vizuri ukaweka na barua za hao walio teuliwa hawana sifa na ukatusaidia na sifa za uteuzi zipoje

2.Lakini ikumbukwe kuwa Hakuna mwalimu chuo alienda kusoma Ualimu mkuu ila anaenda kusoma ualimu. kwahyo kama utendaji kazi wa kiongozi hauridhishi lazima utolewe na aje mwingine. sasa ukitolewa unakimbilia kwenye majukwaa kupiga kelele utazani umenyang'anywa Ualimu kumbe uongozi ambao hujausomea.
Hii ni upuuzi na Ujinga.

3.Na kama umepata uthibitisho kwamba Anakula Rushwa kwanini usipeleke mambo hayo kwa Mamlaka zinazo shughulikia Rushwa ili achukuliwe hatua? Lakini kwavile umeondolewa kweny nafasi ya ukuu wa shule umenuna na bila kutafakari umeona uchafue watu.


4.Watumishi hasa walimu kila mwaka wanaenda kujiendeleza na hili la kujiendeleza ni sheria ambayo Inamtaka Mwajiri Kumuendeleza Kimasomo mtumishi wake sasa tangu lini afisa elimu akasomesha mwalimu?.

Na watu tangu zaman wapo wanao soma masafa yaani open university na wengine main cmpus. Sasa kuambiwa kasome masafa nayo ni dhambi? Kama huridhishwi na kusoma Masafa njia nzuri ni kumfata Mkurugenzi na kumwambia kwamba huhitaji njia hii ya kusoma unampa na sababu. Na kwavile alikupa barua ya kukuweka kwenye Mpango nazani atakuelewa na kukuruhusu.



La mwisho japo sio kwa upana,Nikushauri upunguze hasira kama umetolewa kwenye nafasi ya kuwa kiongozi Tulia na ujifunze kwamba nafasi uliyopewa umeshindwa kuleta tija.


Ila hiki unachofanya ni Majungu,Uongo na fitna tu
Mkurungezi anateua watu/walimu wakuu waliopendekezwa na afisa elimu sasa hao wanaopendekezwa na afisa elimu wanakuwa hawana sifa sitahiki kuwa wakuu wa shule
 
Jamiiforum mnasikitisha sana kusema vitu ambovyo ni uongo mtupu mimi ni mwalimu mkuu katika halimashauri ya wilaya ya Sikonge tuhuma zote hizo niunafiki mkubwa sana mmekuwa mnatoa taatifa zisizo na ukweli

Mfano swala la uhamisho afisa elimu hana mamlaka ya kumhamisha mwalimu hata kidogo maana shule zote mwenye maamzi na mkurugenzi ndo mwenye shule kwahiyo hapo niuongo mtupu

Pili swala la kuwapa ukuu walimu ambao hawana sifa hujabainisha ni sifa gani pia naye uteuzi wa wakuu wa shule ni mkurugenzi
Tatu.swala la walimu kwenda masomoni kuna walimu wengi wapo vyuoni na wengine wamemaliza mwezi huu na wengine wanaenda mwaka huu tena ulikuwa unataka waende walimu wilaya nzima ndo uamini wanaenda masomoni.nne swala la elimu masafa kwa huko hakuna elimu unatambua viongozi wengi wamesoma na wanasoma huko kwani walimu tukisoma shida yako nini.

Hakuna mwalimu aliye hamishwa kwa hoja yako hiyo kwanza deo wetu sisi ni zaidi ya kiongozi tuna muita mama anatulea sana ni mama pekee anatuongoza kwa kufuata misingi ya utawa bora

Mimi mwaka jana nimetekeleza mradi wa milioni 130 hakuna hata siku moja alikuja na kuingilia kamati yeye ni kiongozi huwa anasimamia maelekezo ya mhandisi sasa kwa taarifa kwenye miradi sikonge ndo tunafanya vizuri.

Kwa niamba ya walimu wakuu wa sikonge nasema nikiwa na akili timamu yote yaliyo semwa ni upotoshaji mkubwa kwa afisa elimu chuki hizo hazina maana.

Mtuache na DEO wetu mama yetu tuna mpenda anatupenda na tunafanya kazi sana mama yaku piga kazi sisi wakuu wako tupo tayari kupambana na wanao kuchafua
Naona chawa mmeitana kushambulia. Eti mkurugenzi mkurugenzi, unafanya watu wajinga kama vile mkurugenzi anayejua kutoka mbinguni. Mkurugenzi si anapitisha majina ya DEO tu
 
Hawa jamaaa ni nouma we acha tuu mimi nina mautumbo ya huyo afisa elimu mpk maulozi
 
Jamiiforum mnasikitisha sana kusema vitu ambovyo ni uongo mtupu mimi ni mwalimu mkuu katika halimashauri ya wilaya ya Sikonge tuhuma zote hizo niunafiki mkubwa sana mmekuwa mnatoa taatifa zisizo na ukweli

Mfano swala la uhamisho afisa elimu hana mamlaka ya kumhamisha mwalimu hata kidogo maana shule zote mwenye maamzi na mkurugenzi ndo mwenye shule kwahiyo hapo niuongo mtupu

Pili swala la kuwapa ukuu walimu ambao hawana sifa hujabainisha ni sifa gani pia naye uteuzi wa wakuu wa shule ni mkurugenzi
Tatu.swala la walimu kwenda masomoni kuna walimu wengi wapo vyuoni na wengine wamemaliza mwezi huu na wengine wanaenda mwaka huu tena ulikuwa unataka waende walimu wilaya nzima ndo uamini wanaenda masomoni.nne swala la elimu masafa kwa huko hakuna elimu unatambua viongozi wengi wamesoma na wanasoma huko kwani walimu tukisoma shida yako nini.

Hakuna mwalimu aliye hamishwa kwa hoja yako hiyo kwanza deo wetu sisi ni zaidi ya kiongozi tuna muita mama anatulea sana ni mama pekee anatuongoza kwa kufuata misingi ya utawa bora

Mimi mwaka jana nimetekeleza mradi wa milioni 130 hakuna hata siku moja alikuja na kuingilia kamati yeye ni kiongozi huwa anasimamia maelekezo ya mhandisi sasa kwa taarifa kwenye miradi sikonge ndo tunafanya vizuri.

Kwa niamba ya walimu wakuu wa sikonge nasema nikiwa na akili timamu yote yaliyo semwa ni upotoshaji mkubwa kwa afisa elimu chuki hizo hazina maana.

Mtuache na DEO wetu mama yetu tuna mpenda anatupenda na tunafanya kazi sana mama yaku piga kazi sisi wakuu wako tupo tayari kupambana na wanao kuchafua
Wewe ni miongoni mwa walimu wakuu wajinga na mliopewa vyeo hivyo au mmenunua.

Kwenye Uhamisho wa walimu na uteuzi wa walimu wakuu mhusika ni idara ya elimu . Mkurugenzi anaweka saini Tu.

Hapa unasema unaongea Kwa niaba wa walimu wakuu ,, wewe Kama nani au wewe ndio Mwenyekit wa TAPSHA huko ?
 
Wewe ni miongoni mwa walimu wakuu wajinga na mliopewa vyeo hivyo au mmenunua.

Kwenye Uhamisho wa walimu na uteuzi wa walimu wakuu mhusika ni idara ya elimu . Mkurugenzi anaweka saini Tu.

Hapa unasema unaongea Kwa niaba wa walimu wakuu ,, wewe Kama nani au wewe ndio Mwenyekit wa TAPSHA huko ?
Watu wamekaza fuvu wasijue kwenye mambo ya elimu mkurugenzi siku zote anafuata kile anachoambiwa na afisa elimu.... Mwalimu hauwezi ukapewa ukuu wa shule, kwenda kusoma au favour yoyote Ile bila afisa elimu kutaka vinginevyo kama una ukaribu au undugu na walio juu ya huyo afisa elimu....
 
Back
Top Bottom