Afisa Elimu Wilaya ya Uyui, Jacob Makala: Tenda haki na tatua migogoro ya uongozi mashuleni acha kufunika kombe

Afisa Elimu Wilaya ya Uyui, Jacob Makala: Tenda haki na tatua migogoro ya uongozi mashuleni acha kufunika kombe

Bwana halifa nasikia unawatisha walimu wako eti wanataka cheo chako!!!!KAMA HUNA SIFA KAA PEMBENI ACHA KUWAHONGA MAAFISA ELIMU LAKI TANO TANO!!!!!!Waambie waliokupa kiti Mchongo umeshtukiwa !!
 
Nasikia kuna mwl mmoja unamhusudu sana!kisa mnakula kwa pamoja hela za Elim Bure kimya kimya kwa manunuzi Hewa!!Ulimtetea alipofumaniwa na mwanafunzi kwenye nyumba ya mwalim mwenzake !tena mwanafunzi huyo ana undugu na mwalim aliewafumania!UKAFUNIKA KOMBE ILI KUTETEA UOZO WA MWALIMU HUYO KIWEMBE KWA WANAFUNZI TENA NASIKIA HAJAOA NA HUWAFUNGIA WANAFUNZI NDANI MWAKE NA KUFANYA NAO MAPENZI KAMA WAKE ZAKE VILE!!!Hao wakina wigai unao wahonga wanajua kuwa wewe ni mtetezi wa walimu viwembe kwa wanafunzi?????
 
Nasikia kuna mwl mmoja unamhusudu sana!kisa mnakula kwa pamoja hela za Elim Bure kimya kimya kwa manunuzi Hewa!!Ulimtetea alipofumaniwa na mwanafunzi kwenye nyumba ya mwalim mwenzake !tena mwanafunzi huyo ana undugu na mwalim aliewafumania!UKAFUNIKA KOMBE ILI KUTETEA UOZO WA MWALIMU HUYO KIWEMBE KWA WANAFUNZI TENA NASIKIA HAJAOA NA HUWAFUNGIA WANAFUNZI NDANI MWAKE NA KUFANYA NAO MAPENZI KAMA WAKE ZAKE VILE!!!Hao wakina wigai unao wahonga wanajua kuwa wewe ni mtetezi wa walimu viwembe kwa wanafunzi?????
Mkuu shusha nondo hapa hachomoi
 
Tena kuna Baadhi ya wazazi wamelalamikia kitendo cha mkuu huyu wa Loya sec!kwa kula rushwa kubwa ya Ng'ombe pale wazazi wanapotaka watoto wao waache shule waolewe !!yeye huwapiga fedha kubwa kwa kisingizio anakula na wakubwa zake ambao ni maafisa elimu wa Wilaya Uyui!!!KUNA TATIZO KUBWA SANA KWA MKUU HUYU NA MABOSI WAKE PALE WILAYANI!WANA WAUZA WANAFUNZI KAMA WANYAMA VILE!!!
 
Back
Top Bottom