Duuh! Uto hawahawa, badala ya kupiga goli kwenye nyavu la rivers wao wanapiga rungu kichwa Cha msemaji?Imetokea kwenye majibizano kabla ya mechi wakati River United wakilazimishwa kuingia vyumba vya kubadilishia nguo uwanjani. River United waligoma kuingia kukiwa na tetesi za upuliziaji wa dawa vyumbani.
Kwa uhuni huu Yanga wasitegemee kufanyiwa ukarimu NigeriaView attachment 1935149
Yanga wanatakiwa wafanye mambo yao siyo kushindana na Simba ndo watafanikiwaTatizo la UTO mnawekeza sana kwenye propaganda na si kwenye professionalism,mnafanya mambo kuikomoa Simba,mnatumia genge la watu na wasemaji uchwara kuitukana na kutukana viongozi wa simba,mnasajiri kwa mihemuko na si kwa scouting nzuri,mpira sio vita,mpira ni furaha,watu walianzisha mpira kuleta urafiki,udugu na si kuleta majungu na chuki,naombeni mrudi nyuma na kujichinguza wapi mmekosea na kuanza kurekebisha kasoro zenu,huwezi ukaikuta zamalek inafanya propaganda kwa Al Ahyl, ushauri wangu msifanye mambo kuikomoa Simba, fanyeni mambo ya kujenga timu.
ππππDuuh! Uto hawahawa, badala ya kupiga goli kwenye nyavu la rivers wao wanapiga rungu kichwa Cha msemaji?
Exactly!Yanga wanatakiwa wafanye mambo yao siyo kushindana na Simba ndo watafanikiwa
Wameajiri muimba taarabu anacheza namba ngapi yule bundi wa Kizaramo!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!Ooh tunaenda Morocco, Morocco kwenyewe wanaenda kukaa siku mbili, mpira sio rusha roho.
Si mwalimu wao ni professor?,aiunge timu sasaaaKwani hata wakifanyiwa ukarimu ndio watakifanya nini[emoji23][emoji1787]
yanga kiukweli ina wachezaji ila timu haijaunga kabisa, Mwalimu inabidi kutumia akili ya ziada.. Ntibazonkiza anahitajika pale juu, fei leo kashindwa kucheza kama namba 10 angerudi chini acheze na mukoko