Afisa habari wa Rivers United apigwa fimbo ya kichwa

Afisa habari wa Rivers United apigwa fimbo ya kichwa

Kama yule wa kongwa aliyepigwa fimbo ya kichwa daaah hatariiii Sana
 
Na kwa taarifa nlizopata za ndan kabxa ni kuwa wao washaanza kuchuma fimbo za kutosha...msukule manara hakuna rangi ataacha ona jpil stay tuned
 
Kwani hata wakifanyiwa ukarimu ndio watakifanya nini[emoji23][emoji1787]

yanga kiukweli ina wachezaji ila timu haijaunga kabisa, Mwalimu inabidi kutumia akili ya ziada.. Ntibazonkiza anahitajika pale juu, fei leo kashindwa kucheza kama namba 10 angerudi chini acheze na mukoko
Zeruzeru kacheza ngapi
 
yaani wahuni wa simba wampige afisa habari wa watu alafu wawasingizie yangaa??
 
Ndiye aliyekuwa ana kosa magoli?manara hata yanga ifanye vibaya hawezi kutoka pale, kwani ana husika nini na matokeo mabaya ya timu?!!Acheni hizo
Aliwaambia uto aka makubwa jinga fc kwamba amekuja na ushindi na wakamshangilia, sasa kama hawashindi unategemea nini?
 
Back
Top Bottom