inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Nimependa mpangilio wa mawazo yakoPamoja na kuwa mimi ni KAFIRI (kwa mujibu WAO) na hayo maneno sijui maana yake, lakini huwa nayasoma au kuyasikia pale zinapotolewa salamu za TANZIA. Sasa, sijajua kwa habari hii, hayo maneno yana maana gani?
Kafa?
Masikini anajuutraaaa Saiv Huko aliko wakati huo dreva anakula bia banana na wenzake
Kumtishia mtu kwa panga ni kosa la jinai na msemaji wake ni jeshi la polisi siyo mkurugenzi wa Latra.Mamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imemsimamisha kazi Afisa wake kutoka Mkoa wa Lindi ambaye video yake imesambaa mtandaoni akimshikia silaha aina ya panga dereva wa lori lenye namba ya usajili T412 DNN kilichotokea tarehe 11/11/2020.
Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Gilliard Ngewe amesema sasa kinachoendelea ni uchunguzi wa tukio hilo na adhabu kali zitachukuliwa kwa muhusika ndani ya siku 21 za uchunguzi kulingana na sheria za utumishi wa umma.
"Hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria dhidi ya Afisa huyo zinaendelea kuchukuliwa na hatua ya kumsimamisha kazi imechukuliwa kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2003 ya utumishi wa umma" Mkurugenzi Mkuu LATRA
Pia soma > Lindi: Mtumishi wa LATRA amtishia sime dereva wa lori ili ampe leseni
Nimekupata vizuri Mkuu👍Hilo neno linatumika katika aina yeyote ya msiba sio kufa tu
Na neno MUSWIBA ni la kiarabu na kiswahili kimetohowa kutoka huko na maana yake halisi ni JANGA
Kwa hiyo janga lolote apatalo mtu hufarijiwa kwa kuambiwa inna lilah waina ilayhi rajiuun yaani pamoja na huyo ofisa kumshikia panga dereva yampasa aelewe kua
SISI WOTE NI WA ALLAH NA KWA ALLAH TUTAREJEA.
Nafikiri umeelewa vizuri kama unamashaka uliza usiogope
Pamoja na kuwa mimi ni KAFIRI (kwa mujibu WAO) na hayo maneno sijui maana yake, lakini huwa nayasoma au kuyasikia pale zinapotolewa salamu za TANZIA. Sasa, sijajua kwa habari hii, hayo maneno yana maana gani?
Nimekupata vizuri Mkuu[emoji106]
Hapana wewe sio KAFIRI,,, ila mana yake ni kama nyie mnavyosema bwana katoa jina lake lihimidiwe hivyo tu.
Wanajisahau sanaMamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imemsimamisha kazi Afisa wake kutoka Mkoa wa Lindi ambaye video yake imesambaa mtandaoni akimshikia silaha aina ya panga dereva wa lori lenye namba ya usajili T412 DNN kilichotokea tarehe 11/11/2020.
Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Gilliard Ngewe amesema sasa kinachoendelea ni uchunguzi wa tukio hilo na adhabu kali zitachukuliwa kwa muhusika ndani ya siku 21 za uchunguzi kulingana na sheria za utumishi wa umma.
"Hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria dhidi ya Afisa huyo zinaendelea kuchukuliwa na hatua ya kumsimamisha kazi imechukuliwa kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2003 ya utumishi wa umma" Mkurugenzi Mkuu LATRA
Pia soma > Lindi: Mtumishi wa LATRA amtishia sime dereva wa lori ili ampe leseni
Ila mshahara ataendelea kupata Hadi athibitishwe Ana hatia, kwa Sasa anakula bure na Kama Ana hatia anabadilishwa kitengo tu. Huo ndio utumishi wa umma.Kitumbua kimeingia mchanga. Pole yake
Kama alikuwa na nyumba ndogo nyingi mkewe anafurahi Sasa.Mke wake ataanza kuwasalimia majirani.
ushahidi wa video unakuwa na evidence kubwa sana labda wamlegezee kwa kumpa onyoIla mshahara ataendelea kupata Hadi athibitishwe Ana hatia, kwa Sasa anakula bure na Kama Ana hatia anabadilishwa kitengo tu. Huo ndio utumishi wa umma.
Aliwafanyia nini bus la TrinityDua zetu na wale wafanyakazi wa bus la trinity zimesikika.