Afisa Makao Makuu CHADEMA: Mbowe anaendekeza Ukabila. Kati ya wafanyakazi 19 wanaolipwa Mishahara na CHADEMA 9 wanatoka Killimanjaro

Afisa Makao Makuu CHADEMA: Mbowe anaendekeza Ukabila. Kati ya wafanyakazi 19 wanaolipwa Mishahara na CHADEMA 9 wanatoka Killimanjaro

Je na Lissu akishinda japo ni almost impossible na yeye akaanza kujaza Wanyaturu na Wanyiramba? Ni nini kifanyike ili kuzuia Ukabila na Udini kwenye Chama chetu cha CHADEMA?
Lissu ni mwadilifu Sana boss, fikiria kamlipua rafiki yake wenje kwa kumpeleka Abdul kwake Ili amuhonge
 
XxxxxX
Twende Pamoja, kwa muda mrefu wapinzani wetu kisiasa wamekuwa wanasema udini na ukabila zaidi kwa swala la Ukabila wanalengwa watu kutoka mkoa wa Kilimanjaro anakotokea Mwenyekiti wetu wa Taifa. Naomba nikushirikishe na wewe upime Je kuna ukweli wowote?

Secretariat ambacho ni chombo cha kiutendaji cha kila siku yaani engine ya Chama ina wajumbe 10 mpaka sasa. Wajumbe hawa wamegawanyika katika sehemu kuu tatu

1. Wajumbe wa kuchaguliwa na Baraza Kuu. Hapa naongelea Makatibu wa Mabaraza yote matatu (Bavicha , Bawacha na Bazecha)

2. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na baraza kuu. Hapa nawaongelea Katibu Mkuu na Manaibu Katibu Mkuu

3. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na Kamati Kuu. Hapa nawaongelea wakurugenzi

Kwa mantiki hiyo, wajumbe wa moja kwa moja wanaoteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa ni Katibu Mkuu, Naibu Bara , Naibu Zanzibar na wakurugenzi.

UKABILA
Mpaka sasa hivi Makao Makuu wapo wakurugenzi wanne kati ya hawa wakurugenzi watatu wanatoka mkoa wa Kilimanjaro majina yao ni
Reggy Munisi - Mchaga kutoka moshi (machame)
Jonathan Mndeme - Mpare kutoka same na John Mrema - mchaga kutoka vunjo. Mkurugenzi mmoja tu ndo anatoka Mkoa wa Kagera Mzee Lutembeka na ni kwa vile tu wanamtumia ku save nafasi mbili kama Katibu Mkuu wa BAZECHA TAIFA na kwa taaluma yake wanamtumia kama mkurugenzi wa FEDHA NA RASILIMALI

Twende kwenye watumishi wa kawaida Maafisa

Hapo Makao Makuu mpaka sasa wapo wakuu wa idara na maafisa 9 kati ya Hao wakuu wa idara na maafisa 5 wanatokea mkoa wa Kilimanjaro. Kwa majina ni
1. Zuhuru Nkya - Mchaga anatokea HAI
2. Karimu Muro - mtoto wa mwisho wa kumzaa wa Zuhura Nkya - Mchaga anatokea HAI
3. Lucas Mrema - Mchaga anatokea Vunjo
4. John Ngauro - Mchaga anatokea moshi
5. Aron Mashuve - mpare anatokea same

UDINI
Hivi tunavyozungumza pale makao makuu Muislamu anayefanya kazi Makao Makuu ni lazima awe anatokea Mkoa wa KILIMANJARO. Wasiotokea mkoa wa KILIMANJARO wote baada ya chama kuanza kupokea RUZUKU wameondolewa kwenye UTUMISHI

Watumishi waliopo makao makuu ambao ni waisilamu ni watatu ambao ni Karimu Muro, Zuhura Nkya, Reggy wote hawa wanatokea mkoa wa KILIMANJARO . Watumishi ambao ni Waislamu wameondolewa kwa sababu Hawatoki KILIMANJARO ni Zainab Ashraf Kutoka Tanga na Halima Lichonyo Kutoka Ruangwa Lindi. (Chunguzeni)

Kwa ujumla wake makao makuu inawatumishi kwa maana ya Secretariat na Maafisa jumla 19. Kati ya Hao 9 wote wanatoka mkoa wa Kilimanjaro, Waislamu wote wanatokea Kilimanjaro isipokuwa mmoja tu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.

Hivyo, Wapinzani wetu wamekuwa wanatupiga sana kwenye hii hoja ya UDINI na UKABILA kitu ambacho kwa jicho la kiuhalisia ni Kweli, tunatakiwa kuwa smart na kuondoa ombwe la namna hii. Lazima tupate mchanganyiko kutoka pande mbalimbali kutoka mikoa yetu. Uwakilishi uwe na uwiano wa haki na usawa.

Lazima tumwambie Mapema Mwenyekiti wetu Mtarajiwa TUNDU ANTIPASI LISSU , kuwa hii Propanganda ambayo tunapigwa ya muda mrefu tuifute kwa kuja na mkakati mpya wa upatikanaji wa wakurugenzi na watumishi wa Makao Makuu wenye sura ya Kitaifa zaidi

Ikumbukwe hapa sijaongelea walinzi wala madereva

Naomba wajumbe wapiga kura tafadhali hilo tufanyie uamuzi sahihi Tuletee TUNDU LISSU ili tuje tujenge upya Chama chetu

Tusimame na LISSU 21 January.......!

Remigius Celestine
22.12.2024
Zimwi likijualo halikuli ukakwisha. Hata Lisu akiwa mwenyekiti atafanya hivyo.
 
XxxxxX
Twende Pamoja, kwa muda mrefu wapinzani wetu kisiasa wamekuwa wanasema udini na ukabila zaidi kwa swala la Ukabila wanalengwa watu kutoka mkoa wa Kilimanjaro anakotokea Mwenyekiti wetu wa Taifa. Naomba nikushirikishe na wewe upime Je kuna ukweli wowote?

Secretariat ambacho ni chombo cha kiutendaji cha kila siku yaani engine ya Chama ina wajumbe 10 mpaka sasa. Wajumbe hawa wamegawanyika katika sehemu kuu tatu

1. Wajumbe wa kuchaguliwa na Baraza Kuu. Hapa naongelea Makatibu wa Mabaraza yote matatu (Bavicha , Bawacha na Bazecha)

2. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na baraza kuu. Hapa nawaongelea Katibu Mkuu na Manaibu Katibu Mkuu

3. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na Kamati Kuu. Hapa nawaongelea wakurugenzi

Kwa mantiki hiyo, wajumbe wa moja kwa moja wanaoteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa ni Katibu Mkuu, Naibu Bara , Naibu Zanzibar na wakurugenzi.

UKABILA
Mpaka sasa hivi Makao Makuu wapo wakurugenzi wanne kati ya hawa wakurugenzi watatu wanatoka mkoa wa Kilimanjaro majina yao ni
Reggy Munisi - Mchaga kutoka moshi (machame)
Jonathan Mndeme - Mpare kutoka same na John Mrema - mchaga kutoka vunjo. Mkurugenzi mmoja tu ndo anatoka Mkoa wa Kagera Mzee Lutembeka na ni kwa vile tu wanamtumia ku save nafasi mbili kama Katibu Mkuu wa BAZECHA TAIFA na kwa taaluma yake wanamtumia kama mkurugenzi wa FEDHA NA RASILIMALI

Twende kwenye watumishi wa kawaida Maafisa

Hapo Makao Makuu mpaka sasa wapo wakuu wa idara na maafisa 9 kati ya Hao wakuu wa idara na maafisa 5 wanatokea mkoa wa Kilimanjaro. Kwa majina ni
1. Zuhuru Nkya - Mchaga anatokea HAI
2. Karimu Muro - mtoto wa mwisho wa kumzaa wa Zuhura Nkya - Mchaga anatokea HAI
3. Lucas Mrema - Mchaga anatokea Vunjo
4. John Ngauro - Mchaga anatokea moshi
5. Aron Mashuve - mpare anatokea same

UDINI
Hivi tunavyozungumza pale makao makuu Muislamu anayefanya kazi Makao Makuu ni lazima awe anatokea Mkoa wa KILIMANJARO. Wasiotokea mkoa wa KILIMANJARO wote baada ya chama kuanza kupokea RUZUKU wameondolewa kwenye UTUMISHI

Watumishi waliopo makao makuu ambao ni waisilamu ni watatu ambao ni Karimu Muro, Zuhura Nkya, Reggy wote hawa wanatokea mkoa wa KILIMANJARO . Watumishi ambao ni Waislamu wameondolewa kwa sababu Hawatoki KILIMANJARO ni Zainab Ashraf Kutoka Tanga na Halima Lichonyo Kutoka Ruangwa Lindi. (Chunguzeni)

Kwa ujumla wake makao makuu inawatumishi kwa maana ya Secretariat na Maafisa jumla 19. Kati ya Hao 9 wote wanatoka mkoa wa Kilimanjaro, Waislamu wote wanatokea Kilimanjaro isipokuwa mmoja tu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.

Hivyo, Wapinzani wetu wamekuwa wanatupiga sana kwenye hii hoja ya UDINI na UKABILA kitu ambacho kwa jicho la kiuhalisia ni Kweli, tunatakiwa kuwa smart na kuondoa ombwe la namna hii. Lazima tupate mchanganyiko kutoka pande mbalimbali kutoka mikoa yetu. Uwakilishi uwe na uwiano wa haki na usawa.

Lazima tumwambie Mapema Mwenyekiti wetu Mtarajiwa TUNDU ANTIPASI LISSU , kuwa hii Propanganda ambayo tunapigwa ya muda mrefu tuifute kwa kuja na mkakati mpya wa upatikanaji wa wakurugenzi na watumishi wa Makao Makuu wenye sura ya Kitaifa zaidi

Ikumbukwe hapa sijaongelea walinzi wala madereva

Naomba wajumbe wapiga kura tafadhali hilo tufanyie uamuzi sahihi Tuletee TUNDU LISSU ili tuje tujenge upya Chama chetu

Tusimame na LISSU 21 January.......!

Remigius Celestine
22.12.2024
Utaongea sana.

Amandla...
 
Lissu ni mwadilifu Sana boss, fikiria kamlipua rafiki yake wenje kwa kumpeleka Abdul kwake Ili amuhonge
Sisi sote ni Waafrika, na hili tatizo la Ukabila tunalo na mara nyingine linakuwa subconsciously, Kiongozi anaweza kuwa muadilifu na akawa Mkabila nadhani hiyo ni weakness ya Viongozi wa Kiafrika. je kuna Muarobaini wa hili?
 
Usikute hao ndio wenye sifa zinazostahili, sasa mwenyekiti angefanyaje kwa mfano?

Ila nyie saa nyingine nao! (In Anko Magu's voice)
 
Hata BOT,TAKUKURU,TISS, TRA,wachaga ni wengi sana!
Hawapendelewi,wale watu ni vichwa darasani
Walijaa mramba alipokua waziri wa fedha,hata tigo imejaa watu wa kaskazini,akishaingia mmoja akakaa pale juu,analeta wenzie,hao mbwa wakabila sana,inashangaza sana mtu asiye wa kaskazini kushabikia chadema
 
Kabla ya kuhoji ya Chadema na wachaga, njoo TRA uone utitiri wa wachaga walivyojaa, utadhani ni taasisi yao. Sijui hili nalo likoje?
Mramba alipokua waziri wa fedha kipindi chote cha mkapa aliwajaza wachaga wizara ya fedha, ndiyo maana jakaya alikua hampendi mramba akampa mpaka kesi ya ufisadi,akamfagilisha hospital ya palestina sinza
 
Watu wa makabila mengine wangefukuzwa tu hapo makao makuu maana wanatia kiwingu kwenye dili za watu. Mbowe na wachaga wenzie ndo wanafaa kuwepo hapo Makao makuu ili kusitokee mizengwe kwenye kutafuna pesa za CHADEMA.
 
XxxxxX
Twende Pamoja, kwa muda mrefu wapinzani wetu kisiasa wamekuwa wanasema udini na ukabila zaidi kwa swala la Ukabila wanalengwa watu kutoka mkoa wa Kilimanjaro anakotokea Mwenyekiti wetu wa Taifa. Naomba nikushirikishe na wewe upime Je kuna ukweli wowote?

Secretariat ambacho ni chombo cha kiutendaji cha kila siku yaani engine ya Chama ina wajumbe 10 mpaka sasa. Wajumbe hawa wamegawanyika katika sehemu kuu tatu

1. Wajumbe wa kuchaguliwa na Baraza Kuu. Hapa naongelea Makatibu wa Mabaraza yote matatu (Bavicha , Bawacha na Bazecha)

2. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na baraza kuu. Hapa nawaongelea Katibu Mkuu na Manaibu Katibu Mkuu

3. Wajumbe wa kuteuliwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na Kamati Kuu. Hapa nawaongelea wakurugenzi

Kwa mantiki hiyo, wajumbe wa moja kwa moja wanaoteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa ni Katibu Mkuu, Naibu Bara , Naibu Zanzibar na wakurugenzi.

UKABILA
Mpaka sasa hivi Makao Makuu wapo wakurugenzi wanne kati ya hawa wakurugenzi watatu wanatoka mkoa wa Kilimanjaro majina yao ni
Reggy Munisi - Mchaga kutoka moshi (machame)
Jonathan Mndeme - Mpare kutoka same na John Mrema - mchaga kutoka vunjo. Mkurugenzi mmoja tu ndo anatoka Mkoa wa Kagera Mzee Lutembeka na ni kwa vile tu wanamtumia ku save nafasi mbili kama Katibu Mkuu wa BAZECHA TAIFA na kwa taaluma yake wanamtumia kama mkurugenzi wa FEDHA NA RASILIMALI

Twende kwenye watumishi wa kawaida Maafisa

Hapo Makao Makuu mpaka sasa wapo wakuu wa idara na maafisa 9 kati ya Hao wakuu wa idara na maafisa 5 wanatokea mkoa wa Kilimanjaro. Kwa majina ni
1. Zuhuru Nkya - Mchaga anatokea HAI
2. Karimu Muro - mtoto wa mwisho wa kumzaa wa Zuhura Nkya - Mchaga anatokea HAI
3. Lucas Mrema - Mchaga anatokea Vunjo
4. John Ngauro - Mchaga anatokea moshi
5. Aron Mashuve - mpare anatokea same

UDINI
Hivi tunavyozungumza pale makao makuu Muislamu anayefanya kazi Makao Makuu ni lazima awe anatokea Mkoa wa KILIMANJARO. Wasiotokea mkoa wa KILIMANJARO wote baada ya chama kuanza kupokea RUZUKU wameondolewa kwenye UTUMISHI

Watumishi waliopo makao makuu ambao ni waisilamu ni watatu ambao ni Karimu Muro, Zuhura Nkya, Reggy wote hawa wanatokea mkoa wa KILIMANJARO . Watumishi ambao ni Waislamu wameondolewa kwa sababu Hawatoki KILIMANJARO ni Zainab Ashraf Kutoka Tanga na Halima Lichonyo Kutoka Ruangwa Lindi. (Chunguzeni)

Kwa ujumla wake makao makuu inawatumishi kwa maana ya Secretariat na Maafisa jumla 19. Kati ya Hao 9 wote wanatoka mkoa wa Kilimanjaro, Waislamu wote wanatokea Kilimanjaro isipokuwa mmoja tu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.

Hivyo, Wapinzani wetu wamekuwa wanatupiga sana kwenye hii hoja ya UDINI na UKABILA kitu ambacho kwa jicho la kiuhalisia ni Kweli, tunatakiwa kuwa smart na kuondoa ombwe la namna hii. Lazima tupate mchanganyiko kutoka pande mbalimbali kutoka mikoa yetu. Uwakilishi uwe na uwiano wa haki na usawa.

Lazima tumwambie Mapema Mwenyekiti wetu Mtarajiwa TUNDU ANTIPASI LISSU , kuwa hii Propanganda ambayo tunapigwa ya muda mrefu tuifute kwa kuja na mkakati mpya wa upatikanaji wa wakurugenzi na watumishi wa Makao Makuu wenye sura ya Kitaifa zaidi

Ikumbukwe hapa sijaongelea walinzi wala madereva

Naomba wajumbe wapiga kura tafadhali hilo tufanyie uamuzi sahihi Tuletee TUNDU LISSU ili tuje tujenge upya Chama chetu

Tusimame na LISSU 21 January.......!

Remigius Celestine
22.12.2024
Tunamalizia kwa kusema wanateuliwa na mwisho wanathibitishwa na Baraza kuu.Baraza kuu kwa Nini hawakukataa kuwadhibitisha?
 
Back
Top Bottom