Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Wote vilaza ila walao JK ni afadhali yenu nyote!haya maneno mliongea kipindi akiwa madarakani? how about lowaaasa is he not smart? au kisa alikua kawakimbia
ni walaghai sanasasa ruzuka mil 300 kila mwezi, bado wanachama wanachanga! bado wananchi wanachanga! leseni mil 1.3 kwa miaka mitatu, whats going on chadema
Hii saccos inaumiza Sana wanachama wake. Hapo wanaotafuna hawazidi watano, ndio hao wanaotaka tuwape mama Tanzania. Wataishia kuona ikulu, kwenye TV tu.sasa ruzuka mil 300 kila mwezi, bado wanachama wanachanga! bado wananchi wanachanga! leseni mil 1.3 kwa miaka mitatu, whats going on chadema
What is it to you?sasa ruzuka mil 300 kila mwezi, bado wanachama wanachanga! bado wananchi wanachanga! leseni mil 1.3 kwa miaka mitatu, whats going on chadema
What is it to you?
Stick to your lane.....
Wote vilaza ila walao JK ni afadhali yenu nyote!
Sio kazi yetu kumsifia yeyote alie madarakani,kazi hiyo ni yenu,sisi ni kazi yetu ya msingi kuangalia mapungufu na kuyachambua inavyotakiwa...aliyofanikiwa,ni kazi yenu nyie kusifia..
Lowassa?
Thats your hot potato!Tulimsaidia akapata 47% ya kura which is not a joke,kidogo tu angemshindeni CCM..
Mwaka huu Lissu lazima azae na nyie
Kama 2015 mlipata 53%,mwaka huu you are in deep trouble nyie wafanya "selective rule of law" sababu tu ni Chadema mbabe wenu
Blah blah blah...heeey heey heey, chil out! mwaka huu wacha niwatabirie, mnapata only < than 20%, nyie hamkumsaidia lowasa bali nyie ndo aliwasaidia, ndo maaana maana mna mdomo wa kudhan mtashinda mwaka huu mkisahau kwamba lowasa ndo aliwaletea asilimia 20% ya kura chadema:
na mm hua siongei pumba ushahidi huu apa msikilize mwenye mgombea
kwahio ina maana lowasa peke yake alikua anatembea na 18% ya wapiga kura wote! sasa fanya hivi zila asiliimia 18% mwaka 2015 zitoe then utaona mnabaki na ngap,
Blah blah blah...
Mwaka 2015 mlipata 53%...halafu leo mpate 100%?
Mna malaria nyie
Keep dreaming...bwana wee, sio maneno yangu! si umemskia lissu mwenyewe ameongea, deal with him! wewe chukua tu zile 18% zitoe then upige mahesabu yako ya haraka haraka mwaka huu mnatoka na ngap, hayo mwngine mpigie kelele yeye ndo kasema lowasa aliwaletea 18%,
ina simple terms chama chenu, hakina mvuto, ushawishi yaani ni mpaka ccm wawaboost
Keep dreaming...
California dreaming....
Mgombea gani kanipa majibu gani?atlast mgombea amekupa majibu mwenyewe, sasa ujiandae kisaikolojia maana hata izo 20% lazima kna zile za kuiba so unaweza toka na 8%,nchi nzima! kwa kifupi kama una presha ni vema uhame nchi alafu urudi uchaguzi ukiwa umeshaisha
Mgombea gani kanipa majibu gani?
Are you on drugs?
Lissu hajatoa majibu yeyote,labda kakupa wewe!
Mngekua mnashinda kwa 80% kama unavyojinasibu usingekua hapa unapoteza energy kuchapa gazeti 24hrs!
Mnafeli ndio maana upo hapa kwenye panic mode,high geared unachapa makala zisizo na mwisho kumtetea asie na lolote as if tutakupeni kura,humu tayari watu walisha decide siku nyingi wanampa nani,upo hapa unapoteza nguvu bure ku convince anybody to vote for anybody
Mimi sijaona CCM ONLINE TV, ukiiona nirushie linkUkipita mtandaoni wa ccm wapo tele na sijui kama kweli wote wana leseni!
Unnecessary stumping on freedom of speechAfisa Maudhui wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dominic Mgaya amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa kosa la kuchapisha maudhui mtandaoni bila kuwa na leseni ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
View attachment 1574006
Akisoma hati ya mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo RIchard Kabate, wakili wa Serikali, Adolf Ulaya amesema kuwa mshitakiwa anakabiliwa na kesi ya jinai namba 127 ya mwaka 2020.
View attachment 1576524
Mgaya anadaiwa kurusha maudhui kupitia ukurasa wa YouTube wa CHADEMA MEDIA TV bila kuwa na leseni ya mamlaka husika, kati ya Oktoba 14, 2017 na Septemba mosi, 2020 katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam.
Aidha, mshitakiwa amekana kutenda kosa hilo na amefanikiwa kutimiza masharti ya dhamana kama ilivyoamriwa na Mahakama.
Hata hivyo upande wa mashitaka umedai kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika hivyo kuiomba Mahakama kupanga tarehe nyingine.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 20, 2020 itakapotajwa.