Afisa Mwandamizi wa Jeshi la Urusi Sergey Shoigu kaingia Iran

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Viongozi Waandamizi wa Jeshi la Urusi wameanza kuingia Iran ikisadikika kua ni katika mikakati ya kutoa code za nuke zana zingine za kimapigano

⚡️Sergei Shoigu has just arrived in Iran.

🚀☢️What is going on?

‼️🇮🇷🇷🇺 Breaking: Sergrey Shoigu, Secretary of the RF security council, has landed in the Iranian capital of Tehran. The immediate objective of his visit is unclear.

Speculation:
1. He could either be there to oversee Iranian preparations against Israel, as we saw enormous shipments of Russian military equipment coming into Iran over the last 24 hours; or

2. He is representing the ‘dove’ faction, perhaps requesting Iran to stand down on behalf of the influential Russian Israeli lobby. We must remember that Shoigu’s grandfather is a member of the Ashkenazi ‘Rivlin’ clan (related to Reuven Rivlin, 10th President of Israel 🇮🇱).
 

Attachments

  • IMG_20240805_161905.jpg
    181.3 KB · Views: 5
Yaani wayahudi Kwa kujipendekeza Kila kiongozi mkubwa duniani watajifanya ndugu Yao Leo Tena shoigu mshampa uyahudi Kuna kipindi puttin pia mlipa uyahudi eti Babu yake mzaa babu alikua myahudi manina nyinyi ndugu zenu magasho wenzenu USA
 
Yaani wayahudi Kwa kujipendekeza Kila kiongozi mkubwa duniani watajifanya ndugu Yao Leo Tena shoigu mshampa uyahudi Kuna kipindi puttin pia mlipa uyahudi eti Babu yake mzaa babu alikua myahudi manina nyinyi ndugu zenu magasho wenzenu USA
Jews wengi wao ni mashoga wanashoboka sana na matajiri ndio maana yanamshobokea Kaburu Elon Musk yanasema ni Jews Juzi Netanyahu kaenda kumshobea Trump et linasema mtoto wa shangazi yake wakati tunajua ana asili ya Ireland
 
Yeye aingie tu,Israel alishawavua nguo Iran kwa kuwaua Raisi na Haniye.Amaiweka Iran kiganjani .anajua mbinu zake zote na silaha zake zote.
Shambulio lake la kwanza hapo Tehran kabla ya kifo cha Haniyeh lilipaswa kuchukuliwa seriously.Kazeni shingo mle kichapo
 
Kusema ukweli Islamic Republic ikiondolewa na Ayatolah akauwawa Ukanda wote wa Mashariki ya Kati utapoa kabisa na Viongozi wote wa Kiarabu wataenda Jerusalem kubusu Pete.

Halafu kinachofuatia ni ule Msikiti uliojengwa kwenye eneo la Hekalu la Wayahudi kubomolewa na Hekalu kujengwa upya.

Na Amani itarejea Mashariki ya Kati.
 
Hatuwezi kujua labda nae ni wa kwao
Dunia hii usimuamini mtu
Unafikiri kwanini Arafat alikuwa anatamba miaka yote na kuzunguka kila nchi kwa miaka na miaka bila kudhuriwa hata shaba moja ya mguu?
Arafat hakutumia Uisilamu kupigania haki za Wapalestina, Arafat alitumia mbinu za Kimarxist ndio maana alikuwa analindwa.

Arafat alikuwa anataka Palestina iwe Secular sio hawa Magaodi wa Hamas na Islamic Jihad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…