stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Hakuwa na shida kubwa huyo kama hamas. Hata raisi wa mamlaka ya Palestina ndugu Abasi hana shida kihivyo. Yeye anajua mipaka yake kati yake na wenye nguvu.Ila alitamba miaka mingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwa na shida kubwa huyo kama hamas. Hata raisi wa mamlaka ya Palestina ndugu Abasi hana shida kihivyo. Yeye anajua mipaka yake kati yake na wenye nguvu.Ila alitamba miaka mingi sana
Na alikuwa hana urafiki na wanafiki wa ME maana alikuwa akitaka hela lazima apewe la sivyo analipuaHakuwa na shida kubwa huyo kama hamas. Hata raisi wa mamlaka ya Palestina ndugu Abasi hana shida kihivyo. Yeye anajua mipaka yake kati yake na wenye nguvu.
Russia ni mjamaa sio mnyonyaji kama mataifa ya magharibiNchi za magharibi hazina Nia ya kuwasaidia waarabu. Hapo jamaa anafanya kitu Kwa faida ya Russia then anawaacha.
🇮🇷🇷🇺 Shoigu Meets Iranian President in Tehran to Discuss Strengthening Bilateral TiesHii habari bwana kweli,nimeisikia DW
The Mongolian Savage naomba ufafanuziQuran imetaja Wana wa Israel na si wayahudi,uyahudi ni Imani/dini,na pia imewaongelea in past tense,palikua na wayahudi wengi Makkah na Madina kipindi chake,wayahudi waarabu,mmoja wapo abdallah bin saba
Ndoto hii mzeeeHapa US na vibaraka wake watakuwa na adabu.
Inasema wayahudi kwao ni wapi?Quran haisemi huo ujinga
Mkishashiba magimbi mnapenda kuropoka eeenhShoigu hata Putin alimpiga chini kwenye ukuu wa majeshi baada ya kuona anafeli! Uwezo ushapungua hastui chochote
Hata ukraine imejaa juisi piaSasa unakataa nini iko wazi urusi imejaa jews
Wale walioitwa kuja kupewa ardhi na nyumba za wapalestina wameamua kurudi walikotoka kwa hofu ya kufaWatawezea wapi hao magaidi wa Kiyahudi mda wao wa kuishi kwa amani umeisha wataishi kwa misukosuko mwanzo mwisho
Walitoka Israel wakaenda Ulaya na kurejea tena Israel na hamna wa kuwatoa pale.Wakaishi kule kwenye Nchi yao walikotoka
Aliwekewa sumu Ramalla. Ufaransa alipelekwa kutibiwa.Arafat aliuwawa kwa sumu Ufaransa
Waislam kwao wapi?Inasema wayahudi kwao ni wapi?