Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Unao uwezo wa kuamua kuacha DHAMBI na kuishi maisha ya Utakatifu.Siku nitakayokuwa mtakatifu ndio siku nitakayotoa hukumu kwa wenzangu,kwa hizi dhambi zangu nilizonazo sina uwezo wa kutoa hukumu wala kupiga mwizi
Shida ni kwamba watu tunaishi kwa unafiki tunachagua dhambi kwamba dhambi hii ni mbaya na dhambi hii ni nzuri ili ni tatizo.Unao uwezo wa kuamua kuacha DHAMBI na kuishi maisha ya Utakatifu.
Itafika time mzazi atashindwa kumnyooshea kidole mtoto Kwa kushindwa kuacha matendo mabaya yanayomuondolea uwezo wa Kumkemea mtoto.
JAMII wote Kwa pamoja, tukubali kuacha DHAMBI na UOVU.
Tukiacha hayo, ndipo tutakapibarikiwa sana.
Huyu alishawahi kuleta Uzi humu akisema lesbianism inamtesa,lakini sasa anajitia ujasiri fekiHuna jibu na ndo maana unauliza swali badala ya kujibu.
Let's have a real talk bila matusi.
Najua Deep down unajichukia lkn kwa nje unaonesha uko sawa. Na sababu hapa upo under anonymous ID unajimwambafy lkn huwezi fanya hivyo hadharani.
Kama huwezi fanya hivyo hadharani ni kwa sababu upo jela.
Jela ambayo wewe mwenyewe umejitengenezea na huwezi kutoka.
Mmerubuniwa kwa utandawazi na watu wanaofanya haya kwa manufaa yao. Kwa baadhi ya cults lesbianism na gayism ni ritual. Wakitoka hapo wanapewa faida kibao. Lkn wewe jiulize unapata faida gani zaidi ya 'fake' pleasure ndani ya sekunde chache?
Hujawahi sikia waganga wanaotoa masharti ya wanaume kuwafira wanaume wenzao ili kupata mali? Huo ni ushahidi kwamba hio ni ritual kwa waabudu shetani. Wao wanafaidika kwa mali na faida kedekede, sijui labda na wewe unafaidika mamaa ukiachana na hako ka orgasm ka sekunde chache.
Mwisho nakuuliza hayo mateso unayopitia, kukosa uhuru, etc... utataka mwanao wa kike nae apitie?
Alikuwa haanbiliki ambalo ni tatizo Kwa LGBT na wao wanajisahau kuwa hivi ni vitu vigeni plus stress za wananchi ni rahisi kufanyiwa ukatiliAlijisahau nafikiri na hakuwa na mshauri ktk maisha yake binafsi
ni machukizo makubwa sana, MUNGU azidi kuilinda jamii yetu kwa ujumla.Asanteee Mungu asanteee kuondoa huyu wajinga kwenye jamii. Waondowe na wenzake. Hatutaki mahusiano ya jinsia moja.
Kuna dhambi na Machukizo.Shida ni kwamba watu tunaishi kwa unafiki tunachagua dhambi kwamba dhambi hii ni mbaya na dhambi hii ni nzuri ili ni tatizo.
so wamelipa kisasi?Alikuwa anawakoboa na kuwasaga wanawake wenzie
Alivunja miji ya watu Kwa kuiba wake za watu
Hakuna cha haki hiyo ndo haki alokuwa akiitafuta ameipata.ni machukizo makubwa sana, MUNGU azidi kuilinda jamii yetu kwa ujumla.
kuna watu wadai eti ni haki inashangaza kwa kweli
kabisa mkuu inatisha. nimeona kiganja inatisha sanaWANADAMU tuache ABOMINATION.
Kutenda Machukizo ni hatari Kwa Dunia na mustakabali wetu wa vizazi vijavyo.
Turehemu WANADAMU ee Mungu.
Amen
Geita ni kisanga aiseeHuko Geita wanauwana Kila siku ,kuanzia Albino Hadi vikongwe.
So Mimi sioni Cha ajabu huko. Walishazoea haya
Hiyo ni Kwa tafsiri ya kamusi Yako, Si NENO la Mungu.Machukizo ni utashi binafsi wa mtu ni kitu asichokipenda/anachokichukia.
Dhambi ni sheria/katiba iliyowekwa na Mungu tu.
Aliwahi kushikiliwa na Jeshi la Polisi huyu kwa hizi tabia zake hadi kufikishwa MahakamaniNipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.
Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.
Wenye taarifa kamili tujulisheni.
Nawasilisha.
UPDATE
POLISI YATHIBITISHA KUTOKEA KWA MAUAJI
Akizungumzia kuhusu taarifa hizo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amesema “Ni kweli tukio hilo limetokea, marehemu ametambulika kwa jina la Milembe Suleiman alikuwa mfanyakazi wa GGM, kitengo cha Ugavi amekutwa ameuawa katika eneo ambalo anajenga nyumba zake.
Eneo ambapo tukio limetokea linaitwa Mwatulole ambazo zilikuwa katika hatua ya ujenzi, mpaka sasa wameshikiliwa watu wanne na uchunguzi unaendelea.”
Alipotakiwa kuelezea kuhusu uchunguzi wa awali wa tuko hilo amesema “Yaani hatujabaini chochote mpaka sasa, ndio maana uchunguzi unaendelea.”
Pia soma
--
- Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake
- Mwanza: Janeth Shonza & Milembe wafikishwa Mahakamani kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja, wakana mashtaka...
View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake
Duuuh! inasikitisha sana,watoto ndiyo hivyo,wamebaki yatima,jamii imemhúkumu mama yao kifo tayari.Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu hao watoto na ndugu wa marehemu pia.Inasikitisha sana roho ya mtu,awe mwizi,shoga,msagaji,mla rushwa,fisadi n.k kutolewa.Sheria zipo,tuzitumie.Kuna watu wanakufa mahospitalini kisa pesa hawana,na kodi zao zimekusanywa kipindi wazima wa afya,lakini kwa muda huo hawana pesa,na pesa alizokusanya serikali kwa njia mbalimbali inasikika taarifa ya CAG kua zimetafunwa na wezi hawafanywi chochote.Wezi wa pesa za umma,wanatuua indirectly ila hatua kali hazichukuliwi kama Zinavyochukuliwa dhidi ya wasagaji,mashoga,wakwapuaji wa simu na wengineo.Ukali wa jamii unaoonyeshwa juu ya watu wa jinsia moja,ndiyo ungekua unaoonyeshwa hata kwa wezi wa mali za umma.ingekua hivyo,jamii ingekua na maendeleo sana.Leo hii Mungu anashuhudia watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja,wanauawa na huku YEYE mwenyewe kwenye orodha ya amri kumi za Mungu,hakuna aliyoiwekea NYOTA kua hii ikitendwa,ni dhambi KUBWA kuliko nyingine,namaanisha kwenye kitabu cha dini ninayoifuata,Biblia.Dhambi iliyosemwa ni kumkufuru Roho Mtakatifu.Pole kwa familia yake na waliomuua wajitafakari, ukute hawasagani,ila ni wezi,ukute hawasagani ila ni wasengeny ki,ukute hawasagani ila ni waasherati.Tuwapeleke mbele ya sheria tulizojiwekea,hawa watu,tusiwaue.Wawili kamoja hata miezi 6 hakana