TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Adhabu gani ya Mungu? Kuuwawa na wendawazimu?

Kwani mtu akisagana unapungukiwa nini?

Hauwezi kumeza ugali kwa sababu mtu amesagana?
Hilo lishangazi lipuuze lina makasiriko sana, halijawahi kuolewa wala kuzaa kila siku linacheza amapiano kwenye harusi za wenzie,

Mashavu yamechuma kunde basi akikasirika mikunyanzi ya uso inatokeza linatia huruma, lipuuze tu
 
Wahuni wanajifanya wanahukumu balaa.

Sasa huyu dada kawakosea nini? Mtu ana maisha yake, hali cha mtu, haibi cha mtu lakini unakuta kuna majitu yamemkamia yanataka kumtoa roho kisa tu anasagana!

Usagaji wake una athari gani?

Shida kama alikuwa anavunja ndoa za watu. Anyway, polisi watatupa mwelekeo
 
Hilo lishangazi lipuuze lina makasiriko sana, halijawahi kuolewa wala kuzaa kila siku linacheza amapiano kwenye harusi za wenzie,

Mashavu yamechuma kunde basi akikasirika mikunyanzi ya uso inatokeza linatia huruma, lipuuze tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana.

Yaani anasikitisha sana, amejaa makasiriko makali, kila mahali anatema chuki na huzuni.

Huyu ni kweli anaonekana ana matatizo binafsi kama unavyosema.
 
Unahisi? Au ndivyo walivyosema? Majitu mengine huwa hamjui kujieleza! Wewe unaona kabisa habari inasema mfanyakazi wa GGM wewe unasema unahisi?
habari(heading na content) imekua edited na mod, wameongezea vitu vingi sana
habari ya kwanza kabisa(ambayo jamaa ndiyo alijibu) ilikua ni tetesi, na victim hakujulikana ni nani
 
Jike shupa!
 

Nomaa haisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…