Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Umenikumbusha mtituwandei huko ukambaniMotives ziko tafauti
1. Wanaochukia ushoga
2. Wapenzi wake wa kike wanaohisi wametupwa
3. Wanaume wanaochukuliwa wanawake wao
4. Ugomvi wa maslahi
Polisi wanapaswa kufanya uchunguzi wa kweli kwa umakini
Lakini Mimi niwe mkweli tu, hawa wanawake wanaosagana Mimi hawaniumizi kichwa kabisa, mikundu yao ipo salama kabisa.Kuua si support kabisa Kila mtu anayo haki ya kuishi as long as havunji Sheria, Sasa Hawa sijui LGBT wanajiletea matatizo wenyewe si wafanye kimya kimya tu, wabongo wengi wenyewe vichaa na stress
Chanzo ni kama hiki.Lakini Mimi niwe mkweli tu, hawa wanawake wanaosagana Mimi hawaniumizi kichwa kabisa, mikundu yao ipo salama kabisa.
Mwanamke hata awe msagaji na msagajwi watabaki kuwa wanawake tu na bado wakapelekewa moto na wanaume.
Shida yangu hivi mtoto wa kiume unaanzaje kubong'owa unatiwa dudu? Aisee hapo sipatagi jibu mpaka kesho.
Inaweza isiwe solution ya tatizo ila itapunguza tatizo!ni vigumu kuwazuia watu wazima walioamua kujitoa ufahamu kutenda jambo lao lakini ni rahisi kuwafanya waishi ktk utaratibu uliokuwa sahihi.
U know,zamani ushoga ulikuwepo usagaji ulikuwepo lakini waliokuwa wakiufanya na kufanyiwa walikuwa hawajionyeshi hadharani maana walijua walichokuwa wakikifanya siyo utamaduni wa mtu mweusi ni wachache sana walijionyesha hadharani,ninaposema wachache namaanisha ni wachache hasa maana kama mji wa Dar early 2000s shogaz waliokuwa wanajulikana nakumbuka ni wawili tu mmoja akiitwa Aunt Kessy (deceased) mwingine somebody Aunt Muu.
Leo mji mzima unanuka teknolojia ilivyoingia nayo imewafanya wawehuke so wakipotea kumi na ikajulikana wamepotea hata wale waliokuwa wanajiandaa kuonyesha ufirauni wao hadharani wataogopa itabaki kufanya kwa hamu zao tu tofauti na sasa wanafanya kwa hamu zao halafu wanataka kuiaminisha jamii kwamba wanachokifanya ni kitu cha kawaida.
Huyo Bichwa komwe mbona ni mke wa mtu?[emoji28][emoji28]Sasa nyie mnainajisi nature ndio muombewe. Ila na wewe ka unafanya hyo kitu fanya kisiri kujitangaza utaenda kupimwa na tango hospitalini rafiki yangu ooooh[emoji28][emoji28]
Watanzania wape headline tu.Motives ziko tafauti
1. Wanaochukia ushoga
2. Wapenzi wake wa kike wanaohisi wametupwa
3. Wanaume wanaochukuliwa wanawake wao
4. Ugomvi wa maslahi
Polisi wanapaswa kufanya uchunguzi wa kweli kwa umakini
Shangazi lingine hilo, ana hasira na mimi kisa mwaka 2021 aliomba nimletee perfumes na Ada ya Mtoto wake, sikuweza kuonana nae maana sinaga interest na mishangazi tena iliyojikoboa na kubabuka kwa mikorogo ya bei chee, basi ameweka chuki hadi leo, imagine [emoji119]Tatizo lenu nyie WAFIRWAJI huwa mnakazana sana kuhukumu wenzenu badala ya kujihangaikia nafsi zenu.
Mtu ana maisha yake, hajaiba mali ya mtu, hajakosea mtu, hajapora pesa, anaishi maisha yanayompendeza, lakini anatokea KINYAMKERA anaanza KUMGASI na KUMFWATA FWATA, mara oooh eti haitakiwi KUBUSIANA! Whaaat!!
Nyie WAFIRWAJI mna roho chafu tu, hamtaki wenzenu wawe na furaha, mnatakaga MFIRWE NYIE TU.
Acheni roho chafu bhana! Alaah!
Nasikia watu 2anne,wameshatiwa mbaroni, nadhani tuiachie Mhakama, itajulikana mbeleni hatima ya hao watu kama waliua kwa lengo lipi na adhabu yao ni ipiBaadhi ya waswahili hasa kutoka familia masikini wakipata vihela kichele vya mshahala wanaanza kujitutumua na kuonesha umwamba hadharani.
Vitendo vya huyo mdada lazima mwisho wake uwe kama ulivyokuwa au vinginevyo.
Msishindane na hiari ya jamii, mwisho wake ndio mnakuja kulialia humu. Hoo tunapimwa na vidole tunafungwa miaka 30. Si mnajifanya viziwi makusudi. Nyie ndio wa kuumia.
Alikuwa anashindana na watu, sio kila unachotaka lazima ukipate, kuna vitu ni vya watu lazima uviheshimu hata uwe na pesa kiasi gani.
Ujanja mwingi mbele Giza.
Ndoa ya Kimila,kiserikali au kidini?Kemilembe ni mwanamke aliyemuoa mdogo wake juliana shonza enzi zile,
Hata wakamatwe watu mia tayari mtu kupoteza maisha na hawezi kurudi tena. Familia imepoteza muhimili muhimu.Nasikia watu 2anne,wameshatiwa mbaroni,nadhani tuiachie Mhagama,itajulikana mbeleni hatima ya hao watu kama waliua kwa lengo lipi na adhabu yao ni ipi
Muache atoe hasira zake kwangu, hujui tu niliyomtendea ni mazito, muache amwage nyongo hapa hapa hadharaniPiga kimya,kimya ni jibu pia.Tafadhali hatujakuzoea ivo cute
Hapana,tulieni kipenz...hii ni jf sehemu ya kuburudishana...msikwazane...ni Mara mia kukaa kimya.Muache atoe hasira zake kwangu, hujui tu niliyomtendea ni mazito, muache amwage nyongo hapa hapa hadharani
Muache aendelee hakuna hata moja ni la kweli naona anajisumbua kuaminisha watu uongo.Hapana,tulieni kipenz...hii ni jf sehemu ya kuburudishana...msikwazane...ni Mara mia kukaa kimya.
Imagine nyie mliooa kihalali hambusiana mubashara hadharani ila mashoga Sasa Wana force ili Hadi watoto wawaige hivi walifanya kimya kama watu wengine Hawa enjoy au ndio mapepo machafu wanayo maana ushoga upo tangu enzi za kale na walifanya kimya kimya Sasa hii trenda ya kujitangaza kinguvu sijui wameitoa wapi ndio maana wanaonekana ka wagonjwa wanaohitaji msaada Wala dhambi zao siwafanye kimya kimya ka wengineHawataki kufanya kimya kimya hii ndio shida yao.
Sisi tulio oa wake hakuna hata siku moja tunasimama hadharani na kubusiana na wake zetu.
Tatizo la Mashoga ni kutaka kuonesha vitendo vyao hadharani kama huyo mdada.
Wabusiane hadharani sisi tuwashangilie na kuwapigia makofi na kuwasifia, na wanataka waozeshwe kwa lazima na vyombo vya umma.
Mbivu na mbichi zitaeleweka tu.