TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

WAnaume wanaoingiliwa kiume wengi tu wako ndani hawajitangazi wala kuvaa nguo za kike ni watu na wake na watoto.....hao wanaojitangaza unawaona ni wachache tu na wengi afya ya akili haiko sawa..
Niliko-bold,hicho ndicho hasa wanaokataa mambo hayo wanakitaka kwamba mtu aingiliwe kinyume na maumbile au vyovyote anavyotaka akitosheka akoge maji yake vizuri akitoka hadharani atulize mdomo wake na mienendo yake kama mimi mwizi au mzinzi ninavyokaa kimya nikitoka kupiga tukio langu.

Kingine ukizungumza habari za watu wanaiba nchini hao wanaoiba lini umeona wakirusha video clips kutangaza wizi ni mzuri?

Au wameiba mahali fulani na fulani so watu nao wakaibe?(kama hawahukumiwi laumu mamlaka)ila mashoga wao wanajitangaza ili tabia zao ziigwe!

Hao waliojitoa ufahamu acha wauawe ili hata wale ambao ufahamu wao haujawatoka vizuri waogope turudi kwenye mstari na siyo kwamba ni vichaa hao wanapata kichwa kutokana na kuna mkono wa mzungu unawa-push mbona zamani hatukusema ni vichaa.
 
Kama kauawa kweli basi itakua ni ishu nyingine nje ya huo usagaji,, sioni ni namna gani mtu atachukua hatua za namna hiyo kwa lesbo,, kwa kipi hasa yani,, tena kwa Geita,, hapana
Msagaji akimteka Mke wako, ndo usahau.....!
 
USSR
 
Shangazi pole sana basi nitakuletea zile perfumes maana nilizinunua ila ada ya mtoto siwezi kukupa hiyo ni kazi ya baba ake [emoji23]
Kigagula una roho ngumu wewe kisa perfumes tu unaweka chuki miaka mitatu kwa mtu hata humjui [emoji1787][emoji119]
Tutolee laana zako hapa mnaichafua jamii forum
 
Kuna kitu nashindwa kukielewa kwenye hii inshu....mbona kama vile kuna baadhi ya memba wamekasirika,wanapinga na kutupiana maneno. Tatizo nini mbona baadhi ni wakali hivyo kuhusu marehemu kutopendeka ktk jamii.
Tukubali kwa namna moja ama nyingine marehemu kavuna alichopanda.
 
Duhhhhh......🤨
Kumbe palikua na minyukano ya haja bin kuvuana nguo humu eeeehhh...🤔
Alafu naona mudi nao wanashabikia na vicheko kwa mbaaaali, wanasubiri kwanza mpasuane ndipo waanze kupiga ban...😜

Wangewaacha tu ili tuendelee kupata show......niko live niko live!!!
 
Alimfanye huyo mlinzi??
Kwakua wote walikuwa ni wakubwa pale GGM ilikuwa ni lazima amfahamu vizuri kutokana na kesi ambazo zilikuwa zinamuandama huyo mdada.

Sikusema mlinzi, nilisema Mkuu wa kitengo cha ulinzi pale GGM ndiye aliyenipa info za huyo mdada baada ya kupishana nae tukiwa Mwanza kwenye matembezi.
 
Na mimi naona tatizo la ushoga baya zaidi kuliko wasagaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…