TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

WAnaume wanaoingiliwa kiume wengi tu wako ndani hawajitangazi wala kuvaa nguo za kike ni watu na wake na watoto.....hao wanaojitangaza unawaona ni wachache tu na wengi afya ya akili haiko sawa...
Haswaaaah!!
 
Lazima ukatae kwasababu una ugonjwa wa akili. Kama huoni kuwa kuingiliwa na mwanaume mwenzako sio tatizo...sishangai. Mna ugonjwa wa akili nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya relaaaaaaxxx
Na ufurahi sasa, cna hata mda wa kujibishana na watu siku hizi.
Nishajua sababu n nn, hainisumbuiii.
 
HUu ni mtandao huwenda hatuonani wala kujuana lakini kuna maneno ukiyaandika watu wanajua wewe ni mtu wa aina gani.

Ni wachawi na wenye roho za kishetani tu hufurahia vifo vya wengine hadharani
Mjichunguze roho zenu....
Haswaaaah tena wao ukute wana makubwa zaidi ya wenzao. Lol.
 
Inawezekana mnatupoteza maboya sio kilichosababisha auawe.Wahusika msije mkawa mnafunika ili kuwapoteza wanaotafuta kwa nini auawe kikatili vile.Mimi nahisi kuna more than that
Haswaaaah
 
Na hili swala la Halima Mdee na Easter Bulaya ukitaka kuwapima wanatiwa vidole wapi?

Polisi Njombe walimkamata kijana aliyekuwa na mazoea ya kufirwa wakamshitaki na akakiri mbele ya hakimu na akapewa haki yake 30, Je hii haiwezekani ikawa applied kwa Hawa wapendanao ambao muda mrefu inaaminika kuwa wanapelekeana Moto na hawajawahi kukana
 
Back
Top Bottom