TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu

Ukweli ni kwamba kukosa watoto ni huzuni na bila Mungu kusimama na sisi kuzaa watoto ni presha kubwa...
Kwa hiyo kafa na roho yake ya usagaji? Mungu anusuru kizazi hiki.
 
Mzee wangu nikijua mkewangu anasagwa na nikajiridhisha. Hiyo ndoa imekufa.

Nilipita na pisi moja ilikuwa inasagwa, aiseeehh hapo ndiyo nilijua wasagaji wana nguvu saana.
Duh! ilikuwaje mkuu.........haya mambo yatakuwa yanaendeshwa na roho chafu nyuma yake. Yaani msagaji anakuwa na nguvu hadi kumnyang'anya demu mwanaume rijali?
 
Ilikuwa ni Mwaka Jana nikiwa mkoani Geita nilibahatika nasema ni kubahatika ingawa msomaji hautonielewa,maana wengi wetu tuna amini bahati ni kuona vizuri tu...
Inawezekana mnatupoteza maboya sio kilichosababisha auawe.Wahusika msije mkawa mnafunika ili kuwapoteza wanaotafuta kwa nini auawe kikatili vile.Mimi nahisi kuna more than that
 
Lakini Mimi niwe mkweli tu, hawa wanawake wanaosagana Mimi hawaniumizi kichwa kabisa, mikundu yao ipo salama kabisa.

Mwanamke hata awe msagaji na msagajwi watabaki kuwa wanawake tu na bado wakapelekewa moto na wanaume.

Shida yangu hivi mtoto wa kiume unaanzaje kubong'owa unatiwa dudu? Aisee hapo sipatagi jibu mpaka kesho.
Kwa mara ya kwanza tunakubaliana misimamo
 
Back
Top Bottom