TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu

Ukweli ni kwamba kukosa watoto ni huzuni na bila Mungu kusimama na sisi kuzaa watoto ni presha kubwa...
Kwa hiyo kafa na roho yake ya usagaji? Mungu anusuru kizazi hiki.
 
Mzee wangu nikijua mkewangu anasagwa na nikajiridhisha. Hiyo ndoa imekufa.

Nilipita na pisi moja ilikuwa inasagwa, aiseeehh hapo ndiyo nilijua wasagaji wana nguvu saana.
Duh! ilikuwaje mkuu.........haya mambo yatakuwa yanaendeshwa na roho chafu nyuma yake. Yaani msagaji anakuwa na nguvu hadi kumnyang'anya demu mwanaume rijali?
 
Ilikuwa ni Mwaka Jana nikiwa mkoani Geita nilibahatika nasema ni kubahatika ingawa msomaji hautonielewa,maana wengi wetu tuna amini bahati ni kuona vizuri tu...
Inawezekana mnatupoteza maboya sio kilichosababisha auawe.Wahusika msije mkawa mnafunika ili kuwapoteza wanaotafuta kwa nini auawe kikatili vile.Mimi nahisi kuna more than that
 
Kwa mara ya kwanza tunakubaliana misimamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…