TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Nyumisi

Kuna pisi nilikuwa natoka nayo, ikanitambulisha kwa rafiki yake ni tomboy lakini naye ni mrembo sana. Badae nikaja kugundua hiyo pisi imechumbiwa nikaona isiwe kesi tukasitisha mahusiano. Urafiki wangu na tomboy ukaimarika outings nyingi tu. Ikatokea siku moja tomboy akanicheki, niende kwao walikopanga kuna kazi anataka nimsaidie. Baada ya kufika nikakuta mademu wawili mmoja anavuta fegi mmoja kamlalia mwenzake kama mtu na mpenzi wake. Nikaona siyo issue nikaanza kumuelekeza tomboy kazi aliyotaka nimsaidie nilipomaliza akanisindikiza kwa kuwa nilimkuta amevaa pensi na vest siku hiyo ndiyo nikajua tomboy ni mrembo sema tu anajiweka kiugumu na pia katoka familia bora. Siku hiyo ikabidi nimle mate kwa kumshtukiza, kumbe bwana yule demu wa ndani niliyemkuta anavuta fegi anawasaga wote wawili kumbe jinsi tulivyokuwa close inamuuma kwa hiyo alichofanya kuna siku nilipiga simu kwa tomboy. Wakazinguana sana sasa yule demu mvuta fegi alichofanya ikabidi amtafute mchumba wa pisi yangu ya zamani kuwa bado natoka naye na isitoshe na kula rafiki yake pia. Kumbe mwanba ni mtu wa system, kuna siku moja usiku mnene nikiwa kiwanja nataka kuelekea parking sina hili wala lile nikawekwa mtu kati vipisi vya watu wawili, mchumba wa pisi yangu ya zamani na demu mvuta fegi kuwa nikae mbali na tomboy lakini kama najidai mbishiii niendelee.

Aiseeehh !! Nikabaki nawaza hili tukio linanihusu mimi au movie badae kwenye uchunguzi wangu nikagundua tomboy anasagwa na mvuta fegi ameshasaga mademu kibao. Nikabwaga, maisha yakaendelea.
Duh! aisee kumbe hii misagaji ni hatari namna hii.......sema mambo ya kupiga mtungo yamepungua siku hizi, haya masagaji mnakamata mnapiga mtungo hata watu watano hadi hamu ya kusaga ipotee kabisa.
 
Hao wamejifanya wasagaji ili wapate makaratasi .Hao wanapigwa mihogo vizuri tu.
Siku hizi hakuna karatasi za bure.

Tatizo kubwa ni kwamba hao "sponsors" wao huwa wana pesa za kutupa kwenye mambo ya kijinga na pia kwenye mambo ya maana, yaani hucheza kotekote.

Yaani hukupa fedha za maendeleo na huku upande wa pili wawaharibu nguvukazi na kizazi chako cha kesho.
 
Nipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.

Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.

Wenye taarifa kamili tujulisheni.

Nawasilisha.

======

UPDATE;

POLISI YATHIBITISHA KUTOKEA KWA MAUAJI


Akizungumzia kuhusu taarifa hizo, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, ACP Berthaneema Mlay amesema “Ni kweli tukio hilo limetokea, marehemu ametambulika kwa jina la Milembe Suleiman alikuwa mfanyakazi wa GGM, kitengo cha Ugavi amekutwa ameuawa katika eneo ambalo anajenga nyumba zake.

Eneo ambapo tukio limetokea linaitwa Mwatulole ambazo zilikuwa katika hatua ya ujenzi, mpaka sasa wameshikiliwa watu wanne na uchunguzi unaendelea.”

Alipotakiwa kuelezea kuhusu uchunguzi wa awali wa tuko hilo amesema “Yaani hatujabaini chochote mpaka sasa, ndio maana uchunguzi unaendelea.”

Pia soma
--

View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake​
Suspects , ni wale Waliopokonywa wapenzi wao , kazini kwake au wanawake aliotoka nao hajawalipa pesa zao n.k
 
Wewe nilishaamua kukupuuza kosa sikukwambia mapema ila leo nakwambia na hii ni quote yangu ya mwisho kwako so from now on ukinikuta nime-post mahali ukakimbilia ku-quote ujue utakuwa unazungumza na robot.

Sina muda wa kufanya mjadala na mwendawazimu mimi,uingiziwe uume wa mwanaume mwenzako matakoni ukatike viuno huku unaguna kama dada yako halafu uje leo kubishana na mimi mambo ya msingi ya maisha?una hoja gani wewe....obviously huna la maana lakusikilizwa.
Kwa kweli mkuu,na me ngoja nihifadhi ujumbe huu kwenye vidole vya mikono yangu ya kuwa visithubutu kumjibu huyu Mtu ambae hata Shetani hatamani machafu hayo.Maana nimejikuta namjibu tu.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Kupitia hivyo vitabu vya dini je wewe huna laana?
Hujawahi kuzini?
Hujawahi kusengenya?
Hujawahi kutamani mwanamke sio wako?
Huendi kwa waganga wewe?

Hebu tutolee chogo lako hapa
umeongea point lakini umeharibu kusema huendi kwa waganga wewe.
Uganga unaokatazwa ni ule wa ramli lakini ukienda kwa wa miti shamba sio dhambi maana asilimia 90 ya dawa za hospitali zinatenatengenezwa kwa miti shamba mfano Penicillin na Qunin.

Wamisionari waliwadanganya sana kumbe dawa za quinine au cinchona barks yaani magome ya mti wa m qunine walikuwa wanatumia wazungu huku Africa na hata dr David Livingstone ugonjwa ulioomuaa Zambia ni Malaria.

Sasa wakapeleka magome kwao waka extract wakatoa active ingridients ndio dawa ya quinine sasa. Walivyokuja huku wakawaambia uganga ni Ushetani.

Akili za kuambiwa changanya na zako dini tuzifuate lakini kwenye kuchuja tuchuje.
 
Back
Top Bottom