TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Huu uzi ndo ulifanya Daudi Mchambuzi apigwe ban na kususia jamvi baada ya kudai afisa ugavi alikuwa bwana ya mdogo wake wa kike wakudadavua
 
Sasa yule mwanamke alishiriki mauaji kwa nini?
Huyo manzi alikuwa ni manzi wa dead 1,aligundua basha ake ana mkwanja ndani so akaside na hao wajomba jomba sema ndio likabumbuluka.
Mchongo mzima ni huyo manzi na tamaa za mkwanja wa basha ake.
 
Washakula kitanzi huko...
Mihemko ishaisha Sasa ni mwendo wa majuto tu.
Nimefurahi sana haki kutendeka!! Unaua MTU bila sababu ya msingi!? Nani aliwapa jukumu la kuhukumu!? Maskini dada wa watu, huenda aliacha watoto yatima
 
Huyo manzi alikuwa ni manzi wa dead 1,aligundua basha ake ana mkwanja ndani so akaside na hao wajomba jomba sema ndio likabumbuluka.
Mchongo mzima ni huyo manzi na tamaa za mkwanja wa basha ake.
Dhuluma siku zote ni mauti, Watu hawakujifunza Kwa Yuda na Hela ya usaliti
 
Vipi una maoni gani
 
Sijajua ila nilikuwa tulikuwa tunafanya Field huko GGM kipind fulan kuna demu alikuwa msagaji alikuwa Ana hela chafu nakumbuka aliniibia na demu wangu ndyo michezo yake ile kama amekufa nitafurah sana
Vipi na hukumu umefurahia?
 
Vipi una maoni gani
Nilishasema kabla huyu hayajamkuta na nikasema yalivyomkuta kwamba kilichoanza kufanyika kilikuwa ni hatari kwa mustakabli wa Taifa kwahio naendelea kusema kama nilivyosema....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…