Bora wee umesemaa, kuna habari imepostiwa sio mda Fb kwa Fahari media,Huko Geita wanauwana Kila siku ,kuanzia Albino Hadi vikongwe.
So Mimi sioni Cha ajabu huko. Walishazoea haya
Aisee,Sad.🙆🏼♂️🙆🏼♂️
Kashajifungua tayariAna mtoto mkubwa mtu pia alikuwa anataka kuongeza mwingine kwa njia ya kawaida tu sasa wamemuua [emoji2301]Hata kama hakustahili kuuawa
Nami nashangaa labda alikuwa amenyoaMbona kama sio mwenyewe huyu
NdiyeSio yule kemilembe
Haki itendeke, hakuna aliye juu ya sheria, na walioplot tukio wote watapatikana, sipendelei kuona nafsi inadhulumiwaNimesikitika sana, waliofanya unyama huu naomba wapatikane na wapewe adhabu inayostahili.
Wawili kamoja hata miezi 6 hakanaAmeacha watoto wangapi?
Duh wamemuua kikatili sana aiseeRip rasta
Duh huyo sijui kaingia 18 za kina nani!Aiseee, ivi hawa walio mfanyia hiki kitendo ni binadam au wanyama pori bas wangeishia kumuua kama walivyotaka sa ndo wamkate mpka mikono
Laana nyingne huwa tunajitakia tu sis binadam qabisaa
Kumbe ana watoto kbs.Wawili kamoja hata miezi 6 hakana
Yes ni kama alikuwa ivo..ila alitibiwa akiwa bado mdoogo darasa la pili kuna masai moja aisee sahii mtoto yuko darasa la sita amekuwa kijana kabisa hana tena zile tabia wala hakumbuki vitu kama ivoDah inauma .mtoto alikuwa shoga?
Kuna sehemu kaingia af aina mlango.Duh huyo sijui kaingia 18 za kina nani!
Ova
Duh huyo sijui kaingia 18 za kina nani!
Ova
Sasa kama Msagaji anachepuka na wake za watu na hao wake za watu nao wanasagana si inamaana na hao wake nao ni wasagaji??Kauliwa kisa kuchepuka na wake za watu. Mtu msagaji bado kicheche, call that bitch TRIPLE THREAT
Duh huyo sijui kaingia 18 za kina nani!
Ova
Kwenye pic anaonekana mwembambaNami nashangaa labda alikuwa amenyoa
Maskini watoto wake hasa hako kachanga huko geita maovu ya Kanda maalumu yameamia hukoWawili kamoja hata miezi 6 hakana
Wawili kamoja hata miezi 6 hakana