Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Siku hizi wasukuma mmepinda sana, kuna matukio mengi ya ukatili kulikoni?Geita watu wamepinda kinyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi wasukuma mmepinda sana, kuna matukio mengi ya ukatili kulikoni?Geita watu wamepinda kinyama
🤣🤣🤣 Hawa ni aina ya watu, Huwa walishajichokea kijamii, Maisha yao ni yakibinafsi, Wanaishi Leo, kesho wakifa, utasikia ,kuzaa ili iweje ??.Ameacha watoto wangapi?
Kuua haikubaliki mkuu haijalishi kafanya niniKuna wengine umewasahau mkuu huu msiba umewagusa Sana.
Yaani unaibiwa demu na demu na unakubali!! We kiboko, na uliitaji kuombewa kipindi hichoSijajua ila nilikuwa tulikuwa tunafanya Field huko GGM kipind fulan kuna demu alikuwa msagaji alikuwa Ana hela chafu nakumbuka aliniibia na demu wangu ndyo michezo yake ile kama amekufa nitafurah sana
Wamabadili kwasababu iko confirmed, sio tetesi tena.Dahh Moderator mods mnavyocheza na title ya huu uzi naona kuna conflict of interest mahala. Mmebadili tena.
Basi kama neno usagaji ni gumu rudisheni ile part ya kwamba "ALISHAMVISHA PETE MWANAMKE MWENZIE"
Sijui mkuuInakuwaje kuwaje; tupe somo
Alimvalisha Pete ya uchumba Jackline Julius Shonza a k a JJ.Nasikia alikuwa anawachukua maduke anawaingiza madilido.Inasemekana Kemilembe kauawa, wenye taarifa kamili tujulisheni.
Nawasilisha.
Pia soma
- Mwanza: Janeth Shonza & Milembe wafikishwa Mahakamani kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja, wakana mashtaka...
--
View attachment 2600221
Milembe Suleiman enzi za uhai wake
Kanda ya ziwa Huwa hawapindishi maneno wanajua kutenda tu..Huyu dada hapa mkoani Geita na kanda ya ziwa alijulikana sana kwa tabia hizi mbofumbofu,inasemekana kavunja ndoa nyingi za watu,pia ilikuwa chachu ya kuingiza vijana kwenye kundi la kuingiliwa kinyume na maumbile.
Ameuwawa kwa mapanga usiku wa kuamkia leo.
Wasiwasi wangu ni kwamba atakuwa ndio wale maajenti wa taifa lile kubwa kiuchumi duniani ambalo inasemekana kila mkoa wana ajenti wao.
Naona wana Geita wameona wakate mzizi wa fitina japo walichelewa sana.
Poleni wafanyakazi wa GGM kwa kuondokewa na mfanyakazi mwenzenu
Jina ni 'Milembe' wewe Unaandika 'Mirembe' ili useme unachokisadiki. Heshimu majina ya watu ya kilugha kama unavyoheshimu ya kizungu. Yana maana nzuri sana.Tatizo ni jina lake "Mirembe". Wazazi wengine sijui huwa Wana visa na watoto wao, inakuwaje mzazi unamuita mwanao majina ya hovyohovyo km huyo mwendazake huko Geita.