TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Kumbe Mungu wako hana noma na wewe mshirikina, Mungu wako anapenda akikuona unagalagazwa makaburini ili upate utajiri na unapotembea na hirizi inayopomua kiunoni ili kuwakomesha majirani zako ila Wasagaji tu ndio kawakasirikia [emoji38]
Dear watu wamevurugwaa niamini mie, huu ugumu wa maisha watu unawa wehushaa kabisaa, yaan hawaelewiii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo.
 
Sijajua yupo na nani kwa sasa(wanaweza kua wanaachana na kurudiana pia), hatujaonana siku nyingi sana tangu boss wangu mmoja hivi afariki (hadi Mange alimpost), nikipata trip ya Mwanza maumbea yote nitayapata

Pia Ana mabeef sana Milembe au kwa sababu huwa anagombaniwa pia anapenda kutukanana [emoji23][emoji23][emoji23] insta alikuwa anatukana sana
 
Haya mambo ya wasagaji yaskie TU
Usiombe mkeo/galfrend wako aingie mikononi mwa msagaji, achomoki[emoji1]
Kuna demu mmoja Tanga nimakali Sana yule demu, nimke wamtu lakini hajabahatika kupata mtoto, ana miaka nane ndani ya ndoa. Ni msagaji yule dem . Mwanamke mzuri mzuri kweli yaani hua nikimuangalia naishia kusikitika. Lakini hajui kama nafahamu kama ni msagaji .
 
Wanaosh pamoja milembe kajenga nyumba mwanza na wanawake huwa wanamgombania maana anahonga sio bahili [emoji23][emoji23]
Kumbe wanawake wenyewe wanamkimbilia kisa ana pesa, sasa wanaume na wao ilibidi watafute pesa ili huyo stud akose watu, sasa wao wana muua khaaah.

Waliishiwa mbinu ya kupambania pisi kaliii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila waTz hizi tabia za kuua uana mmerithi wapi hizi roho? Mtu anaweza kuja kukuua kwa mambo yake personal akakusingizia ushonga/usagaji. Shauri yenu mkijihisi mko salama.
Kila siku mie huwa nasema hapa, hili suala la wananchi kuchukua maamuzi hasi holela litakuja fika pabayaa, na watu sahiv washajua zigo linaangushwa mapenzi ya jinsia 1, wanajua hapo hakuna atae jaliii.

Watu watakuja kuelewa baadae sanaaa.
 
Nipo hapa kwenye foleni mwanza nimempa lift mwanamke mmoja sasa nasikia anaongelea hayo mauaji kwenye simu. Na siwezi kumuuliza.

Ila kwa anavyoongea inaonekana huyo mwanamke alikua anatongoza wanawake wenzie na anajulikana hadharani. Na inasemekana kauliwa na kukatwa mkono.

Wenye taarifa kamili tujulisheni.

GENTAMYCINE kama upo ukanda huo nadhan utakua na taarifa kamili.

Nawasilisha.
Tunachukua Sheria mkononi kiasi hiki
 
Sijajua ila nilikuwa tulikuwa tunafanya Field huko GGM kipind fulan kuna demu alikuwa msagaji alikuwa Ana hela chafu nakumbuka aliniibia na demu wangu ndyo michezo yake ile kama amekufa nitafurah sana
Na ninaskia wasagaji hukojozwa na kupata roho kuliko kukutana na wanaume. In short huu mchezo una addiction mbaya sana
 
Afisa ugavi wa mgodi wa Geita amekutwa akiwa ameuawa na viganja vya mikono yake vikiwa vimekatwa.

Mwaka 2017 zilitrend sana video zake akimvisha Pete ya uchumba msichana mwenzake huku wakinyonyana ndimi.

Dada huyu maarufu mkoani Geita na Kanda ya Ziwa kwa ujumla kifo chake kimeacha gumzo.

Tuta update uzi baada ya taarifa rasmi ya kutoka kwa msemaji wa jeshi la Polosi Geita
 
Last time nakutana nae tulikua pale Gold Crest upande wa Club, mida kama ya saa sita hivi akaja na crew yake kama wote, tuliokua nao wakasema basi huyu akija tu hapa hali ya hewa inabadilika malizieni tusepe, na kweli akaja tulipo akasalimia akakaa, kumbe pale club kuna mademu watatu kishapita na bado anapita kimtindo na hiyo siku kaja na demu mwingine aisee dkk 20 nyingi niliona tu chupa zinarushwaaa sie mbiooo, mademu wote wamekuja kumzingua eti wamemfumania, duh!?
Ndio hivyo akija sehemu lazima vurugu chupa zirushwe na anapenda mno mademu hata huyu bonge wake alikuwa anatukanwa mno 😂😂😂 ila nadhan siku hiizi kaacha maana huwa anaenda hapo cask na hakuna vurugu na nasikiaga anapenda group sex
 
My Dear Saint Anno II I know you are such an intelligent woman, decided , practical, determined and God fearing Woman , let me advice you ....

Don't use your energy to argue with such a fool ,moron imbecile person !!!!


Utanishukuru, Wapumbavu Huwa wanakawaida ya kutaka uuongelee Upumbavu wao kwao ni Furaha !! 🤣🤣🤣

Usipompa hiyo nafasi, Huwa wanajidharau ,wanaumia sana .
Kuna umuhimu wa kubadili hii username sasa!

Mimi ni mwanaume chief nadhani mfanano wa id umeleta shida kidogo.
 
Back
Top Bottom