TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Ni kweli nimewasiliana na watu wa ggm ameuwawa vibaya sana...

Kisa nini wamemuuaa?
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hata km alikua anatoka na wake za watu, hao waume zao ilibidi wajitafakari na wakae na wake zao ili watatue suala mahusiano yao kwa huyo muhusika.

Hao wanawake km ni wasaliti watachepuka tyuuh kwa watu wengine.

RIP Milembe. [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Afisa ugavi wa mgodi wa Geita amekutwa akiwa ameuawa na viganja vya mikono yake vikiwa vimekatwa.

Mwaka 2017 zilitrend sana video zake akimvisha Pete ya uchumba msichana mwenzake huku wakinyonyana ndimi.

Dada huyu maarufu mkoani Geita na Kanda ya Ziwa kwa ujumla kifo chake kimeacha gumzo.

Tuta update uzi baada ya taarifa rasmi ya kutoka kwa msemaji wa jeshi la Polosi Geita
RIP hakuwah kuwa member humu kweli?
 
Back
Top Bottom