TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Sijui jinsia yako sijui ni bro au?
Mku huna dhambi?
Na kama unazo ni sahihi uuawe?
Nani hana dhambi nchi hii?
Je tuuane?
Acheni ujinga.
Tupeana muda kurekebishana na sio kuuana
Wengi tunaobishana ktk haya mambo nahisi huwa hatujui wale wanaokataa wanamaanisha nini na muda wa kurekebishana wanapeana sana tatizo ni hao watenda na watendwaji hawataki kuelewa.

Hakuna mwenye uwezo wa kuwa-monitor watu wawili wazima waliojifungia ndani chumbani mwao wakifanya wanayoyajua wao unless wametaka wao jamii ijue,shida ipo hapo kutaka jamii ijue hata kama haitaki kujua lakini wanalazimisha,hakuna asiyekuwa na dhambi but lini umewahi kuona mtu timamu na akili zake akimzini mke wa mtu akarusha video akijisifia kwamba anachokifanya ni kizuri?au mtu anavunja mlango wa mtu akiiba akarusha video caption ikisema wizi unalipa na kuiba siyo vibaya?

Lakini mashoga wao wanarusha mivideo yao ya laana wakijitangaza hadharani kuwa ni mashoga na wanafurahi kuwa mashoga kwani ushoga hauna ubaya,kwanini wasiwe wanavutana mbavu kwa siri vyumbani mwao kama walivyokuwa wanafanya zamani hadi leo walazimishe kujulikana na kuheshimiwa?

Yaani mtu anadai haki ya kujulikana kama mfirwaji tena anataka taifa zima lisimame lijue who are they,huyo mwizi anayeiba akasambaza uchumi mtaani japokuwa ni illegally hajitangazi ila mshenzi mmoja hasara kwa jamii ana-post picha na vikalio vyake vichafu na vigumu kama jiwe kavibinua eti anataka haki ya kufirwa,mimi nina dhambi zangu lakini nasema acha wafe tu kama ni dhambi kusema hivi hiyo dhambi nitaibeba.
 

Kuna mambo ni kutumia hekima sio kiburi. Maadili hayaruhusu usagaji wewe unalazimisha lazima jamii iku lable.
 
Hadi aibu naona Mimi. Shida waliachiwa, wangepigwa miaka 30 Kama wenzao

Nikijaribu kuvaa kiatu cha mama haya mambo ni magumu sana
Unabeba mimba miezi tisa ukiomba Mungu akujalie mtoto. Unabarikiwa mtoto wa kike au wa kiume unashukuru na kumuomba Mungu awajalie wanao uzao upate wajukuu na vitu... mtoto anaishia kusagana au kuchokolewa

Ngumu kumeza😥😥😥
 
Ukimpiga Kondoo, ndama wanatawanyika.

Huyu Bidada kahusika Kwa kiwango kikubwa kueneza Ushoga ,Usagaji mikoa ya Shinyanga, Mwanza ,Tabora, Pesa nyingi za Mabeberu zilipitia kwake !!.


Kwa hakika, Ni habari niloipokea Kwa mikono miwili.

Mkuu kwani imethibitika kama aliyeuawa huko ni Milembe? Em tupe uhakika mkuu?
 
Waliomuua wakikamatwa,watatoa majibu ya kweli,kama inshu ni kusaga au kuna mengine.
Nadhani hadi nje ya nchi,habari zitawafikia,kwahiyo uwezekano wa wahusika kukamatwa ni mkubwa.Jamii ijifunze,jambo likileta ukinzani kwenye jamii,lifanyike kwa usiri,kwani reaction za watu,ziko tofauti.
 
Rip rasta
 

Attachments

  • Screenshot_20230426_153653.jpg
    Screenshot_20230426_153653.jpg
    116.9 KB · Views: 15
Waliomuua wakikamatwa,watatoa majibu ya kweli,kama inshu ni kusaga au kuna mengine.
Nadhani hadi nje ya nchi,habari zitawafikia,kwahiyo uwezekano wa wahusika kukamatwa ni mkubwa.Jamii ijifunze,jambo likileta ukinzani kwenye jamii,lifanyike kwa usiri,kwani reaction za watu,ziko tofauti.
Kifo hakiko sababu

Kuna mdau humu anakuambia marehemu alikuwa mtu wa vurugu pia

Ova
 
Huyo Milembe mnamchukia bure tu, Wanawake zenu ndio wanajipendekeza kwake kwanini asiwale na Pesa ipo bhan
Siku zote wanawake wamekuwa wanachangia sana kuenenea kwa ushoga na tabia zinazofanana na hizo
Kama mtaani kuna shoga basi utakuta anakundi kubwa la wanawake marafiki ambao wanakuwa comfortable kuwa naye kumpiga stori na vurugu zote za kitaa

Na mwanamke mbele ya hela always very volatile ni duniani kote na kwenye jamii masikini Mfano Africa , latin America na Eastern Europe hali ni mbaya zaidi siku zote
 
Siku zote wanawake wamekuwa wanachangia sana kuenenea kwa ushoga na tabia zinazofanana na hizo
Kama mtaani kuna shoga basi utakuta anakundi kubwa la wanawake marafiki ambao wanakuwa comfortable kuwa naye kumpiga stori na vurugu zote za kitaa

Na mwanamke mbele ya hela always very volatile ni duniani kote na kwenye jamii masikini Mfano Africa , latin America na Eastern Europe hali ni mbaya zaidi siku zote
Wasanii wa kike maarufu bongo
Muda wote wanaambatana na
Mashoga

Ova
 
Mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu

Ukweli ni kwamba kukosa watoto ni huzuni na bila Mungu kusimama na sisi kuzaa watoto ni presha kubwa.
Viatu vya wazazi waliozaa na watoto wakaingia kwenye haya mambo havitoshi. Mungu atupe imani

Hivi baada ya kumu-engage yule binti 2017 na kukatwa na polisi aliendelea na ndoa au aliendelea kusagana!?

Kama kauwawa kweli familia yake na familia za aliokuwa anawasaga wanajua walichofanya.

huyo binti aliolewa na jike mwenzio inaonekana kabisa alikuwa amelazimishwa umaskini ndio umemfanya akubali huo ushetani.
 
Back
Top Bottom