Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Aisee ume-deep sana wewe imebidi nikagoogle maana yake 😂Sio Tomboy ni Stud
ni wazi una za ndani sana, wamemdhuru au wamemfanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee ume-deep sana wewe imebidi nikagoogle maana yake 😂Sio Tomboy ni Stud
Wewe hua unajisikiaje mtoto wako wa kike akiwa anakunjwa na Msela ghetto?Nikuulize kitu.
Hivi ukiwa na mtoto wako wa kike akawa hivyo utajisikiaje?
Hahaha hulijui ulisemalo,Hujajibu swali, kwenye hayo niliyoainisha hapo juu wewe huyafanyi? Au kwa kua hatukuoni unavyopiga tunguli na kulazwa makaburini ndio unajihisi upo safe?
Muasherati kama wewe unapata wapi ujasiri wa kumuoneshea kidole Msagaji
Kumbe Mungu wako hana noma na wewe mshirikina, Mungu wako anapenda akikuona unagalagazwa makaburini ili upate utajiri na unapotembea na hirizi inayopomua kiunoni ili kuwakomesha majirani zako ila Wasagaji tu ndio kawakasirikia [emoji38]Hahaha hulijui ulisemalo,
Acha niendelee kuamini kuwa wewe ni hamnazo .
Haya wapi pameandikwa mshirikina kalaaniwa.
Yule mpaka akamvisha Pete mwanamke mwenziee .Sijajua ila nilikuwa tulikuwa tunafanya Field huko GGM kipind fulan kuna demu alikuwa msagaji alikuwa Ana hela chafu nakumbuka aliniibia na demu wangu ndyo michezo yake ile kama amekufa nitafurah sana
Hujajibu swali,Kumbe Mungu wako hana noma na wewe mshirikina, Mungu wako anapenda akikuona unagalagazwa makaburini ili upate utajiri na unapotembea na hirizi inayopomua kiunoni ili kuwakomesha majirani zako ila Wasagaji tu ndio kawakasirikia [emoji38]
Huna jibu na ndo maana unauliza swali badala ya kujibu.Wewe hua unajisikiaje mtoto wako wa kike akiwa anakunjwa na Msela ghetto?
Niliwahi share nao entrance kwenye hoteli moja hivi, nilikuwa nawaona karibu kila siku….. Kwenye kutoka, kuingia, breakfast bar wanaongozana wenyewe mahaba niue kabisa hehehe!Alikuwa na demu mwingine bonge bonge alikuwa anaishi nae na kusafiri nae mweupe hivi
Wewe nilishaamua kukupuuza kosa sikukwambia mapema ila leo nakwambia na hii ni quote yangu ya mwisho kwako so from now on ukinikuta nime-post mahali ukakimbilia ku-quote ujue utakuwa unazungumza na robot.Tangu wezi walivyoanza kuchomwa Moto kwa matairi na petrol imepunguza wizi?
Wewe ukishaua Shoga au msagaji ndio Mungu wako anakupeleka peponi?
Ni miaka ya 2014- 2019Nahisi Ni yule alikuwa anafanya kazi GGM
Duh pole ukapokonywa demu na msagajiSijajua ila nilikuwa tulikuwa tunafanya Field huko GGM kipind fulan kuna demu alikuwa msagaji alikuwa Ana hela chafu nakumbuka aliniibia na demu wangu ndyo michezo yake ile kama amekufa nitafurah sana
Kiukweli sijasoma gazeti lako, umeuliza swali zuri tu na mimi nimekurudishia swali kama hilo sababu wakati mwingine, swali na swali hupatikana jibu,Huna jibu na ndo maana unauliza swali badala ya kujibu.
Let's have a real talk bila matusi.
Najua Deep down unajichukia lkn kwa nje unaonesha uko sawa. Na sababu hapa upo under anonymous ID unajimwambafy lkn huwezi fanya hivyo hadharani.
Kama huwezi fanya hivyo hadharani ni kwa sababu upo jela.
Jela ambayo wewe mwenyewe umejitengenezea na huwezi kutoka.
Mmerubuniwa kwa utandawazi na watu wanaofanya haya kwa manufaa yao. Kwa baadhi ya cults lesbianism na gayism ni ritual. Wakitoka hapo wanapewa faida kibao. Lkn wewe jiulize unapata faida gani zaidi ya 'fake' pleasure ndani ya sekunde chache?
Hujawahi sikia waganga wanaotoa masharti ya wanaume kuwafira wanaume wenzao ili kupata mali? Huo ni ushahidi kwamba hio ni ritual kwa waabudu shetani. Wao wanafaidika kwa mali na faida kedekede, sijui labda na wewe unafaidika mamaa ukiachana na hako ka orgasm ka sekunde chache.
Mwisho nakuuliza hayo mateso unayopitia, kukosa uhuru, etc... utataka mwanao wa kike nae apitie?
Huna tabia ya kugossip ili Hali unasikiliza kwa makini mazungumzo ya mtu wa pembeni yako ambayo kimsingi hayakuhusu....ungemuuliza tu mkuu tupate habari kamiliSawa.
Lakini usidhan kila mtu ana tabia ya kupiga soga na wanawake kama wewe. My principles forbid me to gossip wirh women na ndo maana nikaleta hapa kwa great thinkers.
Probably wewe ndo imbecile, na ukiendelea hivo kuzogoa na wanawake sijui nini kitafuata. Enjoy your ignore button 'boom'